Wakuu sina mengi ya kusema hakika inauma sana ,maumivu yake moyoni hayaelezeki .
Siwezi kuelezea ..amesema amepata mwanaume mwingine zaidi yangu
Nimemuuliza tatizo nini anasema hakuna tatzo.
Nimetoka nae mbali sana almost 5yrs ya mahusiano, Naona kama ndoto hakuna baya nililomfanyia
Wanawake kwanini mnakuwa hivi au tamaa
Siwezi kuelezea ..amesema amepata mwanaume mwingine zaidi yangu
Nimemuuliza tatizo nini anasema hakuna tatzo.
Nimetoka nae mbali sana almost 5yrs ya mahusiano, Naona kama ndoto hakuna baya nililomfanyia
Wanawake kwanini mnakuwa hivi au tamaa