sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,028
Ipo hivi wakuu, kuna biashara ya rafiki yangu ambayo ni ya familia ambayo ilikuwa inaenda vizuri tu inaingiza milioni 8 kila mwezi na ndiyo inayolisha familia
Sasa ile ni biashara ya familia na mkurugenzi ni baba yao, Pesa ikaanza kuchotwa dukani ili mzee afanyie mambo yake kwenye kesi ya kulipwa fidia ya ardhi huko kwao ambapo endapo atalipwa fidia basi atapata milioni 250.
Sasa gharama za kusimamia hii kesi zote zinahudumiwa na duka.
Duka lao kwa sasa lina madeni sana maana hata wanaowakopesha hizo bidhaa wamekosa imani nao.
Mzee kakazia bado ishu za kesi.
Je hapa nini kifanyike?
Sasa ile ni biashara ya familia na mkurugenzi ni baba yao, Pesa ikaanza kuchotwa dukani ili mzee afanyie mambo yake kwenye kesi ya kulipwa fidia ya ardhi huko kwao ambapo endapo atalipwa fidia basi atapata milioni 250.
Sasa gharama za kusimamia hii kesi zote zinahudumiwa na duka.
Duka lao kwa sasa lina madeni sana maana hata wanaowakopesha hizo bidhaa wamekosa imani nao.
Mzee kakazia bado ishu za kesi.
Je hapa nini kifanyike?