Ushauri: Bora Rais ange-mute kwanza kumtumbuwa Makalla maana amewasha moto

Mku ulichokiandika ni kweli kabisa kwa mwanaccm anayaona yanayoendelea ndani hawezi kubisha ulichokiandika.
Mku kundi ambalo liko nje sio la kubeza kwani ni kubwa alafu lina hoja za kutosha za kusimamia na kusimama nazo ndani ya chama na zikamsumbua mku kwani usiwaone Katibu wangu Bashuri na Polepole hawaongelei swala la CAG na hali ya uchumi wa nchi uliko na ulikokuwa kabla Mku hajakabidhiwa Nchi ni kwa kuwa chama sasa hivi kina pande mbili na hawa viongozi kuliona hili wanaona aibu kuliongelea kwani hili kundi ndio hoja zao kubwa
Mimi kwa mtazamo wangu naona kitendo cha mkuu wetu wa chama na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ange mute kumtenguwa mh Makala, then akamtumbuwa baadae baada ya vuguvugu linaendelea kutulia. Kwawanao mjuwa Mh Makala watakubaliana na mimi Rais ameenda kujitengezea fukuto kali ndani ya chama ambapo hata afanye nini litamuacha akiwa na vita kali ndani ya chama hasa tukizingatia ndani ya chama kuna kundi fulani limeshaona lina angamizwa silence japo wenyewe kwa wenyewe wameshajuwa wapo kwenye List. Na kwa wale wanajuwa maswala ya kiinteligensia anaweza kubaliana na mimi kuwa ni hatari sana adui kujuwa kuwa yeye ndie anaye fuwata maana atakusumbuwa sana na hasa akiwa kwenye mfumo.

Kitisho kina ikabili ccm ni makundi na makundi haya hayajawahi muacha Rais yeyote mstaafu salama ndio maana mnaweza kumlaumu sana Mstaafu Rais Kikwete ktk uendeshaji wa chama ila mnaweza kukubaliana na mimi alikuwa very smart kuepuka makundi kumraruwa na yeye kukosa nguvu ndani ya Makundi hivyo tabasamu lake na kicheko chake kili wapoteza sana mpaka alipo weka shoka shingoni na mti akaukata. Wakapiga kelele yeye akaka pembeni akawaacha wapigane masingi then akarudi na kuwasuluhisha while nyuma ya pazia yeye ndie mastar plan.

Kipindi hiki ni tofauti watu fulani wameshajuwa wao nifungu la kukosa ila wapo ambao wanajuwana na wapo wasio juwana ila wanajuwa wapo team moja sasa hawa kwakujuwa mkuu anawakata shingo kwenye serikali kwa kuwanyima fursa wamegeuka na kuwa na muungano ambao mimi naweza sema ni hatari kuliko yote na hapa ndipo nataka kusema nilazima mkuu aliangalie hili kwa makini maana mtu mnafiki ni vigumu kumjuwa mpaka awe amekutia matatizoni. sio siri wapo mapandikizi amabo mkuu hawajuwi na hawa ndio watamsumbuwa maana wakati wakiwa ndani watatengeneza mtatndao kumdhibiti mbaya zaidi mtikisiko huwo utakuwa mkubwa sana anapoiendea term ya mwisho.

kwahiyo ningeshauri mh rais awe makiini sana asiwe na watu ila awe peke yake na team ndogo ya wataalamu kuweza kutawala chama maana nje ya hapo naona anajitengenezea picha itamtisha mwenyewe jambo ni hatari sana kwake binafsi na chama.

Huyu Makala ambaye amemuona ni staiki yake huyu anaweza kuwa chanzo cha uchungu ndani ya chama na safari mpya ya makundi makali ndani ya chama ambapo asipo angalia watamtesa. Labda uniambie ile tetesi anataka kumpa kazi nyingine maalumu iwe kweli nje y hapo sisi waona mbali tuna sema let stay tune.
huu ni mtazamo wangu na maoni sio vingine.
 
Huyu Makala ambaye amemuona ni staiki yake huyu anaweza kuwa chanzo cha uchungu ndani ya chama na safari mpya ya makundi makali ndani ya chama ambapo asipo angalia watamtesa. Labda uniambie ile tetesi anataka kumpa kazi nyingine maalumu iwe kweli nje y hapo sisi waona mbali tuna sema let stay tune.
huu ni mtazamo wangu na maoni sio vingine.
Kwenye ccm hakuna alie mkubwa kuliko chama.Wewe ulijua kama lowassa atakatwa?
Aliekwambia nafasi ya ukoo wa mkoa ni ya kudumu ni nani?
 
Maamuzi ya Rais linapokuja suala na kuteua na kutengua uwa ni ngumu kuyahoji kwa sabau vigezo vya kuteua na kutengua ni vyake mwenyewe.

Rais Magufuli ni kiongozi ambaye anataka kuona matokeo makubwa , na yeyoye atakayekwamisha upatikanaji wa matokeo hayo si rahisi kumvumilia.

Ni bora mtu aadhibiwe ili kuondoa maswali mengi kuliko kumwacha maana kutafanya maswali yawe mengi na hivyo kupoteza imani kwa watu wengi.
Nchi haiwezi kuendeshwa kama Tamthilia ya Sultan .
 
Hawa ni baadhi tu ya wale waliomo kwenye kundi la Champions of Change ambalo linazidi kuongezeka kwa kasi kubwa na lina watu mahiri sana ambao wameamua kupinga udikteta na maovu chungu nzima yanayofanywa na huyo nduli na vipuppets vyake.

Wao wako na Lissu, Mdude, Fatma Karume etc.. ndio vipaumbele vyao.
 
Mimi kwa mtazamo wangu naona kitendo cha mkuu wetu wa chama na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ange mute kumtenguwa mh Makala, then akamtumbuwa baadae baada ya vuguvugu linaendelea kutulia.

Kwa wanaomjus Makalla, watakubaliana na mimi Rais ameenda kujitengezea fukuto kali ndani ya chama ambapo hata afanye nini litamuacha akiwa na vita kali ndani ya chama hasa tukizingatia ndani ya chama kuna kundi fulani limeshaona linaangamizwa silence japo wenyewe kwa wenyewe wameshajua wapo kwenye List. Na kwa wale wanaojua masuala ya kiinteligensia wanaweza kubaliana na mimi kuwa ni hatari sana adui kujua kuwa yeye ndie anayefuata maana atakusumbua sana na hasa akiwa kwenye mfumo.

Kitisho kina ikabili CCM ni makundi na makundi haya hayajawahi muacha Rais yeyote mstaafu salama ndio maana mnaweza kumlaumu sana Mstaafu Rais Kikwete ktk uendeshaji wa chama ila mnaweza kukubaliana na mimi alikuwa very smart kuepuka makundi kumraruwa na yeye kukosa nguvu ndani ya Makundi hivyo tabasamu lake na kicheko chake kili wapoteza sana mpaka alipo weka shoka shingoni na mti akaukata. Wakapiga kelele yeye akaka pembeni akawaacha wapigane masingi then akarudi na kuwasuluhisha while nyuma ya pazia yeye ndie mastar plan.

Kipindi hiki ni tofauti watu fulani wameshajuwa wao ni fungu la kukosa ila wapo ambao wanajuwana na wapo wasio juwana ila wanajuwa wapo team moja sasa hawa kwakujuwa mkuu anawakata shingo kwenye serikali kwa kuwanyima fursa wamegeuka na kuwa na muungano ambao mimi naweza sema ni hatari kuliko yote na hapa ndipo nataka kusema nilazima mkuu aliangalie hili kwa makini maana mtu mnafiki ni vigumu kumjuwa mpaka awe amekutia matatizoni. sio siri wapo mapandikizi amabo mkuu hawajuwi na hawa ndio watamsumbuwa maana wakati wakiwa ndani watatengeneza mtatndao kumdhibiti mbaya zaidi mtikisiko huwo utakuwa mkubwa sana anapoiendea term ya mwisho.

