Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 535
- 224
Habari wakuu,
Nina girl friend nimemaliza nae form six amekuwa akiniambia kila siku kuwa anapenda sana mtoto hivyo anataka nimpe mimba ili akiwa maisha ya chuo anataka awe na mtoto na kwao huyu dada wana hela ile mbaya.
Halafu katika familia yao yeye ndio first born na last born, sasa hapa najifikiria nimpe mimba kweli? Maana mambo yanabadilika na ananipenda kufa maana nilianza mapenzi nae toka form two mpaka leo.
Ushauri jamani
Nina girl friend nimemaliza nae form six amekuwa akiniambia kila siku kuwa anapenda sana mtoto hivyo anataka nimpe mimba ili akiwa maisha ya chuo anataka awe na mtoto na kwao huyu dada wana hela ile mbaya.
Halafu katika familia yao yeye ndio first born na last born, sasa hapa najifikiria nimpe mimba kweli? Maana mambo yanabadilika na ananipenda kufa maana nilianza mapenzi nae toka form two mpaka leo.
Ushauri jamani