Ushauri: Bora Rais ange-mute kwanza kumtumbuwa Makalla maana amewasha moto

Lazima uelewe maana halisi iliyobebwa na jina la chama chenyewe Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mapinduzi yamejengwa katika misingi ya kukiboresha chama katika harakati zake za kuleta maendeleo kwa wanachama na watanzania wote na waafrika wote (kama utakuwa makini) kwa ujumla. Uboreshaji huu uambatana na kujitathmini ya namna kinavyoendesha harakati zake kwa kuwakagua 'wahusika' katika uendeshaji huo. Chama kikiona kuna sehemu kunahitajika maboresho, dhana ya mapinduzi utumika. Chama kina mfumo imara. Bila kuwa na mfumo huo tusingekuwa na Tanzania ya sasa iliyothabiti kisiasa. Chama kinajali maslahi ya watanzania wote si ya mtanzania mmoja dhidi ya watanzania wengi....!

Upo lakini mleta mada ama umekimbia uzi wako? Ha ha haaa
 
Kwa unavyomuona mwenyekiti wako n kwel unadhan huwa anarudi nyuma
Au unadhan kuna mtu atakayefurukuta

Mind u
Kina Safar Ya Matumain wameomba pooo wnyw

Mimi kwa mtazamo wangu naona kitendo cha mkuu wetu wa chama na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ange mute kumtenguwa mh Makala, then akamtumbuwa baadae baada ya vuguvugu linaendelea kutulia. Kwawanao mjuwa Mh Makala watakubaliana na mimi Rais ameenda kujitengezea fukuto kali ndani ya chama ambapo hata afanye nini litamuacha akiwa na vita kali ndani ya chama hasa tukizingatia ndani ya chama kuna kundi fulani limeshaona lina angamizwa silence japo wenyewe kwa wenyewe wameshajuwa wapo kwenye List. Na kwa wale wanajuwa maswala ya kiinteligensia anaweza kubaliana na mimi kuwa ni hatari sana adui kujuwa kuwa yeye ndie anaye fuwata maana atakusumbuwa sana na hasa akiwa kwenye mfumo.

Kitisho kina ikabili ccm ni makundi na makundi haya hayajawahi muacha Rais yeyote mstaafu salama ndio maana mnaweza kumlaumu sana Mstaafu Rais Kikwete ktk uendeshaji wa chama ila mnaweza kukubaliana na mimi alikuwa very smart kuepuka makundi kumraruwa na yeye kukosa nguvu ndani ya Makundi hivyo tabasamu lake na kicheko chake kili wapoteza sana mpaka alipo weka shoka shingoni na mti akaukata. Wakapiga kelele yeye akaka pembeni akawaacha wapigane masingi then akarudi na kuwasuluhisha while nyuma ya pazia yeye ndie mastar plan.

Kipindi hiki ni tofauti watu fulani wameshajuwa wao nifungu la kukosa ila wapo ambao wanajuwana na wapo wasio juwana ila wanajuwa wapo team moja sasa hawa kwakujuwa mkuu anawakata shingo kwenye serikali kwa kuwanyima fursa wamegeuka na kuwa na muungano ambao mimi naweza sema ni hatari kuliko yote na hapa ndipo nataka kusema nilazima mkuu aliangalie hili kwa makini maana mtu mnafiki ni vigumu kumjuwa mpaka awe amekutia matatizoni. sio siri wapo mapandikizi amabo mkuu hawajuwi na hawa ndio watamsumbuwa maana wakati wakiwa ndani watatengeneza mtatndao kumdhibiti mbaya zaidi mtikisiko huwo utakuwa mkubwa sana anapoiendea term ya mwisho.

kwahiyo ningeshauri mh rais awe makiini sana asiwe na watu ila awe peke yake na team ndogo ya wataalamu kuweza kutawala chama maana nje ya hapo naona anajitengenezea picha itamtisha mwenyewe jambo ni hatari sana kwake binafsi na chama.

Huyu Makala ambaye amemuona ni staiki yake huyu anaweza kuwa chanzo cha uchungu ndani ya chama na safari mpya ya makundi makali ndani ya chama ambapo asipo angalia watamtesa. Labda uniambie ile tetesi anataka kumpa kazi nyingine maalumu iwe kweli nje y hapo sisi waona mbali tuna sema let stay tune.
huu ni mtazamo wangu na maoni sio vingine.
 
Mkuu
Mi si shabik wa chama chochote
But kwa Africa, CCM imekita mizizi kitaasis mno,inahitaji upinzan wenye mfumo wa kitaasisi zaid ili kuing'oa
Ili tamaa yako itimie.
Karibia mamilioni ya wananchi wanatamani hilo lichama lenu lianguke hata kesho ndio furaha yetu. Wacha muvurugane wenyewe. Vita vya panzi furaha ya kunguru
 
CCM hapo awali ilikuwa na viongozi wabovu sana wanaendesha chama kwa mazoea na Ufisadi uliokubuhu.Acheni magufuli anyooshe Nchi
 
Mimi kwa mtazamo wangu naona kitendo cha mkuu wetu wa chama na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ange mute kumtenguwa mh Makala, then akamtumbuwa baadae baada ya vuguvugu linaendelea kutulia. Kwawanao mjuwa Mh Makala watakubaliana na mimi Rais ameenda kujitengezea fukuto kali ndani ya chama ambapo hata afanye nini litamuacha akiwa na vita kali ndani ya chama hasa tukizingatia ndani ya chama kuna kundi fulani limeshaona lina angamizwa silence japo wenyewe kwa wenyewe wameshajuwa wapo kwenye List. Na kwa wale wanajuwa maswala ya kiinteligensia anaweza kubaliana na mimi kuwa ni hatari sana adui kujuwa kuwa yeye ndie anaye fuwata maana atakusumbuwa sana na hasa akiwa kwenye mfumo.

Kitisho kina ikabili ccm ni makundi na makundi haya hayajawahi muacha Rais yeyote mstaafu salama ndio maana mnaweza kumlaumu sana Mstaafu Rais Kikwete ktk uendeshaji wa chama ila mnaweza kukubaliana na mimi alikuwa very smart kuepuka makundi kumraruwa na yeye kukosa nguvu ndani ya Makundi hivyo tabasamu lake na kicheko chake kili wapoteza sana mpaka alipo weka shoka shingoni na mti akaukata. Wakapiga kelele yeye akaka pembeni akawaacha wapigane masingi then akarudi na kuwasuluhisha while nyuma ya pazia yeye ndie mastar plan.

Kipindi hiki ni tofauti watu fulani wameshajuwa wao nifungu la kukosa ila wapo ambao wanajuwana na wapo wasio juwana ila wanajuwa wapo team moja sasa hawa kwakujuwa mkuu anawakata shingo kwenye serikali kwa kuwanyima fursa wamegeuka na kuwa na muungano ambao mimi naweza sema ni hatari kuliko yote na hapa ndipo nataka kusema nilazima mkuu aliangalie hili kwa makini maana mtu mnafiki ni vigumu kumjuwa mpaka awe amekutia matatizoni. sio siri wapo mapandikizi amabo mkuu hawajuwi na hawa ndio watamsumbuwa maana wakati wakiwa ndani watatengeneza mtatndao kumdhibiti mbaya zaidi mtikisiko huwo utakuwa mkubwa sana anapoiendea term ya mwisho.

kwahiyo ningeshauri mh rais awe makiini sana asiwe na watu ila awe peke yake na team ndogo ya wataalamu kuweza kutawala chama maana nje ya hapo naona anajitengenezea picha itamtisha mwenyewe jambo ni hatari sana kwake binafsi na chama.

Huyu Makala ambaye amemuona ni staiki yake huyu anaweza kuwa chanzo cha uchungu ndani ya chama na safari mpya ya makundi makali ndani ya chama ambapo asipo angalia watamtesa. Labda uniambie ile tetesi anataka kumpa kazi nyingine maalumu iwe kweli nje y hapo sisi waona mbali tuna sema let stay tune.
huu ni mtazamo wangu na maoni sio vingine.
Sisi inatuhusu nini na takataka lako la majuha??
 
Watu wa aina yako mleta mada ndyo mnaleta doa ndani ya chama... Hicho chama siyo cha watu flani unao dhani bila wao mambo hayaendi.

kwa taarifa yako watu Km hao inabidi waondoke, chama kibaki na watu wasafi na wenye weredi wasiotegemea, kufanya kazi ili wapate fadhira za uongozi..
kaulize NAPE hadi sasa kafika wapi?
 
Makala hana madhara yoyote labda akapeleke hayo madhara kwa mke wake kama yapo.
 
makala mtu mdogo sana nchi hii hawezi kutusumbua bwana,,yeye arudi akalime tu
 
Mimi kwa mtazamo wangu naona kitendo cha mkuu wetu wa chama na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ange mute kumtenguwa mh Makala, then akamtumbuwa baadae baada ya vuguvugu linaendelea kutulia. Kwawanao mjuwa Mh Makala watakubaliana na mimi Rais ameenda kujitengezea fukuto kali ndani ya chama ambapo hata afanye nini litamuacha akiwa na vita kali ndani ya chama hasa tukizingatia ndani ya chama kuna kundi fulani limeshaona lina angamizwa silence japo wenyewe kwa wenyewe wameshajuwa wapo kwenye List. Na kwa wale wanajuwa maswala ya kiinteligensia anaweza kubaliana na mimi kuwa ni hatari sana adui kujuwa kuwa yeye ndie anaye fuwata maana atakusumbuwa sana na hasa akiwa kwenye mfumo.

Kitisho kina ikabili ccm ni makundi na makundi haya hayajawahi muacha Rais yeyote mstaafu salama ndio maana mnaweza kumlaumu sana Mstaafu Rais Kikwete ktk uendeshaji wa chama ila mnaweza kukubaliana na mimi alikuwa very smart kuepuka makundi kumraruwa na yeye kukosa nguvu ndani ya Makundi hivyo tabasamu lake na kicheko chake kili wapoteza sana mpaka alipo weka shoka shingoni na mti akaukata. Wakapiga kelele yeye akaka pembeni akawaacha wapigane masingi then akarudi na kuwasuluhisha while nyuma ya pazia yeye ndie mastar plan.

Kipindi hiki ni tofauti watu fulani wameshajuwa wao nifungu la kukosa ila wapo ambao wanajuwana na wapo wasio juwana ila wanajuwa wapo team moja sasa hawa kwakujuwa mkuu anawakata shingo kwenye serikali kwa kuwanyima fursa wamegeuka na kuwa na muungano ambao mimi naweza sema ni hatari kuliko yote na hapa ndipo nataka kusema nilazima mkuu aliangalie hili kwa makini maana mtu mnafiki ni vigumu kumjuwa mpaka awe amekutia matatizoni. sio siri wapo mapandikizi amabo mkuu hawajuwi na hawa ndio watamsumbuwa maana wakati wakiwa ndani watatengeneza mtatndao kumdhibiti mbaya zaidi mtikisiko huwo utakuwa mkubwa sana anapoiendea term ya mwisho.

kwahiyo ningeshauri mh rais awe makiini sana asiwe na watu ila awe peke yake na team ndogo ya wataalamu kuweza kutawala chama maana nje ya hapo naona anajitengenezea picha itamtisha mwenyewe jambo ni hatari sana kwake binafsi na chama.

Huyu Makala ambaye amemuona ni staiki yake huyu anaweza kuwa chanzo cha uchungu ndani ya chama na safari mpya ya makundi makali ndani ya chama ambapo asipo angalia watamtesa. Labda uniambie ile tetesi anataka kumpa kazi nyingine maalumu iwe kweli nje y hapo sisi waona mbali tuna sema let stay tune.
huu ni mtazamo wangu na maoni sio vingine.
Ndio itasababisha tule Milo m3 viwanda kujengwa na mazingira mazuri ya vijana kujiajiri na uchumi wa nchi kukua zaidi au mimi ndio sijamuelewa mtoa mada
 
Karibia mamilioni ya wananchi wanatamani hilo lichama lenu lianguke hata kesho ndio furaha yetu. Wacha muvurugane wenyewe. Vita vya panzi furaha ya kunguru
Karibia..kumbe hawajafika hata million.
 
Maamuzi ya Rais linapokuja suala na kuteua na kutengua uwa ni ngumu kuyahoji kwa sabau vigezo vya kuteua na kutengua ni vyake mwenyewe.

Rais Magufuli ni kiongozi ambaye anataka kuona matokeo makubwa , na yeyoye atakayekwamisha upatikanaji wa matokeo hayo si rahisi kumvumilia.

Ni bora mtu aadhibiwe ili kuondoa maswali mengi kuliko kumwacha maana kutafanya maswali yawe mengi na hivyo kupoteza imani kwa watu wengi.
Kama Magufuli asingekuwa mkali na kuwatoa viongozi wanaokalia vyeo kwa mazowea, asingeliweza kabisa kuleta mabadiliko yanayoonekana sasa kwenye serikali na idara zake. Kama kweli unalipenda taifa lako bila kujali maslahi binafsi lazima utaliona hilo.
 
huyo makala ni MTU mdogo sana hawezi kuleta mtikisiko wakihivyo hata asipopangiwa kazi nyingine, na Mimi nimuombe rais asimpangie kazi nyingine tuone😬😬
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom