Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,415
- 85,842
Uni-tag pleaseHizi ndio nyuzi sasa
Nitarudi baadaye wakuu niweke yangu ya kilimo.
Nimeshaona idea 2 hapa ambazo ni Real kabisa..
Uni-tag pleaseHizi ndio nyuzi sasa
Nitarudi baadaye wakuu niweke yangu ya kilimo.
Nimeshaona idea 2 hapa ambazo ni Real kabisa..
Gharama ya hizo vifaa unazifahamu?fungua Imaging clinics,nunua ultrasound machine na xray machine kwa kuanzia,ajili mtaalamu mzuri umpe hata mshahara wa milioni kwa kuanzia uanze kupiga pesa,unaweza kuongeza na huduma za vipimo vingine vya kawaida kama malaria,typhod,kisukari etc,baada ya miaka mitano utafunga CT scan na hapo ndo utakua umeuaga umasikini
Kwa mtaji wa 15m ukianzisha duka la spare za magari hio 3m kwa mwezi hata huumizi kichwa. Ila kuwa tofauti na wauzaji wengine,dont be just like everybody else. Kuwa tofauti. I'm talking from experience.
Hivo vipimo wagonjwa wanafanya wakiandikiwa na Dr, na kawaida huko wanakoandikiwa hizo mashine ZIPO. Sasa utapateje wateja Kama yako sio dispensary au hospital kabisa??fungua Imaging clinics,nunua ultrasound machine na xray machine kwa kuanzia,ajili mtaalamu mzuri umpe hata mshahara wa milioni kwa kuanzia uanze kupiga pesa,unaweza kuongeza na huduma za vipimo vingine vya kawaida kama malaria,typhod,kisukari etc,baada ya miaka mitano utafunga CT scan na hapo ndo utakua umeuaga umasikini
Hizi machine bei gani?fungua Imaging clinics,nunua ultrasound machine na xray machine kwa kuanzia,ajili mtaalamu mzuri umpe hata mshahara wa milioni kwa kuanzia uanze kupiga pesa,unaweza kuongeza na huduma za vipimo vingine vya kawaida kama malaria,typhod,kisukari etc,baada ya miaka mitano utafunga CT scan na hapo ndo utakua umeuaga umasikini
Ushapasikia Besta? Iko Tunisia road Kinondoni,kazi yao ni hivyo vipimo tu,watu wanatoka hospital nyingine wanakuja kupima hapoHivo vipimo wagonjwa wanafanya wakiandikiwa na Dr, na kawaida huko wanakoandikiwa hizo mashine ZIPO. Sasa utapateje wateja Kama yako sio dispensary au hospital kabisa??
Boss X-RAY machine au ultrasound bei yake inaendana na huu Uzi?@PRONTO,nishakuwekea link ya huyo jamaa mkenya anauza guideline kwa bei nafuu mno,humo utapata maelezo ya bei mpaka namna ya kuenenda na masuplier,japo imeandikwa kwa kubase kenya lakini material yaliyomo yatakupa idea kubwa
Boss X-RAY machine au ultrasound bei yake inaendana na huu Uzi?
Ok... Aisee, kumbe hata asiye Dr anaeza anzisha clinic ya vipimo tuu!Ushapasikia Besta? Iko Tunisia road Kinondoni,kazi yao ni hivyo vipimo tu,watu wanatoka hospital nyingine wanakuja kupima hapo
Biashara hii ina mazingaombwe mengi,Biashaara za Dhahabu na Almasi
Sijui kama ni Dr au sio, ila sio lazima iwe hospital. Ni diagnosis center,wanapiga hela balaaOk... Aisee, kumbe hata asiye Dr anaeza anzisha clinic ya vipimo tuu!
Mwenye taarifa zaidi ya hii ya samaki please
hizi hapanipo nyumba ya Mungu nafanya biashara ya samaki wakubwa ila nataka nije huko niangalie na kamba /pronze