Kwahiyo ningeshauri mh rais awe makiini sana asiwe na watu ila awe peke yake na team ndogo ya wataalamu kuweza kutawala chama maana nje ya hapo naona anajitengenezea picha itamtisha mwenyewe jambo ni hatari sana kwake binafsi na chama.

Huyu Makalla ambaye amemuona ni stahiki yake anaweza kuwa chanzo cha uchungu ndani ya chama na safari mpya ya makundi makali ndani ya chama ambapo asipo angalia watamtesa.

Labda uniambie ile tetesi kuwa anataka kumpa kazi nyingine maalumu iwe kweli, nje ya hapo sisi waona mbali tuna sema let stay tune.
huu ni mtazamo wangu na maoni sio vingine.
Naona unampigia kampeni makala ili apewe kazi nyingine kwa kumtisha Mwenyekiti wa chama
 
Mimi kwa mtazamo wangu naona kitendo cha mkuu wetu wa chama na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ange mute kumtenguwa mh Makala, then akamtumbuwa baadae baada ya vuguvugu linaendelea kutulia.

Kwa wanaomjus Makalla, watakubaliana na mimi Rais ameenda kujitengezea fukuto kali ndani ya chama ambapo hata afanye nini litamuacha akiwa na vita kali ndani ya chama hasa tukizingatia ndani ya chama kuna kundi fulani limeshaona linaangamizwa silence japo wenyewe kwa wenyewe wameshajua wapo kwenye List. Na kwa wale wanaojua masuala ya kiinteligensia wanaweza kubaliana na mimi kuwa ni hatari sana adui kujua kuwa yeye ndie anayefuata maana atakusumbua sana na hasa akiwa kwenye mfumo.

Kitisho kina ikabili CCM ni makundi na makundi haya hayajawahi muacha Rais yeyote mstaafu salama ndio maana mnaweza kumlaumu sana Mstaafu Rais Kikwete ktk uendeshaji wa chama ila mnaweza kukubaliana na mimi alikuwa very smart kuepuka makundi kumraruwa na yeye kukosa nguvu ndani ya Makundi hivyo tabasamu lake na kicheko chake kili wapoteza sana mpaka alipo weka shoka shingoni na mti akaukata. Wakapiga kelele yeye akaka pembeni akawaacha wapigane masingi then akarudi na kuwasuluhisha while nyuma ya pazia yeye ndie mastar plan.

Kipindi hiki ni tofauti watu fulani wameshajuwa wao ni fungu la kukosa ila wapo ambao wanajuwana na wapo wasio juwana ila wanajuwa wapo team moja sasa hawa kwakujuwa mkuu anawakata shingo kwenye serikali kwa kuwanyima fursa wamegeuka na kuwa na muungano ambao mimi naweza sema ni hatari kuliko yote na hapa ndipo nataka kusema nilazima mkuu aliangalie hili kwa makini maana mtu mnafiki ni vigumu kumjuwa mpaka awe amekutia matatizoni. sio siri wapo mapandikizi amabo mkuu hawajuwi na hawa ndio watamsumbuwa maana wakati wakiwa ndani watatengeneza mtatndao kumdhibiti mbaya zaidi mtikisiko huwo utakuwa mkubwa sana anapoiendea term ya mwisho.

Kwahiyo ningeshauri mh rais awe makiini sana asiwe na watu ila awe peke yake na team ndogo ya wataalamu kuweza kutawala chama maana nje ya hapo naona anajitengenezea picha itamtisha mwenyewe jambo ni hatari sana kwake binafsi na chama.

Huyu Makalla ambaye amemuona ni stahiki yake anaweza kuwa chanzo cha uchungu ndani ya chama na safari mpya ya makundi makali ndani ya chama ambapo asipo angalia watamtesa.

