Rais wa sasa wa DRC Congo, Felix Tshisekedi anatokea kabila kubwa la wafanyabiashara,Kabila la wakasai,asilimia kubwa ya mizigo ya wakongo wanaoingiza mizigo kupitia bandari ya Dar es salaam ni wakasai wanaoishi Lubumbashi,Katanga na Kasai.
Kwakweli kuwapoteza wafanyabiashara hawa ni hasara kubwa kwa Tanzania,
Rais wa Tanzania itafaa saana kama angeweza kwenda congo kuwashawishi wacongo na rais wao waendelee kupitishia mizigo yao hapa Tanzania,
Au Rais wa Tanzania amwalike rais wa DRC Congo Tanzania,ili aje azungumze nia yake ya kuendelea kufanya biashara na Tanzania.
Katika makosa ambayo sisi kama Tanzania hatutakiwi kufanya ni kupuuza soko la kongo kwa huduma na bidhaa zetu,congo ni soko kubwa la kila kitu kwa ukanda huu wa maziwa makuu,DRC Congo kila kitu hakitoshi isipokua mziki tu.
Sisi watanzania ambao hatuna namba za simu za Rais inabidi tutoe ushauri kupitia majukwaa kama haya,mheshimiwa rais zingatia sana hili suala,ni muhimu sana kwa maendeleo yetu wote.
Maendeleo hayana chama wala dini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli kuwapoteza wafanyabiashara hawa ni hasara kubwa kwa Tanzania,
Rais wa Tanzania itafaa saana kama angeweza kwenda congo kuwashawishi wacongo na rais wao waendelee kupitishia mizigo yao hapa Tanzania,
Au Rais wa Tanzania amwalike rais wa DRC Congo Tanzania,ili aje azungumze nia yake ya kuendelea kufanya biashara na Tanzania.
Katika makosa ambayo sisi kama Tanzania hatutakiwi kufanya ni kupuuza soko la kongo kwa huduma na bidhaa zetu,congo ni soko kubwa la kila kitu kwa ukanda huu wa maziwa makuu,DRC Congo kila kitu hakitoshi isipokua mziki tu.
Sisi watanzania ambao hatuna namba za simu za Rais inabidi tutoe ushauri kupitia majukwaa kama haya,mheshimiwa rais zingatia sana hili suala,ni muhimu sana kwa maendeleo yetu wote.
Maendeleo hayana chama wala dini.
Sent using Jamii Forums mobile app