Ushauri: Biashara ya madini

seckymose

Member
Dec 29, 2016
87
47
Habari zenu wakuu,

wakuu naomba ushauri au mwongozo kutoka kwa watu wenye uelewa au uzoefu wa mambo ya madini, nina eneo langu kama ekari 40 morogoro na nina eneo jingine kama ekari 30 huko ruangwa na nina mawazo ya kuwa mchimbaji wa madini ktk
siku za usoni ,Eneo lenyewe kuna madini ya rubi na dhahabu(nasema hivyo kwa sababu kuna watu wanachimba kiholelaholela na huwa wanapata kiasi fulani, naomba muongozo kwenu (1) wa namna ya kupata vibali mbalimbali kutoka wizara husika ili sije ingia matatizoni na serikali hii ya haka kazi tu,
(2) naomba msaada japo kwa uchache mni mambo gani ya kuzingatia ktk biashara hii ya madini( i wanna measur the level of risk).

(3) kama kuna mtu anaweza kuniunganisha na watu ambao tayari wapo ktk biashara hii itakuwa njema zaidi ili niweze kujifunza toka kwao.
naombeni mwongo wenu jamani
 
Hongera kwa kuhodhi hayo maeneo, kuhusu vibali na uzoefu wa biashara ngoja waje wajuzi
 
Kwa uelewa wangu naeza shauri
Moja jaribu kufanya reconnaisance ili uwe na uhakika na utakachokifanya yaani kwamba
1.chimba kwa mbinu za kienyeji pasipo kuwekeza pesa yako kubwa ,na maanisha tumia mbinu za hao wanaochimba kiholela ili ujue kama kweli mali ipo na kama ipo ni dhahabu yenye ubora upi kwa percentage hii utajua baada ya kupeleka sample maabara hii huepusha usije tafuta lesen afu kuja kuchimba mzigo haulipi au hamna kabisa jua leseni hulipiwa kila mwaka
2.ukijihakikishia hicho cha juu then nenda katafute kitu kinaitwa pml kinatolewa ofisi za madini ni kama leseni hyo inaitwa primary mining licence
3.ukishachukua hyo pml sasa hapo ni ww kuchimba au kutafuta mwekezaji hizi nilizoandika bado sio njia za kitaalamu zaid
Hizi ni shortcut means
Lakin by procedures zinazotakiwa kuna nyingne nimeziacha
 
Back
Top Bottom