TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,077
Hali ni mbaya sana katika maeneo mengi nchini ambayo mvua inanyesha kwa sasa. Kwa maeneo ya Dar-es-salaam Kigogo, Jangwani, Mkwajuni hali inatisha kwa mujibu vituo vya redio Dar. Maisha ya raia yako hatarini.
Ushauri wangu, vyama vya siasa ambavyo vilitumia helkopta kufanya kampeni katika chaguzi zilizopita(CHADEMA,CCM,CUF) , zitumie helkopta hizo sasa kuokoa maisha ya raia. Helkopta hizo sidhani ni kama ni kwa ajiri ya kampeni tu wakati raia ambao wanawapigia kura wako katika hatari ya kupoteza maisha. Raia hatutawelewa kama mtashindwa kuchukua hatua katika hili.
Ushauri wangu, vyama vya siasa ambavyo vilitumia helkopta kufanya kampeni katika chaguzi zilizopita(CHADEMA,CCM,CUF) , zitumie helkopta hizo sasa kuokoa maisha ya raia. Helkopta hizo sidhani ni kama ni kwa ajiri ya kampeni tu wakati raia ambao wanawapigia kura wako katika hatari ya kupoteza maisha. Raia hatutawelewa kama mtashindwa kuchukua hatua katika hili.