Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,515
Habari za jioni wana JF,
Mwenzenu nina mtihaani ambao unanisumbua,
Kuna binti mmoja niliwahi kuwa na mahusiano naye na mwishoni siku akaolewa, kutokana na mimi kutokuwa na mwelekeo wa maisha.
Ila karibia anaolewa aliniletea mzigo na nikapiga kama kawaida, kama kuagana na kuniahidi mambo mengi kwamba kinachompeleka kule ni maisha tu na akipata uko basi nami atanitoa.
Aliniambia mimi ndio chaguo lake na siku mmoja akifanikiwa angerudi kwangu na kuishi pamoja baada ya kuchoma mali kwa mshefa, nilimkubalia kwa shingo upande japo moyoni nikijua fika aninifariji tu, basi tukapiga game siku ile tukaachana, baada ya wiki akaolewa na kwenda kuishi kwa mumewe ambapo ni mji mwingine.
Baada ya ndoa kupita mawasiliano yakakata maana hata namba alibadilisha, niliumia sana na kuhisi kuhadaiwa, nilijiona mjinga na lofa niliyekubali kirahisi kuhadaika, baada ya mwaka na kitu kupita yule binti alinitafuta na kufanikiwa kunipata, nachakushangaza hicho alichokuja kuniambia kuwa mtoto aliyenae kuwa ni wa kwangu.
Nilistaajabu sana sikutaka kuamini kirahisi ila alinionyesha picha ya mtoto na nikamuona kweli alikuwa amefanana na mimi na pia hata mwanangu ambaye nimezaa na mke wangu baada yeye kuniacha maana niliamua kuoa, akaniomba ni mjue yule mtoto kama navyojua huyu mtoto niliyezaa na mke wangu, pia napata tabu maana saivi imekuwa kero anataka hata akiumwa niende nikamuone hosptal.
Nashindwa maana tiyari yeye mke wa mtu na hata kama mtoto ni wangu ila alishampa mtu mwingine na pia anajulikana kwa ubini wa uyo jamaa na pia hata mwenye hataki watu wengine wajue kama ni mwanangu zaidi ya yeye na mimi, nashindwa nifanyeje, plz wanajamii nisaidieni mawazo maana ananisumbua sana huyu mtu naona maisha yangu yako hatarini?
Kipi nifanye?
Matusi, kejeli sitaki kama huna cha kunshauri pita kule, kila mtu anakosea katika maisha hakuna mkamilifu.
Mwenzenu nina mtihaani ambao unanisumbua,
Kuna binti mmoja niliwahi kuwa na mahusiano naye na mwishoni siku akaolewa, kutokana na mimi kutokuwa na mwelekeo wa maisha.
Ila karibia anaolewa aliniletea mzigo na nikapiga kama kawaida, kama kuagana na kuniahidi mambo mengi kwamba kinachompeleka kule ni maisha tu na akipata uko basi nami atanitoa.
Aliniambia mimi ndio chaguo lake na siku mmoja akifanikiwa angerudi kwangu na kuishi pamoja baada ya kuchoma mali kwa mshefa, nilimkubalia kwa shingo upande japo moyoni nikijua fika aninifariji tu, basi tukapiga game siku ile tukaachana, baada ya wiki akaolewa na kwenda kuishi kwa mumewe ambapo ni mji mwingine.
Baada ya ndoa kupita mawasiliano yakakata maana hata namba alibadilisha, niliumia sana na kuhisi kuhadaiwa, nilijiona mjinga na lofa niliyekubali kirahisi kuhadaika, baada ya mwaka na kitu kupita yule binti alinitafuta na kufanikiwa kunipata, nachakushangaza hicho alichokuja kuniambia kuwa mtoto aliyenae kuwa ni wa kwangu.
Nilistaajabu sana sikutaka kuamini kirahisi ila alinionyesha picha ya mtoto na nikamuona kweli alikuwa amefanana na mimi na pia hata mwanangu ambaye nimezaa na mke wangu baada yeye kuniacha maana niliamua kuoa, akaniomba ni mjue yule mtoto kama navyojua huyu mtoto niliyezaa na mke wangu, pia napata tabu maana saivi imekuwa kero anataka hata akiumwa niende nikamuone hosptal.
Nashindwa maana tiyari yeye mke wa mtu na hata kama mtoto ni wangu ila alishampa mtu mwingine na pia anajulikana kwa ubini wa uyo jamaa na pia hata mwenye hataki watu wengine wajue kama ni mwanangu zaidi ya yeye na mimi, nashindwa nifanyeje, plz wanajamii nisaidieni mawazo maana ananisumbua sana huyu mtu naona maisha yangu yako hatarini?
Kipi nifanye?
Matusi, kejeli sitaki kama huna cha kunshauri pita kule, kila mtu anakosea katika maisha hakuna mkamilifu.