Ushauri: Biashara ya kukamua na kuuza mafuta ya alizeti kwa jijini Dar inalipa?

chopspuro

JF-Expert Member
Feb 4, 2018
277
183
Wadau napenda kupata ushauri bishara ya kukamua na kuuza mafuta ya alizeti kwa Dar inalipa? Nimefunga mashine kwa hapa dar lakini material kwa maana ya mbegu itanilazimu nikanunue Singida au Dodoma. Nimeamua kufunga hiyo mashine hapa Dar kwa ajili ya urahisi wa kusimamia maana mimi ni mwajiriwa pia.
 
Ufataji wako wa mbegu utakugharimu sana Gunia elfu 60-80 bado usafiri (kama unao wakwako ni sawa) ukilikamua gunia unapata lita 18-20.
.
Lita tano=22,00-24,000 kwenye gunia moja bado gharama za uendeshaji wa hiyo mashine (KUMBUKA UMEME WA DAR NI GHALI MNO)
.
Hata ukiuza mashudu nazani bado faida itakuw ndogo mno.
 
Ufataji wako wa mbegu utakugharimu sana Gunia elfu 60-80 bado usafiri (kama unao wakwako ni sawa) ukilikamua gunia unapata lita 18-20.
.
Lita tano=22,00-24,000 kwenye gunia moja bado gharama za uendeshaji wa hiyo mashine (KUMBUKA UMEME WA DAR NI GHALI MNO)
.
Hata ukiuza mashudu nazani bado faida itakuw ndogo mno.

Mashudu atauzia wapi?
 
Wadau napenda kupata ushauri bishara ya kukamua na kuuza mafuta ya alizeti kwa Dar inalipa? Nimefunga mashine kwa hapa dar lakini material kwa maana ya mbegu itanilazimu nikanunue Singida au Dodoma. Nimeamua kufunga hiyo mashine hapa Dar kwa ajili ya urahisi wa kusimamia maana mimi ni mwajiriwa pia.
Mashine yako ina ukubwa gani yani uwezo kukamua mafuta per hour ni tone ngap
 
hiyo mashine ingekuwa vema ukaifungie sehem kunakolatikana hiyo mbeg ili km ni biashara ukauzie dar

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo niliwahi kufunga mashine katika moja ya mikoa inayozalisha alizet nikawa nimempa mtu wa kusaidia katika isimamizi lakini matarajio yangu yalipotea kabisa maana sikuweza kupata faida yoyote zaidi ya kiswahili kingi kitoka kwa huyo msimamizi.
 
Leta mashine singida tena huiweki mjini kuna kata ziko ndani ndani zina umeme utapiga pesa hata hio kazi utaacha

Ngoja nitalifanyia kazi hilo wazo zuri ulilonishauri na sijui ni kata zipi na ziko wilaya gani katika mkoa huo wa singida?
 
Wadau napenda kupata ushauri bishara ya kukamua na kuuza mafuta ya alizeti kwa Dar inalipa? Nimefunga mashine kwa hapa dar lakini material kwa maana ya mbegu itanilazimu nikanunue Singida au Dodoma. Nimeamua kufunga hiyo mashine hapa Dar kwa ajili ya urahisi wa kusimamia maana mimi ni mwajiriwa pia.
Ingekua vzr kama ungefungulia kule singida /dom ambapo malighafi zinapatikana then uwe unasafirisha bidhaa (mafuta) dsm. Nadhani kusafirisha malighafi kutoka kule kuleta DSM itakua kubwa zaidi kuliko kusafirisha bidhaa kutoka kule kuleta DSM hivyo itaongeza gharama za uzalishaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asanteni sana kwa ushauri wenu ambao mumenipatia nimeuchukuwa na nitaufanyia kazi mungu awabariki sana
 
Wadau napenda kupata ushauri bishara ya kukamua na kuuza mafuta ya alizeti kwa Dar inalipa? Nimefunga mashine kwa hapa dar lakini material kwa maana ya mbegu itanilazimu nikanunue Singida au Dodoma. Nimeamua kufunga hiyo mashine hapa Dar kwa ajili ya urahisi wa kusimamia maana mimi ni mwajiriwa pia.
Samahani Kaka hyo mashine yako ulinunua kwa bei gani na zinauzwa wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom