WanaJF huyu jamaa anaitwa Hussein Bashe ni kijana anaelelewa na mafisadi. Pia kwa taarifa zinazoendelea kufanyiwa uchunguzi ni kwamba amekuwa agent wa kuchafua watu kwenye vyombo mbali mbali. Sasa kwa ushauri wa bure tunamwambia ajiuzulu tuu ili kuirudishia new habari sifa yake ya zamani. Tunaona jinsi wafanyakazi wake walivyokamatwa Monduli kwa tuhuma za rushwa, na hatimae kufikishwa mahakamani. Jamani hio ni sehemu ndogo tuu, new habari sio ile ya zamani. Mtakubaliana na mimi kwamba magazeti ya new habari hayanunuliwi kama ambavyo yalikua yananunuliwa zamani, na hii trend inazidi kushuka itafika wakati hamna mtu atakae nunua kwasababu hii. Hivyo Bashe ushauri wa bure, just gooo, leave NHC