Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,439
- 215,211
- Thread starter
- #21
Kila siku siyo jumapiliHata likisimamishwa jiwe jiwe linapita kwasababu zisipotosha zinatosheshwa!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku siyo jumapiliHata likisimamishwa jiwe jiwe linapita kwasababu zisipotosha zinatosheshwa!.
P
Hongera Mkuu kwa utabiri.VIP kwa wanaccm wabunge gani watarudi mjengoni?Napenda kuwahakikishia kuwa
Lema.
Msigwa
Mbowe
Mdee
Heche
Esta bulaya
Zito kabwe
Hawa wote 2020 hawatarudi bungeni lkn Sugu atapona atarudi mjengoni hao waliobaki watake wasitake bungeni hawatorudi
MARK MY WORDS
Na Mungu atujaalie uhai tu
Haahaa Mkuu mbona huko chadema baadhi wanasema hakuna anayeweza kuwa mwenyekiti zaidi ya mbowe?Ndugu wana CCM tuamke kwenye hizi ndoto za kijinga, chadema sio Mbowe na haitakufa.
kuanguka kwa kumtumia Sabaya !Hai. Machame ni pagumu Sana kwa Mbowe. Hai umasai na Machame juu Kuna kazi nzito. Mbowe anaweza kuanguka
Huyu kijana ni limbukeni sijapata kuona , Alivyofumaniwa watu wakamuokoa basi amejisahau kabisa !Sabaya ni popoma na ni janga kwake na kwa wanaomtumia
Lakini ukweli ndio huo hata duka tu ukifungua hai kama siyo mmachame imekula kwakoAisee kama sifa ya kwanza ya mtu anayepaswa kukuongoza wewe ni lazima awe mtu wa kabila lako na anayetokea eneo hilo hilo, basi na watu wa maeneo mengine watakuwa wanafanya makosa makubwa sana.
Maana nyie wachaga kuna maeneo mengi sana nchi hii mmepewa nafasi ya udiwani na ubunge ambayo sio ya kwenu kiasili.
Na endapo kama kila mtu akiamua ku reciprocate kwa hiki unachokisema, basi hii inchi itaingia kwenye utter political chaos na hatimae kuingia kwenye civil war sababu ya kugombania maeneo.
Watu wenye akili kama zako ni cancer kwa Taifa na hamstahili kuishi. Maana uwepo wako ni hatari kwa uwepo wa wengine.
"Haikuwa ya wachaga"ila asaiv ya wachaga sasa nikuambie kitu mkuu ukisema ukabila haupo njoo kwetu makete mtu wa kabila jingine gombea hata ujumbe wa Tawi wakuoneshe au nenda rungwe na kyela huko wakakuambie kuongozwa na mtu wa asili nyingine kwao zambiMajimbo hayana ukabila, huyo kijana anajitutumua kipumbavu na hana haki ya kutaka kumdhalilisha kiongozi kama Mbowe, hata sie wana CCM wengine hatuungi mkono yanayofanyika Hai hivi sasa.
Kuhusu ukabila kama ni kigezo cha mtu kuishi ama kugombea sehemu, Hai haikuwa sehemu ya wachaga bali ilikuwa sehemu ya wamasai na kama ni ukabila Ole Sabaya ni Mmasai, wachaga wamekuja kuishi kama walivyohamia mkoa wa Arusha, Tanzania ni ya kila mtu.
Aisee sio huku kwetu yaani mtu wa kuja uje kutuongoza sisi hilo halipo na haliji kutokeaAisee kama sifa ya kwanza ya mtu anayepaswa kukuongoza wewe ni lazima awe mtu wa kabila lako na anayetokea eneo hilo hilo, basi na watu wa maeneo mengine watakuwa wanafanya makosa makubwa sana.
Maana nyie wachaga kuna maeneo mengi sana nchi hii mmepewa nafasi ya udiwani na ubunge ambayo sio ya kwenu kiasili.
Na endapo kama kila mtu akiamua ku reciprocate kwa hiki unachokisema, basi hii inchi itaingia kwenye utter political chaos na hatimae kuingia kwenye civil war sababu ya kugombania maeneo.
Watu wenye akili kama zako ni cancer kwa Taifa na hamstahili kuishi. Maana uwepo wako ni hatari kwa uwepo wa wengine.
Nipe sababu zozote za msingi za kufanya nyie msiongozwe na mtu anayetoka sehemu nyingine.Aisee sio huku kwetu yaani mtu wa kuja uje kutuongoza sisi hilo halipo na haliji kutokea
Acha kuandika upuuzi wewe toa sababu"Haikuwa ya wachaga"ila asaiv ya wachaga sasa nikuambie kitu mkuu ukisema ukabila haupo njoo kwetu makete mtu wa kabila jingine gombea hata ujumbe wa Tawi wakuoneshe au nenda rungwe na kyela huko wakakuambie kuongozwa na mtu wa asili nyingine kwao zambi
Basi kama ni hivyo kuna aja ya kuwaangalia hawa watu kwa jicho la karibu na ikiwezekana kwenye suala la uongozi waishie huko huko kwao tu. Wasipewe kabisa nyadhifa yoyote ile ambayo inahusisha kuongoza watu wa maeneo mengi. Maana inaonesha wao wenyewe hawako tayari kwa wamoja na watu wengine.Lakini ukweli ndio huo hata duka tu ukifungua hai kama siyo mmachame imekula kwako
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Napenda kuwahakikishia kuwa
Lema.
Msigwa
Mbowe
Mdee
Heche
Esta bulaya
Zito kabwe
Hawa wote 2020 hawatarudi bungeni lkn Sugu atapona atarudi mjengoni hao waliobaki watake wasitake bungeni hawatorudi
MARK MY WORDS
Na Mungu atujaalie uhai tu
Shetani hajawahi kumshinda MunguIla kwa Heche na Mbowe ni kazi sana, kwa hao wengine ni rahisi sana kutumia "bao la mkono". 🤣🤣
Mtu ambaye hakuwahi kuwa hata katibu kata unampa uongozi wa juu unategemea nini ?JK pamoja na madhaifu km mwanadamu mwingine yeyote alikuwa na hekima sana :
View attachment 1220433
Mnyapara wa barabara amepewa uongozi wa juu kuliko wote!Mtu ambaye hakuwahi kuwa hata katibu kata unampa uongozi wa juu unategemea nini ?