Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,439
- 2,690
Kaka punguza fujoWa kulaumiwa ni bamkubwa kwanini aliiba kizembe akauwawa.
Lawama zote ziende kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka punguza fujoWa kulaumiwa ni bamkubwa kwanini aliiba kizembe akauwawa.
Lawama zote ziende kwake.
Habarini za wakati huu mabibi na bwana wa JF.......!
Mimi ni kijana wa kwanza kuzaliwa kwa wazazi wangu.
Kwa sasa nina umri wa miaka 27, kama mjuavyo huo ni umri sahihi kabisa wa mimi kuwa na mwenza wa kusaidiana nae kulisongesha gurudumu la maisha...!
Na mzee wangu amekua mastari wa mbele katika kunisisitiza nioe haraka iwezekanavyo....!
Sasa mchumba niliyempata kwa upande wake yuko vizuri kuanzia tabia yake, matendo yake...! Kiukweli ni binti aliyejitunza na kujiheshimu sana, vijana wa kileo tunaita "wife material" na halikadhalika mama yake ni mama anayejishemu na kuheshimu ndoa yake sana....!
Tatizo ni pale nilipomjulisha baba yangu juu ya kutaka kumuoa huyo binti....! Baba mwanzoni alikubali na kumsifia sana yule binti maana anamfahamu,....! Tunaishi jirani tu
Ila mzee hakuishia hapo akafanya uchunguzi akagundua baba yake mkubwa na huyo binti alikua mwizi...! Na aliuwawa kwa ajili ya wizi, kwa mantiki hiyo baba yangu kasema siwezi kumuoa sababu ya baba ake mkubwa kuwahi kuuwawa kwa ajili ya wizi....!
Akiwa na maana ya kwamba hata kizazi changu kinaweza kuwa cha wizi....!
Sasa ndugu zangu hiyo sababu inatosha kweli kumuacha binti wa watu, kwa kuhofia kuja kupata kizazi cha wizi? Hivi wizi huwa nia tabia ya kimalezi au kurithi?
Ushauri wako kwangu ni muhimu sana....! Maana jf kuna ma great thinker wengi
Jirani yangu ni Engineer Davis, mke wake mrembo alimuoa baada ya kumsomesha mwenyewe mpaka Form Four. Mashemeji wa Engineer Davis wote ni madereva wa yale ma truck yanayokwenda nje ya nchi. Watoto wake wote wameshapata leseni baada ya kuwa makonda wa ma uncle zao.Mahusiano siku zote ni watu wawili ukiingiza mtu wa tatu tiyali mahusiano yameshaingia dosari
Kosa kubwa mleta mada nikumwingiza baba yako katika mahusiano yako kama mtu wa tatu katika mahusiano yenu .
😂😂😂una maanisha nini hapa?Jirani yangu ni Engineer Davis, mke wake mrembo alimuoa baada ya kumsomesha mwenyewe mpaka Form Four. Mashemeji wa Engineer Davis wote ni madereva wa yale ma truck yanayokwenda nje ya nchi. Watoto wake wote wameshapata leseni baada ya kuwa makonda wa ma uncle zao.
Sina cha kuongezea watu wazima wakati mwingine wanaona mbali na ndo maana zamani wazeee walitahadharisha watoto wao kwamba usioe kwa fulani,pole sana ila tafuta suluhu kwani mama yeye anasemajeHuwa inasemekana, mtoto hufata Sana tabia za kutoka kwa mzazi wa kike na uzao wao hasa maankoli, iyo ndio sababu baba kagoma na hakuna lingine.
Ikumbukwe hakuna mzazi anaeweza kuona tatizo na asimwepushe mwanae, unless hakupendi, ila ongea nae athamini hisia zako pia na ufanye uchunguzi baada ya kusikiliza sababu za mzee, tafuta wazee wengine pia ujiridhishe ili unapomjibu uwe well informed
AiseeeAyo maneno ya kiutu uzima
Wazee wa siku izi wamoto atakua kashamla uyo so anatafuta sababu usimuoe Ila anashindwa kukuchna ukwel
Msikilize dingi yako anamaanisha