Ushauri: Biashara ya mchele kutoka Kahama Kupeleka Arusha

OllaChuga Oc

JF-Expert Member
Jul 4, 2016
21,127
24,063
Niaje Mabroo na Masista. Maisha yanaendelea poa, mimi niko Kahama hapa kuna mishe nilikuja kufanya ila mda siyo mrefu nageuza kurudi A Town, aka A City, Geneva of Africa, City of God ..ni hivi wakuu tuachane na mbwe mbwe za majina.

Ni Kwamba katika muda niliokaa hapa kahama nimetamani kufanya hii biashara ya mchele ..yani nichukue kutoka huku na kupeleka pale Arusha mjini na kuuza kwa jumla na reja reja. Bei ya huku siyo mbaya inaonesha bado uko chini sana ..kwa mfano supa waweza kupata hadi kwa tzs 1200 hadi 1100. Grade two ni hadi 1000 mpaka 900.

Tofauti na Shinyanga mjini ambapo bei iko juu kidgo. Nikacheki na bei ya mpunga ili ukoboe upate mchele bei yake ni kama tzs 45000/= hadi tzs 50000, changamoto kubwa iliyopo ni kujua upi ni mpunga mzuri ili ukikoboa usije pata mchele ule wanaita "biriani" ni balaa. Kitu ambacho nimegundua ukiwa na uzoefu unapata mchele mzuri ila ukija kichwa kichwa utapigwa tu.

Hivyo wakuu naombeni uzoefu wenu hasa kama kuna wadau wanaofanya hii biz, je inalipa? Mimi kwa sasa nauza chakula pale sakina na matunda pale kilombero. Ila kwakua kuna mishe nilipata huku ivyo vijana wangu wa kazi bado wanaendesha mapambano. Hivyo nikiwa narudi Arusha nirudi na hata tani mbili kwanza za kuanzia ila sijajua nitaanza vip kwa maan ya bei iliyopo sasa ni tzs ngap?

Mfano nikinunua mchele huku kwa 1100/= kuna gharama zingine ndogo zitajitokeza hapo kwa maana hiyo

nitanunua kwa kilo kwa bei ya JUMLA ni tzs 1,250 per kg ina maana 1,100 ni kwa bei ya kununua na hiyo 150 itaingia kweny gharama zingine kama usafiri, ushuru, kununua mifuko, na gharama za ku grade. Hivyo basi kwa Tani moja nitanunua kwa tzs 1,250,000.

Je nikifikisha Arusha nikauza kwa 1600per kg, hadi 1500 per kg nitakuwa nmepoteza Muda tu na nguvu huku faida ikiwa kidogo? Ukiisha wote kwa bei ya 1600/kg nitakuwa na tzs1,600,000. Hivyo faida itakuwa ni sawa na 1600-1250=350, ina maana faida itakuwa ni 350,000. Hapo bado sijaweka Muda ambao nitatumia kuuza mchele huo.

Ni bado sijaanza kuifanya ndo natathmini kwanza, hivyo naombeni ushauri wenu wadau ili nijue moja nifanye au niendelee zangu na matunda tu na chakula kwanza. Asanteni
 
Niaje Mabroo na Masista. Maisha yanaendelea poa, mimi niko kahama hapa kuna mishe nilikuja kufanya ila mda siyo mrefu nageuza kurudi A Town, aka A City, Geneva of Africa, City of God ..ni hivi wakuu tuachane na mbwe mbwe za majina. Ni Kwamba katika muda niliokaa hapa kahama nimetamani kufanya hii biashara ya mchele ..yani nichukue kutoka huku na kupeleka pale Arusha mjini na kuuza kwa jumla na reja reja. Bei ya huku siyo mbaya inaonesha bado uko chini sana ..kwa mfano supa waweza kupata hadi kwa tzs 1200 hadi 1100. Grade two ni hadi 1000 mpaka 900. Tofauti na shinyanga mjini ambapo bei iko juu kidgo. Nikacheki na bei ya mpunga ili ukoboe upate mchele bei yake ni kama tzs 45000/= hadi tzs 50000, changamoto kubwa iliyopo ni kujua upi ni mpunga mzuri ili ukikoboa usije pata mchele ule wanaita "biriani" ni balaa. Kitu ambacho nimegundua ukiwa na uzoefu unapata mchele mzuri ila ukija kichwa kichwa utapigwa tu.

Hivyo wakuu naombeni uzoefu wenu hasa kama kuna wadau wanaofanya hii biz, je inalipa? Mimi kwa sasa nauza chakula pale sakina na matunda pale kilombero. Ila kwakua kuna mishe nilipata huku ivyo vijana wangu wa kazi bado wanaendesha mapambano. Hivyo nikiwa narudi Arusha nirudi na hata tani mbili kwanza za kuanzia ila sijajua nitaanza vip kwa maan ya bei iliyopo sasa ni tzs ngap?

