USHAURI: CHADEMA Arusha tuma ujumbe wa shukrani mnapopokea pesa za M4C

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
2,696
740
Watanzania na watu wengine wenye mapenzi mema na nchi yetu wameguswa na mpango wa M4C (Movement for Change) uliozinduliwa na CHADEMA usiku wa tarehe 22 Machi 2012; na baadhi yao wameanza kuchangia kwa njia ya M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money.

Nimegundua kuwa pesa inapofika ujumbe unatumwa kwenye simu ya mtumaji kutoka kwa mtandao ulioutumia kuwa CHADEMA Arusha imepokea mchango wako. Kasoro niliyoigundua ni kuwa CHADEMA Arusha hawatumi ujumbe wowote kwa aliyewachangia ama kumshukuru au kuthibitisha kuwa nao pesa imepokelewa katika akaunti yao. Vilevile, simu zinazotumika hazipokelewi na yeyote unapojaribu kupiga ili kuhakiki.

Ushauri:
1. CHADEMA Arusha tengeneza ujumbe "default" wa kuwashukuru wanaowachangia.
2. Wajue walipo na watumie risiti zao kama itakuwa rahisi kufanya hivyo.

Swali: M4C ni kwa ajili ya Arusha tu au utafanya kazi nchi nzima?


Kwa pamoja tunaweza.
 
Watanzania na watu wengine wenye mapenzi mema na nchi yetu wameguswa na mpango wa M4C (Movement for Change) uliozinduliwa na CHADEMA usiku wa tarehe 22 Machi 2012; na baadhi yao wameanza kuchangia kwa njia ya M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money.

Nimegundua kuwa pesa inapofika ujumbe unatumwa kwenye simu ya mtumaji kutoka kwa mtandao ulioutumia kuwa CHADEMA Arusha imepokea mchango wako. Kasoro niliyoigundua ni kuwa CHADEMA Arusha hawatumi ujumbe wowote kwa aliyewachangia ama kumshukuru au kuthibitisha kuwa nao pesa imepokelewa katika akaunti yao. Vilevile, simu zinazotumika hazipokelewi na yeyote unapojaribu kupiga ili kuhakiki.

Ushauri:
1. CHADEMA Arusha tengeneza ujumbe "default" wa kuwashukuru wanaowachangia.
2. Wajue walipo na watumie risiti zao kama itakuwa rahisi kufanya hivyo.

Swali: M4C ni kwa ajili ya Arusha tu au utafanya kazi nchi nzima?


Kwa pamoja tunaweza.

We unacheza na Chagaz nini?
 
Watanzania na watu wengine wenye mapenzi mema na nchi yetu wameguswa na mpango wa M4C (Movement for Change) uliozinduliwa na CHADEMA usiku wa tarehe 22 Machi 2012; na baadhi yao wameanza kuchangia kwa njia ya M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money.

Nimegundua kuwa pesa inapofika ujumbe unatumwa kwenye simu ya mtumaji kutoka kwa mtandao ulioutumia kuwa CHADEMA Arusha imepokea mchango wako. Kasoro niliyoigundua ni kuwa CHADEMA Arusha hawatumi ujumbe wowote kwa aliyewachangia ama kumshukuru au kuthibitisha kuwa nao pesa imepokelewa katika akaunti yao. Vilevile, simu zinazotumika hazipokelewi na yeyote unapojaribu kupiga ili kuhakiki.

Ushauri:
1. CHADEMA Arusha tengeneza ujumbe "default" wa kuwashukuru wanaowachangia.
2. Wajue walipo na watumie risiti zao kama itakuwa rahisi kufanya hivyo.

Swali: M4C ni kwa ajili ya Arusha tu au utafanya kazi nchi nzima?

Kwa pamoja tunaweza.

Ushauri huu ungekuwa wa maana, endapo ujumbe wa M-Pesa, au Tigo-Pesa na Airtel Money ungeonyesha namba ya simu ya mtumaji, lakini kwa uzoefu wangu namba hiyo huwa haitokei bali jina tu...Je, ujumbe huo wa shukrani watautumaje kwenye jina la mchangiaji?
 
Kamanda tunashukuru kwa ushauri wako,tutalifanyia kazi,tuone jinsi ya kuboresha.M4C si kwa ajili ya Arusha pekee yake,ni mpango kamili wa kushirikisha umma katika ujenzi wa chama,na ni mpango endelevu.
 
Back
Top Bottom