Halisikii dawa.Sikio LA Kufa...
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Mkuu Advertisement nadhani ushaiona ktk hii chaguzi za serikali za mtaaIla kwa Heche na Mbowe ni kazi sana, kwa hao wengine ni rahisi sana kutumia "bao la mkono".
Hao wote watakatwa kwa kukosea kujaza fomu. Maana ndio.njia.mpya ya ushindi.kwa hisani.ya awamu ya.tano.Napenda kuwahakikishia kuwa
Lema.
Msigwa
Mbowe
Mdee
Heche
Esta bulaya
Zito kabwe
Hawa wote 2020 hawatarudi bungeni lkn Sugu atapona atarudi mjengoni hao waliobaki watake wasitake bungeni hawatorudi
MARK MY WORDS
Na Mungu atujaalie uhai tu
Ila mmachame Lema kuongoza jimbo lillopo Mkoa wa wamasai na wameru ni sawa sio?? Tulidhani kuwa nyie upinzani mnafahamu demokrasia?? Kumbe mmejaa ukabila na ubaguzi usiowaisha.Ole Sabaya kwenye kikao cha juzi ndani ya chama nasikia aliwaambia wana CCM kuwa jimbo hilo ni lake 2020 sasa sijajua je asili yake ni mchaga mana kwenye jamii ninayotoka mimi kuongozwa na mtu wa kuja hilo halipo
Kosa Kabisa: Bungeni harudi Sugu, Mwisho wake vywawaNapenda kuwahakikishia kuwa
Lema.
Msigwa
Mbowe
Mdee
Heche
Esta bulaya
Zito kabwe
Hawa wote 2020 hawatarudi bungeni lkn Sugu atapona atarudi mjengoni hao waliobaki watake wasitake bungeni hawatorudi
MARK MY WORDS
Na Mungu atujaalie uhai tu
Ni upumbavu kujaribu kuwapumbaza wananchi,Napenda kuwahakikishia kuwa
Lema.
Msigwa
Mbowe
Mdee
Heche
Esta bulaya
Zito kabwe
Hawa wote 2020 hawatarudi bungeni lkn Sugu atapona atarudi mjengoni hao waliobaki watake wasitake bungeni hawatorudi
MARK MY WORDS
Na Mungu atujaalie uhai tu
Nitake heshima Kuniita mm upinzani tusi kubwa sana kwanguIla mmachame Lema kuongoza jimbo lillopo Mkoa wa wamasai na wameru ni sawa sio?? Tulidhani kuwa nyie upinzani mnafahamu demokrasia?? Kumbe mmejaa ukabila na ubaguzi usiowaisha.
Ni upumbavu kujaribu kuwapumbaza wananchi,
mwenye uwezo wa kuwarudisha bungeni si matakwa yako, bali ni kudra za mwenyezi Mungu na kura za wananchi.
labda uwadhihirishie wananchi wewe ndiye kura zao.
Pengine katiba ibadilike. La sivyo akipangacho Mungu kamwe wewe unayejikweza huwezi kutengua.
Maana kwa kujiamini huku hata huyo unayemtegemea naye anapewa pumzi na Mwenyezi Mungu.
Kwa hiyo usipende kumpangia Mwenyezi Mungu cha kufanya.
Mtu ambaye ni kapuku , mtu ambaye imethibitika kwamba umasikini wake umepelekea hadi kufoji nyaraka za Usalama wa Taifa ili atishe watu na kuwaomba rushwa ya kujikimu , mtu ambaye imethibitishwa mbele ya wakuu wa TRA kwamba anatumia mtutu wa bunduki kuomba rushwa ndogo hadi ya mil 2 za madafu , huyu hawezi kupambana na Tajiri Mbowe hata mkimkabidhi jeshi lote la polisi .
Freeman Mbowe atadhibitiwa kisiasa na mtu mwenye hoja za kisiasa aliyejaa utajiri wa wema na roho ya kibinadamu mwenye ushawishi , Mbowe ni jabali la kisiasa la nchi hii , huyu kauli zake ndio zinazotoa mwelekeo wa nchi , Mbowe ndiye dira ya Taifa , mipango yote ya kudhibiti siasa za nchi hii inapangwa baada ya Mbowe kuzungumza , Jabali kama hili haliwezi kutishwa na kijana mdogo asiye na kitu kama huyu Sabaya , na akiendelea na siasa za kishamba kutoka kwa wanaomtuma atakuja siku moja kukutwa mlangoni kwa Mbowe kapiga goti kuomba msamaha .