Labda uniambie ile tetesi kuwa anataka kumpa kazi nyingine maalumu iwe kweli, nje ya hapo sisi waona mbali tuna sema let stay tune.
huu ni mtazamo wangu na maoni sio vingine.
Kwani we hupendi hiyo hali ikitokea let it be
 
Mimi kwa mtazamo wangu naona kitendo cha mkuu wetu wa chama na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ange mute kumtenguwa mh Makala, then akamtumbuwa baadae baada ya vuguvugu linaendelea kutulia.

Kwa wanaomjus Makalla, watakubaliana na mimi Rais ameenda kujitengezea fukuto kali ndani ya chama ambapo hata afanye nini litamuacha akiwa na vita kali ndani ya chama hasa tukizingatia ndani ya chama kuna kundi fulani limeshaona linaangamizwa silence japo wenyewe kwa wenyewe wameshajua wapo kwenye List. Na kwa wale wanaojua masuala ya kiinteligensia wanaweza kubaliana na mimi kuwa ni hatari sana adui kujua kuwa yeye ndie anayefuata maana atakusumbua sana na hasa akiwa kwenye mfumo.

Kitisho kina ikabili CCM ni makundi na makundi haya hayajawahi muacha Rais yeyote mstaafu salama ndio maana mnaweza kumlaumu sana Mstaafu Rais Kikwete ktk uendeshaji wa chama ila mnaweza kukubaliana na mimi alikuwa very smart kuepuka makundi kumraruwa na yeye kukosa nguvu ndani ya Makundi hivyo tabasamu lake na kicheko chake kili wapoteza sana mpaka alipo weka shoka shingoni na mti akaukata. Wakapiga kelele yeye akaka pembeni akawaacha wapigane masingi then akarudi na kuwasuluhisha while nyuma ya pazia yeye ndie mastar plan.

Kipindi hiki ni tofauti watu fulani wameshajuwa wao ni fungu la kukosa ila wapo ambao wanajuwana na wapo wasio juwana ila wanajuwa wapo team moja sasa hawa kwakujuwa mkuu anawakata shingo kwenye serikali kwa kuwanyima fursa wamegeuka na kuwa na muungano ambao mimi naweza sema ni hatari kuliko yote na hapa ndipo nataka kusema nilazima mkuu aliangalie hili kwa makini maana mtu mnafiki ni vigumu kumjuwa mpaka awe amekutia matatizoni. sio siri wapo mapandikizi amabo mkuu hawajuwi na hawa ndio watamsumbuwa maana wakati wakiwa ndani watatengeneza mtatndao kumdhibiti mbaya zaidi mtikisiko huwo utakuwa mkubwa sana anapoiendea term ya mwisho.

Kwahiyo ningeshauri mh rais awe makiini sana asiwe na watu ila awe peke yake na team ndogo ya wataalamu kuweza kutawala chama maana nje ya hapo naona anajitengenezea picha itamtisha mwenyewe jambo ni hatari sana kwake binafsi na chama.

Huyu Makalla ambaye amemuona ni stahiki yake anaweza kuwa chanzo cha uchungu ndani ya chama na safari mpya ya makundi makali ndani ya chama ambapo asipo angalia watamtesa.

Labda uniambie ile tetesi kuwa anataka kumpa kazi nyingine maalumu iwe kweli, nje ya hapo sisi waona mbali tuna sema let stay tune.
huu ni mtazamo wangu na maoni sio vingine.
"Magufuli ruling party" in the making.

Siku "ccm asilia" mtakaposhtuka itakuwa too late. Or maybe it already is too late.
 
Mimi kwa mtazamo wangu naona kitendo cha mkuu wetu wa chama na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ange mute kumtenguwa mh Makala, then akamtumbuwa baadae baada ya vuguvugu linaendelea kutulia.

Kwa wanaomjus Makalla, watakubaliana na mimi Rais ameenda kujitengezea fukuto kali ndani ya chama ambapo hata afanye nini litamuacha akiwa na vita kali ndani ya chama hasa tukizingatia ndani ya chama kuna kundi fulani limeshaona linaangamizwa silence japo wenyewe kwa wenyewe wameshajua wapo kwenye List. Na kwa wale wanaojua masuala ya kiinteligensia wanaweza kubaliana na mimi kuwa ni hatari sana adui kujua kuwa yeye ndie anayefuata maana atakusumbua sana na hasa akiwa kwenye mfumo.

