Independent Voter
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 279
- 71
By Judith wambura(Lady Jaydee blog)
JUNE 28, 2009....NILIWAHI KU POST HIVI
SATURDAY 27TH JUNE 2009, MZALENDO PUB NA SWEET EAZY
Diana Mapromise, Dj Venture, Jide na Rachel Temu (Wifi) Mzalendo Pub pia kuna flowers za kufa mtu kama Machozi tu
Sweet Eazy palikuwa hivi, kutoka kushoto ni Jackie, Bijoux (from Norway), Mimi, Devota Diva na Flower jingine jina nitawatajia jumatatu maana najua watu wametoa machoooo
Young and Pretty movie star, mimi namuita Mainda kutokana na jina alilopewa kwenye mchezo wa redio wa wahapa hapa...Anatesa sana kwenye anga za cinema hapa Bongo. Yumo pia kwenye video yangu ya wimbo Shamba..inapatika you tube....Naona atakuwa amekuwa mkubwa tayari ndio maana anakuja Machozi Band...tuwalinde wadogo zetu jamani maana mjini kuna manyang'au
(Hapa LULU alikua na miaka 14 tu lakini yuko club usiku na nani? hatujui)
Flowers, Flowers, Flowers and more Flowers all over
NA COMMENTS ZILIKUWA KAMA HIVI:
Mija Shija Sayi said...Jide nguo imekupendeza.
June 28, 2009 2:09 PM
Dada said...Mrembo bijoux så pen du er! wakilisha mama.Umetoka mwaaaaa.
June 28, 2009 7:17 PM
www.kilinyepesi.blogspot.com said...u look poa sana
June 29, 2009 4:49 AM
Anonymous said...jide hako katoto kamekua hadi kanakuja machozi!!!!!!!!!!!!!mh mi langu jicho na hicho kivazi akina fataki watamuacha??? .ALL IN ALL JIDE NA FLOWERS WOTE MPO JUU
June 29, 2009 10:00 AM
Anonymous said...haya bijoux nakuaminia huku juuu natasha
June 29, 2009 12:07 PM
Bijoux said...Jide,acha utani huyo mtasha ni rafiki tuu nimeamua kumtoa kidogo aje machozi band.
June 29, 2009 2:25 PM
Anonymous said...huyo ua mwingine anaitwa Doreen Bwire,
June 29, 2009 3:04 PM
Anonymous said...maulanga ama mwaulanga (frm ujiji C&F)
kweli kapendeza
June 29, 2009 3:37 PM
Anonymous said...jamanikatoto kamekuwa alafu kazuriiii
June 29, 2009 3:58 PM
Anonymous said...mainda ni mzuri sana na bado ni mdogo hakupaswa kuwepo machozi band kutokana na umri wake jide umekosea kusema ashakua mkubwa laiti angelikua mdogo wako ninauhakika usinge mruhusu kuwa hapo.kama unampenda mshauri atulie nina imani ataheshim ushauri wako
June 29, 2009 4:24 PM
Jide said...ANONY wa 6:24AM, nashukuru kwa kunifahamisha kuwa Mainda hajawa mkubwa kiasi cha kufaa kuja Machozi Band, lakini mimi najuaje?? ndio maana nikasema tuwalinde wadogo zetu... maana watoto wa siku hizi maumbile yao hayana tofauti sana na watu ambao wamekwisha fikisha umri wa miaka 18. Nakubaliana na mawazo yako 100% na ninakuomba sana tushirikiane kwa hilo katika hali yoyote ambayo unaiona sio sawa, sikuwa na nia mbaya anyways..Ila watu wanapokuja band nashindwa kuelewa nani mkubwa nani mdogo, na kwakuwa matangazo yote yanasema mtu ambae ana umri wa chini ya miaka 18 haruhusiwi sehemu za hivyo, na imagine wote wanaokuja Machozi Band wana umri zaidi ya miaka 18. unless wawe wana fake umri wao
June 29, 2009 7:39 PM
Anonymous said...Jay dee mbona unaeleweka kabisa? Umetuambia tuwalinde wadogo zetu
June 29, 2009 10:44 PM
Anonymous said...Jide sio siri nimezidi kukupenda kwa uwezo wako wa kuweza kujizuia na hasira.Najua kuna baadhi ya maoni yanaudhi na hata kukera kiasi kwamba utatamani hata mtu umtukane.Hata siku moja sijaona umemjibu mtu kwa nyodo pamoja na comment nyingi za ajabu wanazokupatia.Na hii ndio njia rahisi ya kukomesha mjinga,wenzetu wanasema dont argue with ****** b'coz they will drop you down to their level.Kuna dada mmoja kwenye blog yake huko amekuwa kituko kwa kujibishana na watu kiasi kwamba utashindwa kuelewa yupi chizi yupi mzima.Najua anapata hasira sana ila duh,hizo nyodo zake mh!