Kwa ufupi sana huu ushauri ninaowapa muuzingatie , Majuto ni mjukuu
Kwa mwehu anaweza kuona huo ni mselelekoAfter all Mh. Mbowe na chama chake watasusia uchaguzi. Hivyo, Ole Sabaya kama anashuka mlima bila kuwasha injini!!!!
huyo dj ni kapuku namba moja kashindwa hata kulipa kodi ukumbi wake wa disco umevunjwa halafu unassema bilionea? kwenu hamjui hela inaonekana wewe dadaMtu ambaye ni kapuku , mtu ambaye imethibitika kwamba umasikini wake umepelekea hadi kufoji nyaraka za Usalama wa Taifa ili atishe watu na kuwaomba rushwa ya kujikimu , mtu ambaye imethibitishwa mbele ya wakuu wa TRA kwamba anatumia mtutu wa bunduki kuomba rushwa ndogo hadi ya mil 2 za madafu , huyu hawezi kupambana na Tajiri Mbowe hata mkimkabidhi jeshi lote la polisi .
Freeman Mbowe atadhibitiwa kisiasa na mtu mwenye hoja za kisiasa aliyejaa utajiri wa wema na roho ya kibinadamu mwenye ushawishi , Mbowe ni jabali la kisiasa la nchi hii , huyu kauli zake ndio zinazotoa mwelekeo wa nchi , Mbowe ndiye dira ya Taifa , mipango yote ya kudhibiti siasa za nchi hii inapangwa baada ya Mbowe kuzungumza , Jabali kama hili haliwezi kutishwa na kijana mdogo asiye na kitu kama huyu Sabaya , na akiendelea na siasa za kishamba kutoka kwa wanaomtuma atakuja siku moja kukutwa mlangoni kwa Mbowe kapiga goti kuomba msamaha .
Kwa ufupi sana huu ushauri ninaowapa muuzingatie , Majuto ni mjukuu
Na kwa juha ndio anaweza kufikiri kuwa atapata ubunge bila kushiriki uchaguzi!Kwa mwehu anaweza kuona huo ni mseleleko
Hiyo haina chochote katika mipango ya M.M abadanAdvertisement umeshiona ktk uchaguzi wa serikali za mitaa
Weweee unabisha ili uwelewe au unabisha tu ...kama muuza kahawaHiyo haina chochote katika mipango ya M.M abadan
Ulevi wa madaraka haujawahi kumuacha mtu salamaMtu ambaye ni kapuku , mtu ambaye imethibitika kwamba umasikini wake umepelekea hadi kufoji nyaraka za Usalama wa Taifa ili atishe watu na kuwaomba rushwa ya kujikimu , mtu ambaye imethibitishwa mbele ya wakuu wa TRA kwamba anatumia mtutu wa bunduki kuomba rushwa ndogo hadi ya mil 2 za madafu , huyu hawezi kupambana na Tajiri Mbowe hata mkimkabidhi jeshi lote la polisi .
Freeman Mbowe atadhibitiwa kisiasa na mtu mwenye hoja za kisiasa aliyejaa utajiri wa wema na roho ya kibinadamu mwenye ushawishi , Mbowe ni jabali la kisiasa la nchi hii , huyu kauli zake ndio zinazotoa mwelekeo wa nchi , Mbowe ndiye dira ya Taifa , mipango yote ya kudhibiti siasa za nchi hii inapangwa baada ya Mbowe kuzungumza , Jabali kama hili haliwezi kutishwa na kijana mdogo asiye na kitu kama huyu Sabaya , na akiendelea na siasa za kishamba kutoka kwa wanaomtuma atakuja siku moja kukutwa mlangoni kwa Mbowe kapiga goti kuomba msamaha .
Kwa ufupi sana huu ushauri ninaowapa muuzingatie , Majuto ni mjukuu