Kitisho kina ikabili CCM ni makundi na makundi haya hayajawahi muacha Rais yeyote mstaafu salama ndio maana mnaweza kumlaumu sana Mstaafu Rais Kikwete ktk uendeshaji wa chama ila mnaweza kukubaliana na mimi alikuwa very smart kuepuka makundi kumraruwa na yeye kukosa nguvu ndani ya Makundi hivyo tabasamu lake na kicheko chake kili wapoteza sana mpaka alipo weka shoka shingoni na mti akaukata. Wakapiga kelele yeye akaka pembeni akawaacha wapigane masingi then akarudi na kuwasuluhisha while nyuma ya pazia yeye ndie mastar plan.

Kipindi hiki ni tofauti watu fulani wameshajuwa wao ni fungu la kukosa ila wapo ambao wanajuwana na wapo wasio juwana ila wanajuwa wapo team moja sasa hawa kwakujuwa mkuu anawakata shingo kwenye serikali kwa kuwanyima fursa wamegeuka na kuwa na muungano ambao mimi naweza sema ni hatari kuliko yote na hapa ndipo nataka kusema nilazima mkuu aliangalie hili kwa makini maana mtu mnafiki ni vigumu kumjuwa mpaka awe amekutia matatizoni. sio siri wapo mapandikizi amabo mkuu hawajuwi na hawa ndio watamsumbuwa maana wakati wakiwa ndani watatengeneza mtatndao kumdhibiti mbaya zaidi mtikisiko huwo utakuwa mkubwa sana anapoiendea term ya mwisho.

Kwahiyo ningeshauri mh rais awe makiini sana asiwe na watu ila awe peke yake na team ndogo ya wataalamu kuweza kutawala chama maana nje ya hapo naona anajitengenezea picha itamtisha mwenyewe jambo ni hatari sana kwake binafsi na chama.

Huyu Makalla ambaye amemuona ni stahiki yake anaweza kuwa chanzo cha uchungu ndani ya chama na safari mpya ya makundi makali ndani ya chama ambapo asipo angalia watamtesa.

Labda uniambie ile tetesi kuwa anataka kumpa kazi nyingine maalumu iwe kweli, nje ya hapo sisi waona mbali tuna sema let stay tune.
huu ni mtazamo wangu na maoni sio vingine.
jiwe asiposifiwa kwenye hotuba umekwisha yaani ni sawa na uanze sala bila kusema "bwana Yesu asifiwe" .

pili, hivyo vitambulishoni mapato ya serikali ndio wanaongezea kununulia wabunge na madiwani maana naskia mpaka leo Mollel wa Siha hajalipwa hela yake, alipewa bilioni 1 tu na anadai nyingi tu na nyumba moja kapewa mbezi beach
 
Dua ya kuku...
Humpata fisiem
IMG_20180420_181134_107.jpeg
 
Fisiemu ni watu wengine kabsa,wanaweza farakana lakini baadae wanakuwa kitu kimoja tena kwa mshikamano ambao huwez hutarajia,hiki chama kitatuongoza mpaka mwisho Wa dunia
 
Maamuzi ya Rais linapokuja suala na kuteua na kutengua uwa ni ngumu kuyahoji kwa sabau vigezo vya kuteua na kutengua ni vyake mwenyewe.

Rais Magufuli ni kiongozi ambaye anataka kuona matokeo makubwa , na yeyoye atakayekwamisha upatikanaji wa matokeo hayo si rahisi kumvumilia.

Ni bora mtu aadhibiwe ili kuondoa maswali mengi kuliko kumwacha maana kutafanya maswali yawe mengi na hivyo kupoteza imani kwa watu wengi.
Imani gain tena? Nilipoteza imani kwa magu tangu aliposhindwa kumtumbua bashite kwa vyeti feki
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom