ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 42,433
- 49,101
Iweke hapa jukwaani kwa faida ya wengi piaIpo biashara fulan hivi hapa Jamaa kwa mtaji wa M15 anazalisha sh M3 kwa mwezi.
Akitoa operating cost anabakia na
Million 2.7 per each Month
Iweke hapa jukwaani kwa faida ya wengi piaIpo biashara fulan hivi hapa Jamaa kwa mtaji wa M15 anazalisha sh M3 kwa mwezi.
Akitoa operating cost anabakia na
Million 2.7 per each Month
Umenipa changamoto,ngoja nitulize kichwa nicheki changamoto nayoiwezaProfiti ni Malipo ya Mjasiriamali baada ya kuwa amatatua changamoto au ammemtatulia mtu changamoto
Mkuu badala ya kuwaza profit waza wewe unataka kutatua changamoto ipi?
Huwezi pata profiti kama yakuna unacho solve labda kama biashara haramu
Mkuu hebu nipe abc za hii 'biznaa' nitupie jokeri lote hapo hasa kwa mtu ambae si fundi au mzoefu sana wa hii biashara ya spea za magari lakini kamtaji kanapatikana hata li jokeri i.e hamsa milioni(30-50). Nashukuru kwaa kugawa hayo madini.Kwa mtaji wa 15m ukianzisha duka la spare za magari hio 3m kwa mwezi hata huumizi kichwa. Ila kuwa tofauti na wauzaji wengine,dont be just like everybody else. Kuwa tofauti. I'm talking from experience.
Mleta Mada hajasema tuseme kama zipo au hazipo,Ipo biashara fulan hivi hapa Jamaa kwa mtaji wa M15 anazalisha sh M3 kwa mwezi.
Akitoa operating cost anabakia na
Million 2.7 per each Month
SiokweliBiashaara za Dhahabu na Almasi
Bahati nasibu...Zipo, ila mpaka uziotee
Ok kwa wazoefu faida on average inakuaje kwa biashara ys mtaji huo licha ya kwamba sio constant?
Asante kwa kueleweshaMleta Mada hajasema tuseme kama zipo au hazipo,
Bali kama zipo tumtajie ni zipi.
Biashara ya samaki ni ishu kwangu maana inahitaji mda na mimi ni mwajiliwaau njoo nyumba ya Mungu tupambane na samaki
Hii ni nzuri but mda kwangu ni changamotoFanya biashara ya samaki kambakochi nunua 5000kg kisiju/mafia uza 13000-18000 kkoo
Kitu gani unataka kujua?Mkuu hebu nipe abc za hii 'biznaa' nitupie jokeri lote hapo hasa kwa mtu ambae si fundi au mzoefu sana wa hii biashara ya spea za magari lakini kamtaji kanapatikana hata li jokeri i.e hamsa milioni(30-50). Nashukuru kwaa kugawa hayo madini.
Changamoto kubwa kwako itakuwa hio ya wewe kutokuwepo kwenye biashara yako. Hizi biashara ndogo aka SME unahutajika uwepo vinginevyo watatajirika wengine na wewe utafunga biashara.Biashara ya samaki ni ishu kwangu maana inahitaji mda na mimi ni mwajiliwa
hiyo ni hatari labda uwe na uzoefu angalau wa miaka kadhaa ndo unaweza bila hivo inapotea siku mbili tuDuu hii hapana boss
Kuna mtu kaniambia hii biashara ni nzuri! Yeye anauza kwa Wachina! Ameniambia hata Samaki wanaouzwa pale Feri Kigamboni baadhi wanatoka Mafia. Sijui Kama ni kweliFanya biashara ya samaki kambakochi nunua 5000kg kisiju/mafia uza 13000-18000 kkoo
Meengi tu, kwa kuanziaKitu gani unataka kujua?
1. Jinsi ya kuwa tofauti-just be professional,wauza spare wengi sio professional. Jinsi utakavyoongea na wateja wataona tofauti yako wewe na wauzaji wengine.Meengi tu, kwa kuanzia
- jinsi ya kuwa tofauti na wengine
- je bidhaa ni za kuaagiza au unanunua kwa wauzaji wakubwa hapahapa?
-vp kuhusu masoko kuna namna yeyote ya kupata au nikufungua tu shop nakusubiria wateja
- aina ya bidhaa, je ni kustock vipuri pendwa vya akina toyota/nissn au kuna namna ya kuspecialize?
- mna manage vp stock, maana ni vitu vidogoviddogo lkn vingi sana
- changamoto ni zipi?