h120
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,530
- 3,315
Kero ya foleni hapa ubungo ni balaa hususani kwa wakazi wa kimara,mbezi na kuendelea. Yani ubungo ndo kitovu cha foleni na ukizingatia na ujenzi unaoendelea tabu tupu. Ushauri wangu kwa wajenzi ktk eneo la ubungo hapa wajenge masaa 24 usiku na mchana ili wamalize tatizo hili sugu japo kidogo tu.