Louis II
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 3,030
- 4,645
Salam Wakuu!
Ninafahamu mna Jukumu kubwa sana mbele yenu kama chama kinachotafuta nafasi ya kuingia ikulu kwa mara ya kwanza tangu tupate Uhuru. Mnaenda kupambana na Raisi Magufuli ambaye kwa hakika ana wafuasi wengi sana na kwa hakika wanakubali utendaji kazi wake.
Hivyo, kama heading inavyoeleza ninapenda kuwashauri CHADEMA kupunguza kama si kuacha matumizi ya Helicopter katika kampeni za uchaguzo wa mwaka huu kama tulivyowazoea huko nyuma.
Nayasema haya nikifahamu kuwa Nafasi yenu pekee ya kumwaga Sera zenu itakuwa finyu sana hasa kwenye hizi media zetu zinazoegemea upande wa chama tawala CCM.
Acheni kutumia helicopter badala yake mtumie magari ili iwe rahisi kuwafikia wananchi wengi hasa wa maeneo ya vijijini. Habari za kutumia helicopter zinasababisha mubague maeneo ya kufika/kutokufika.
Otherwise, mimi sio mwandishi mzuri sana so nadhani ujumbe umefika.
Ninafahamu mna Jukumu kubwa sana mbele yenu kama chama kinachotafuta nafasi ya kuingia ikulu kwa mara ya kwanza tangu tupate Uhuru. Mnaenda kupambana na Raisi Magufuli ambaye kwa hakika ana wafuasi wengi sana na kwa hakika wanakubali utendaji kazi wake.
Hivyo, kama heading inavyoeleza ninapenda kuwashauri CHADEMA kupunguza kama si kuacha matumizi ya Helicopter katika kampeni za uchaguzo wa mwaka huu kama tulivyowazoea huko nyuma.
Nayasema haya nikifahamu kuwa Nafasi yenu pekee ya kumwaga Sera zenu itakuwa finyu sana hasa kwenye hizi media zetu zinazoegemea upande wa chama tawala CCM.
Acheni kutumia helicopter badala yake mtumie magari ili iwe rahisi kuwafikia wananchi wengi hasa wa maeneo ya vijijini. Habari za kutumia helicopter zinasababisha mubague maeneo ya kufika/kutokufika.
Otherwise, mimi sio mwandishi mzuri sana so nadhani ujumbe umefika.