emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 682
- 918
shaloom,
aisee mimi nina tatizo la kinywa, yani kila nikitaka kuswaki nahisi kutapika, nikilazimisha badala ya kutema mate ya kawaida natoa makohozi mengi. nshabadilisha miswaki mingi lakini sioni changes. Afu lingine, nina mafua si mafua maana siyaelewi coz hayaponi, haijalishi niko kwenye sehemu za joto au baridi. napata shida coz muda wote inabidi nifyonze makamasi puani afu niyameze. doctor this real makes me tired.
your sincerly
Emmanuel
aisee mimi nina tatizo la kinywa, yani kila nikitaka kuswaki nahisi kutapika, nikilazimisha badala ya kutema mate ya kawaida natoa makohozi mengi. nshabadilisha miswaki mingi lakini sioni changes. Afu lingine, nina mafua si mafua maana siyaelewi coz hayaponi, haijalishi niko kwenye sehemu za joto au baridi. napata shida coz muda wote inabidi nifyonze makamasi puani afu niyameze. doctor this real makes me tired.
your sincerly
Emmanuel