Wana cdm tuingie mitaani tuokoe watu waliozingirwa na maji.mfano,kupitia Uhuru fm mama mmoja na mwanae walo juu ya paa tangu saa 12 hadi saa 7 mchana. Huku RC wa Dar na serikali wako katika kikao tangu asubuhi hadi saa 7.kikao hakiishi. Nimetuma sms kwa mh. Zitto,cdm tuchukue hatua.
watu hao watu watbkufa kwa njaa na baridi. Aidha,giza likiiogia watu hao hawataweza kuokolewa.
watu hao watu watbkufa kwa njaa na baridi. Aidha,giza likiiogia watu hao hawataweza kuokolewa.