CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Wakuu naombeni ushauri juu ya biashara tajwa.Ninampango wa kuanzisha hii biashara siku za usoni inshaallah!!!!
Nina eneo naliuza bei cheee waweza kuanzia mradi wako hapo 0712769766
Kivipi mkuu, hebu bainisha kidogo nna vibanda vyangu vitatu namalizia ili niviweke sokoni-sheria zipi hizo unazokusudia?Jenga nyumba upangishe tu kaka mambo ya kuuza achana nayo maana sheria za nchi hii ni htr.