Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Habari JF; Baba yangu mzazi mwenye umri wa miaka 81 anayeishi katika wilaya ya ludewa mkoani njombe anatatizo la mtoto wa jicho kwenye kila jicho lake na kwa sasa haoni vizuri na alipokwenda hospitali ya wilaya ya Ludewa walimwambia hawawezi kumtibu na baada ya miezi mitatu hata ona kabisa. nataka nimpeleke hospitali ambayo anaweza kutibiwa macho yake na akapona. hospitali yenye historia nzuri na hasa kwa wazee. Wana JF naomba kwa anayejua hospital nzuri aniambie na yenye gharama ambazo mwananchi wa kawaida anaweza kuzimudu. Natanguliza shukrani
Habari JF
Habari JF