Mfano nikinunua mchele huku kwa 1100/= kuna gharama zingine ndogo zitajitokeza hapo kwa maana hiyo nitanunua kwa kilo kwa bei ya JUMLA ni tzs 1,250 per kg ina maana 1,100 ni kwa bei ya kununua na hiyo 150 itaingia kweny gharama zingine kama usafiri, ushuru, kununua mifuko, na gharama za ku grade. Hivyo basi kwa Tani moja nitanunua kwa tzs 1,250,000. Je nikifikisha Arusha nikauza kwa 1600per kg, hadi 1500 per kg nitakuwa nmepoteza Muda tu na nguvu huku faida ikiwa kidogo? Ukiisha wote kwa bei ya 1600/kg nitakuwa na tzs1,600,000. Hivyo faida itakuwa ni sawa na 1600-1250=350, ina maana faida itakuwa ni 350,000. Hapo bado sijaweka Muda ambao nitatumia kuuza mchele huo.

Ni bado sijaanza kuifanya ndo natathmini kwanza, hivyo naombeni ushauri wenu wadau ili nijue moja nifanye au niendelee zangu na matunda tu na chakula kwanza. Asanteni

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kuna jamaa yangu yuko Tabora anauza mpunga anayo magunia 200, bei yake ni 65,000 piga hesabu kama itakulipa nikuunganishe nae
 
Nina mchele kama Kg 400 hv, upo Same. Gunia 65,000/= kama upo interested nitafute.
 
Biashara ya mchele sa hv miyeyusho kama unahela ya kuunga unga utakula za uso Sana , mpunga Kwa wakulima upo juu alaf soko la mchele lipo down Sana kitaa.....
 
Iko hv, biashara ya mchele ni ya faida ndogo sana nadhani ndiyo nafaka inayozunguka kwa faida ndogo zaidi almost huwa inacheza kwenye 100 au 200 mara chache sn(kwa jumla), hiyo yako ya 350 itakuwa ni neema km umejiridhisha na ushindani wa soko.

Kinachofanya watu waipende biashara hii n kwamba pamoja na faida kuwa ndogo hii ndo nafaka inayotoka kwa kasi sana hivyo watu wanazingatia zaidi mzunguko.

Kama utazingatia zaidi faida basi utakata tamaa mapema sana.
Ushauri wangu kwako beba mzigo fika sokoni uza kwa bei ya kuondoa mzigo haraka ili urudi sokon chap, usisubiri faida kubwa utapigwa doro sn na hutauona mzunguko.
So km umejiridhisha mzigo utafika Arusha kwa 1250 basi hapo uza jumla 1400 usihangaike na hyo 1500/1600 ulzotaja zitakuchelewesha na utaishia safari moja tu.
 
Niaje Mabroo na Masista. Maisha yanaendelea poa, mimi niko kahama hapa kuna mishe nilikuja kufanya ila mda siyo mrefu nageuza kurudi A Town, aka A City, Geneva of Africa, City of God ..ni hivi wakuu tuachane na mbwe mbwe za majina. Ni Kwamba katika muda niliokaa hapa kahama nimetamani kufanya hii biashara ya mchele ..yani nichukue kutoka huku na kupeleka pale Arusha mjini na kuuza kwa jumla na reja reja. Bei ya huku siyo mbaya inaonesha bado uko chini sana ..kwa mfano supa waweza kupata hadi kwa tzs 1200 hadi 1100. Grade two ni hadi 1000 mpaka 900. Tofauti na shinyanga mjini ambapo bei iko juu kidgo. Nikacheki na bei ya mpunga ili ukoboe upate mchele bei yake ni kama tzs 45000/= hadi tzs 50000, changamoto kubwa iliyopo ni kujua upi ni mpunga mzuri ili ukikoboa usije pata mchele ule wanaita "biriani" ni balaa. Kitu ambacho nimegundua ukiwa na uzoefu unapata mchele mzuri ila ukija kichwa kichwa utapigwa tu.

Hivyo wakuu naombeni uzoefu wenu hasa kama kuna wadau wanaofanya hii biz, je inalipa? Mimi kwa sasa nauza chakula pale sakina na matunda pale kilombero. Ila kwakua kuna mishe nilipata huku ivyo vijana wangu wa kazi bado wanaendesha mapambano. Hivyo nikiwa narudi Arusha nirudi na hata tani mbili kwanza za kuanzia ila sijajua nitaanza vip kwa maan ya bei iliyopo sasa ni tzs ngap?

Mfano nikinunua mchele huku kwa 1100/= kuna gharama zingine ndogo zitajitokeza hapo kwa maana hiyo nitanunua kwa kilo kwa bei ya JUMLA ni tzs 1,250 per kg ina maana 1,100 ni kwa bei ya kununua na hiyo 150 itaingia kweny gharama zingine kama usafiri, ushuru, kununua mifuko, na gharama za ku grade. Hivyo basi kwa Tani moja nitanunua kwa tzs 1,250,000. Je nikifikisha Arusha nikauza kwa 1600per kg, hadi 1500 per kg nitakuwa nmepoteza Muda tu na nguvu huku faida ikiwa kidogo? Ukiisha wote kwa bei ya 1600/kg nitakuwa na tzs1,600,000. Hivyo faida itakuwa ni sawa na 1600-1250=350, ina maana faida itakuwa ni 350,000. Hapo bado sijaweka Muda ambao nitatumia kuuza mchele huo.

Ni bado sijaanza kuifanya ndo natathmini kwanza, hivyo naombeni ushauri wenu wadau ili nijue moja nifanye au niendelee zangu na matunda tu na chakula kwanza. Asanteni

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nafanya hivyo biashara mimi, mpunga umeshuka saiv na hyo bei ndo bei yake kwa sasa

Saivi wanauza hvyo kwa sabab muda si mrefu sana mpunga mpya utaingia mzgoni na hiyo ni kawaida

Kwa faida ya 350/kg Ni kubwa sana, Mara nyingi faida ikizid huwa ni 250/kg

Ukitaka kujua mchele Kama zuri au mbaya, unachukua kidgo mkononi then unausugua au unaweka chin kwenye mfuko unasugua na kisigino, hvyo ndo huwa tunafanya

Mwisho biashara ya mchele ina faida kubwa Sana Kama ikikukubali
 
Iko hv, biashara ya mchele ni ya faida ndogo sana nadhani ndiyo nafaka inayozunguka kwa faida ndogo zaidi almost huwa inacheza kwenye 100 au 200 mara chache sn(kwa jumla), hiyo yako ya 350 itakuwa ni neema km umejiridhisha na ushindani wa soko.

Kinachofanya watu waipende biashara hii n kwamba pamoja na faida kuwa ndogo hii ndo nafaka inayotoka kwa kasi sana hivyo watu wanazingatia zaidi mzunguko.

Kama utazingatia zaidi faida basi utakata tamaa mapema sana.
Ushauri wangu kwako beba mzigo fika sokoni uza kwa bei ya kuondoa mzigo haraka ili urudi sokon chap, usisubiri faida kubwa utapigwa doro sn na hutauona mzunguko.
So km umejiridhisha mzigo utafika Arusha kwa 1250 basi hapo uza jumla 1400 usihangaike na hyo 1500/1600 ulzotaja zitakuchelewesha na utaishia safari moja tu.
Sawa sawa mkuu ..ngoja nicheki namna naweza kufanya..japo kweli faida ni ndogo sana

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Nafanya hivyo biashara mimi, mpunga umeshuka saiv na hyo bei ndo bei yake kwa sasa

Saivi wanauza hvyo kwa sabab muda si mrefu sana mpunga mpya utaingia mzgoni na hiyo ni kawaida

Kwa faida ya 350/kg Ni kubwa sana, Mara nyingi faida ikizid huwa ni 250/kg

Ukitaka kujua mchele Kama zuri au mbaya, unachukua kidgo mkononi then unausugua au unaweka chin kwenye mfuko unasugua na kisigino, hvyo ndo huwa tunafanya

Mwisho biashara ya mchele ina faida kubwa Sana Kama ikikukubali
Mkuu nimekuelewa sana unauza mchele upi kwa sasa? Nataka nifunge hata mbili kwa bei ya sasa ya mpunga ili nije nikimbize chap chap kabla mpunga mwingine ujaingia mtaani. Halafu hapo kwenye kusugua bado sijaelewa boss ..naomba nieleweshe furesh

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nimekuelewa sana unauza mchele upi kwa sasa? Nataka nifunge hata mbili kwa bei ya sasa ya mpunga ili nije nikimbize chap chap kabla mpunga mwingine ujaingia mtaani. Halafu hapo kwenye kusugua bado sijaelewa boss ..naomba nieleweshe furesh

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mchele kuuza unategemea na sehem huwezi uza mchele wa 2000+ chanika n huwezi uza mchele wa 1000+ kibamba labda Kama unauza reja reja, ila majority kwa sasa watu wengi wanakula mchele usiozd.

Kuhusu kusugua, unachukua mpunga sample kutoka kwenye gunia unaweka kwenye mfuko chini size ya kiganja cha mkono then unasugua na mguu(Kama ambavyo wakinana mama wa kijijini wanavyosugua miguu yao kwa kutumia jiwe chini) then Baada ya hapo unautoa na kuuchek
 
Nafanya hivyo biashara mimi, mpunga umeshuka saiv na hyo bei ndo bei yake kwa sasa

Saivi wanauza hvyo kwa sabab muda si mrefu sana mpunga mpya utaingia mzgoni na hiyo ni kawaida

Kwa faida ya 350/kg Ni kubwa sana, Mara nyingi faida ikizid huwa ni 250/kg

Ukitaka kujua mchele Kama zuri au mbaya, unachukua kidgo mkononi then unausugua au unaweka chin kwenye mfuko unasugua na kisigino, hvyo ndo huwa tunafanya

Mwisho biashara ya mchele ina faida kubwa Sana Kama ikikukubali
Faida unaweza pata hata 500 hadi 400 kwa grade 1 ila inategemea upo location gani.
 
Back
Top Bottom