S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Wadau,
Nafikiria kuingia kwenye biashara ya kujenga na kuzikodisha apartments jijini Dar es salaam.
Nina kiwanja cha 500 sqm maeneo ya katikati ya Morocco na Victoria (upande wa Petrol Station na Knight Support) kama unaelekea Mwenge kupitia New Bagamoyo Road.
Sina uhakika wa soko likoje (scary, I know) ila naona kuna pengo kwenye soko. Walengwa wangi ni vijana wanaopata kazi professional jijini Dar es salaam na wanaotaka kuondoka kuishi na wazazi wao au walitokea mikoani wanaohitaji apartments za kukodisha. Pia nafikiria kulenga wageni wachache wanaokuja Tanzania kwenye kazi za mkataba wa miaka kadhaa.
Lengo langu ni kuwekeza Shs 100 Mil katika kipindi cha miaka 3 ijayo (2012 ujenzi uwe umekamilika). Jengo liwe na apartments 3 au 4 (kutgemea na ushauri wa wachora ramani) kila moja iwe na vyumba 2 vya kulala (1 kiwe ensuite), sebule, jiko, dining, stoo na veranda.
Ili mtaji wangu urudi nategemea nikodishe kila apartment kwa kati 500 600 USD kwa mwezi.
Naombeni ushauri wadau, hasa wale ambao pengine tayari wana nyumba za kukodisha Tanzania au wameshajihusisha na mradi kama huu.
Natanguliza shukrani.
Nafikiria kuingia kwenye biashara ya kujenga na kuzikodisha apartments jijini Dar es salaam.
Nina kiwanja cha 500 sqm maeneo ya katikati ya Morocco na Victoria (upande wa Petrol Station na Knight Support) kama unaelekea Mwenge kupitia New Bagamoyo Road.
Sina uhakika wa soko likoje (scary, I know) ila naona kuna pengo kwenye soko. Walengwa wangi ni vijana wanaopata kazi professional jijini Dar es salaam na wanaotaka kuondoka kuishi na wazazi wao au walitokea mikoani wanaohitaji apartments za kukodisha. Pia nafikiria kulenga wageni wachache wanaokuja Tanzania kwenye kazi za mkataba wa miaka kadhaa.
Lengo langu ni kuwekeza Shs 100 Mil katika kipindi cha miaka 3 ijayo (2012 ujenzi uwe umekamilika). Jengo liwe na apartments 3 au 4 (kutgemea na ushauri wa wachora ramani) kila moja iwe na vyumba 2 vya kulala (1 kiwe ensuite), sebule, jiko, dining, stoo na veranda.
Ili mtaji wangu urudi nategemea nikodishe kila apartment kwa kati 500 600 USD kwa mwezi.
Naombeni ushauri wadau, hasa wale ambao pengine tayari wana nyumba za kukodisha Tanzania au wameshajihusisha na mradi kama huu.
Natanguliza shukrani.