Wasalaam ndugu zangu.
Kijana mwenzenu nimejichanga nina kiasi kama cha mil. 16, nimefikiria nimeona ninunue Noah ili nifanye biashara ya kubeba abiria walau nami nijiajiri maana nimechoka purukushani za kuajiriwa.
Hivyo basi nilikua naomba mwongozo kuhusu maeneo ambayo biashara hii inafanya kazi kwa DSM au Pwani maana hadi sasa sijajua ni maeneo gani hasa watu hutumia Noah kama usafiri.
Natanguliza shukrani.
Kijana mwenzenu nimejichanga nina kiasi kama cha mil. 16, nimefikiria nimeona ninunue Noah ili nifanye biashara ya kubeba abiria walau nami nijiajiri maana nimechoka purukushani za kuajiriwa.
Hivyo basi nilikua naomba mwongozo kuhusu maeneo ambayo biashara hii inafanya kazi kwa DSM au Pwani maana hadi sasa sijajua ni maeneo gani hasa watu hutumia Noah kama usafiri.
Natanguliza shukrani.