Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Nawashauri viongozi wa CHADEMA kujitofautosha na wale wa CCM kwa kuwashauri wabunge na madiwani wanaotaka kuhamia CHADEMA(kama wapo wenye nia hiyo) wasubiri mpaka mwaka wa 2020 ili kuokoa fedha zinazotumika kugharamia chaguzi ndogo.
Vile vile eleweni watu wa chama fulani huenda wameona biashara waliokuwa wanaifanya ni ya kijinga na sasa wanataka na nyinyi muonekane kama wao mbele ya umma na zaidi mshindwe kukosoa wanachokifanya kwani na nyinyi mtakuwa mnafanya kosa lilelile hivyo wanaweza kuwashawishi watu wao wahamie CHADEMA ili ku-balance equation (waliosoma Chemistry wanaeleea).
Jiulizeni ni nani wa kujiuzulu udiwani au ubunge alafu aje abaki raiwa wa kawaida tu huku akipoteza mishahara na kupunguza mafao yake?
Kuna uwezekano pia wa baadhi kuhamia CHADEMA leo hii alafu ikifika 2020 wakatangaza kujiuzulu huku wakitoa tuhuma mbalimbali kwa chama na viongozi kwa lengo la kutaka kukidhoofisha chama wakati wa uchaguzi.
Tafadhali tusifurahie wala kuendekeza haya mambo bali tuyakemee.
Vile vile eleweni watu wa chama fulani huenda wameona biashara waliokuwa wanaifanya ni ya kijinga na sasa wanataka na nyinyi muonekane kama wao mbele ya umma na zaidi mshindwe kukosoa wanachokifanya kwani na nyinyi mtakuwa mnafanya kosa lilelile hivyo wanaweza kuwashawishi watu wao wahamie CHADEMA ili ku-balance equation (waliosoma Chemistry wanaeleea).
Jiulizeni ni nani wa kujiuzulu udiwani au ubunge alafu aje abaki raiwa wa kawaida tu huku akipoteza mishahara na kupunguza mafao yake?
Kuna uwezekano pia wa baadhi kuhamia CHADEMA leo hii alafu ikifika 2020 wakatangaza kujiuzulu huku wakitoa tuhuma mbalimbali kwa chama na viongozi kwa lengo la kutaka kukidhoofisha chama wakati wa uchaguzi.
Tafadhali tusifurahie wala kuendekeza haya mambo bali tuyakemee.