Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,312
- 217,323
- Thread starter
- #81
Iko wazi sanaMbowe hawatamng'oa hapo Hai.
Wanajidanganya.
Iko wazi sanaMbowe hawatamng'oa hapo Hai.
Wanajidanganya.
Kajaribu uoneMajimbo hayana ukabila, huyo kijana anajitutumua kipumbavu na hana haki ya kutaka kumdhalilisha kiongozi kama Mbowe, hata sie wana CCM wengine hatuungi mkono yanayofanyika Hai hivi sasa.
Kuhusu ukabila kama ni kigezo cha mtu kuishi ama kugombea sehemu, Hai haikuwa sehemu ya wachaga bali ilikuwa sehemu ya wamasai na kama ni ukabila Ole Sabaya ni Mmasai, wachaga wamekuja kuishi kama walivyohamia mkoa wa Arusha, Tanzania ni ya kila mtu.
Mtu ambaye ni kapuku , mtu ambaye imethibitika kwamba umasikini wake umepelekea hadi kufoji nyaraka za Usalama wa Taifa ili atishe watu na kuwaomba rushwa ya kujikimu , mtu ambaye imethibitishwa mbele ya wakuu wa TRA kwamba anatumia mtutu wa bunduki kuomba rushwa ndogo hadi ya mil 2 za madafu , huyu hawezi kupambana na Tajiri Mbowe hata mkimkabidhi jeshi lote la polisi .
Freeman Mbowe atadhibitiwa kisiasa na mtu mwenye hoja za kisiasa aliyejaa utajiri wa wema na roho ya kibinadamu mwenye ushawishi , Mbowe ni jabali la kisiasa la nchi hii , huyu kauli zake ndio zinazotoa mwelekeo wa nchi , Mbowe ndiye dira ya Taifa , mipango yote ya kudhibiti siasa za nchi hii inapangwa baada ya Mbowe kuzungumza , Jabali kama hili haliwezi kutishwa na kijana mdogo asiye na kitu kama huyu Sabaya , na akiendelea na siasa za kishamba kutoka kwa wanaomtuma atakuja siku moja kukutwa mlangoni kwa Mbowe kapiga goti kuomba msamaha .
Kwa ufupi sana huu ushauri ninaowapa muuzingatie , Majuto ni mjukuu
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwaJambazi limeuawa huko Hai, lilijaribu kupora watu fedha kwa mitutu ya bunduki, hakika MUNGU Ni mkuu Sana, pole mheshimiwa Mbowe na hongera jambazi limeondoshwa
Shida ilikuwa mnaliripoti jambazi kwa jambazi kuu, mnategemea nn baba jambazi, mtoto jambazi pia?Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa
Sasa hivi yuko SeloOle Sabaya kwenye kikao cha juzi ndani ya chama nasikia aliwaambia wana CCM kuwa jimbo hilo ni lake 2020 sasa sijajua je asili yake ni mchaga mana kwenye jamii ninayotoka mimi kuongozwa na mtu wa kuja hilo halipo
Lengai Thomas Ole Sabaya kwishnei! Utabiri wako umetimiaMtu ambaye ni kapuku , mtu ambaye imethibitika kwamba umasikini wake umepelekea hadi kufoji nyaraka za Usalama wa Taifa ili atishe watu na kuwaomba rushwa ya kujikimu , mtu ambaye imethibitishwa mbele ya wakuu wa TRA kwamba anatumia mtutu wa bunduki kuomba rushwa ndogo hadi ya mil 2 za madafu , huyu hawezi kupambana na Tajiri Mbowe hata mkimkabidhi jeshi lote la polisi .
Freeman Mbowe atadhibitiwa kisiasa na mtu mwenye hoja za kisiasa aliyejaa utajiri wa wema na roho ya kibinadamu mwenye ushawishi , Mbowe ni jabali la kisiasa la nchi hii , huyu kauli zake ndio zinazotoa mwelekeo wa nchi , Mbowe ndiye dira ya Taifa , mipango yote ya kudhibiti siasa za nchi hii inapangwa baada ya Mbowe kuzungumza , Jabali kama hili haliwezi kutishwa na kijana mdogo asiye na kitu kama huyu Sabaya , na akiendelea na siasa za kishamba kutoka kwa wanaomtuma atakuja siku moja kukutwa mlangoni kwa Mbowe kapiga goti kuomba msamaha .
Kwa ufupi sana huu ushauri ninaowapa muuzingatie , Majuto ni mjukuu
Kwisha habari yakeDaktari yeye
Takukuru yeye
Tra yeye
Polisi yeye
Ova
Kazi yetu siku zote ni kutoa onyo kabla ya hatari .Lengai Thomas Ole Sabaya kwishnei! Utabiri wako umetimia
Sent from my itel A32F using JamiiForums mobile app
kama unaizungumzia hiyo ambayo yuko Mama Samia , hii ilikuwa wakati wa Kikwete , hapa ni Ikulu , mama Samia alikuwa Waziri wa mambo ya muungano
Halafu ameishia wapi ?Ole Sabaya kwenye kikao cha juzi ndani ya chama nasikia aliwaambia wana CCM kuwa jimbo hilo ni lake 2020 sasa sijajua je asili yake ni mchaga mana kwenye jamii ninayotoka mimi kuongozwa na mtu wa kuja hilo halipo