Anyway sitaki kukufananisha na mwingine maana wewe utabaki kuwa wewe siku zote,ila ukweli lazima niseme hii iakuongezea heshima na wapenzi zaidi.
June 30, 2009 1:35 AM
Anonymous said...Jide umekua sana kiakili uongo si kazi, ila zamani ulikuwa unatuudhi sana na majibu yako ya hasira hasira, sasa naona umeelimika. hivo ndio unatakiwa uwe unajibu fans wako. big up sana ila hukawii kuharibu, maana mgema ukimsifia si unajua tena? Tembo hulitia mâji ati
June 30, 2009 9:12 AM
Anonymous said...Lady jaydee sielewi kwanini watu wanasemaga wewe ni mbaya, ila sijawahi kuona picha zako nzuri kama hizi. kumbe binadamu wana wivu sana na roho mbaya pia, unanifurahisha kwa ujasiri kama mwanamke. uwe unatuwekea picha ivo ivo, ata mimi nimechukua nyingine nime print nimebandika chumbani kwangu
June 30, 2009 9:46 AM
Anonymous said...I was at S-E as well and think there were SEVERAL "U18s"! Even at midnight!
June 30, 2009 2:04 PM
Anonymous said...hako katoto kadogo kwa umri lakini kana mambo ya kikubwa c unamuona hata mavaz yake na hata movie anavyoact unajua kashakuwa mkubwa so muachen tuu ajichanganye maeneo kama hayo.ila jide hata wale wanaopokea kiingilio wawe wanawacheki chicks kama hawa under 18
June 30, 2009 5:59 PM
Anonymous said...jamani mi huyo dj venture kweli ameshine rangi alizovaa zinavutia sana,yuko juuuuuuuuuuuu
June 30, 2009 7:04 PM
Anonymous said...nimekapenda ka mainda ana boyfriend?
June 30, 2009 11:24 PM
Anonymous said...DUH HAKA KATOTO INABIDI NINYI MLIONAKO KARIBU MKATUNZE SANA WAKINAFATAKI WASIKAPITIE NA KAPUNGUZE MISOSI NAONA KAJITOMBO HAKOOOOOOOOOOO KANAKUJA.
July 1, 2009 2:55 PM
Anonymous said...Hivi Jine huyu mtoto ni Mainda kweli? huyu si ni Elizabeth ambaye pia alikuwa na kipindi cha watoto ITV na ameact movie kadhaa za kibongo na michezo ya kuigiza. hebu nieleweshe kwani Mainda nimjuae mie anakwenda kwa jina la Mwanaidi Suka au siku hizi Ruth Suka kwani amekuwa mlokole
July 1, 2009 3:27 PM
Anonymous said...Pia Mainda tunayemfahamu anaweza akawa 28yrs kwa sasa na sio U-18 kama huyo kwenye picha.
July 1, 2009 3:30 PM
Nicky Mwangoka said...Wimbo una funzo safi sana Jide, umetumia fasihi nzuri sana. Hongera. Sasa huyo Mainda wako Loh, kweli anahitaji ulinzi mkali.Umetoa kazi nzuri.Keep it up and Big up sana Jide
July 2, 2009 4:04 AM
Anonymous said...wewe anon unayeuliza kuhusu mainda labda hujasoma vizuri Jide amemuita Mainda kutokana na jina alilotumia kwenye mchezo wa radio wahapa hapa.
July 2, 2009 1:13 PM
Anonymous said...kWELI wadau hako katoto ni kadogo na kanaonekana kameshaanza michezo fulani,nimeshakaona mahali pa watu wazima kamechangamka fulani mie roho ikanima kama vile mdogo wangu,nenda katembelee Bongo star link utamkuta yule DJ CHOKA sijui kapiga picha naye eti niko na lizy yaani kaonekana kama mtoto wake,na uyo DJ anaona kama vile msichana mkubwa wa saiz yake.yaani limeonekana lijibaba na katoto.
Mtoto Mainda sijui Lizy kama unasoma hapa achana na mambo hayo ya kujirusha kwa wakubwa soma kwanza,kama unapenda ustar wa kucheza filamu basi nenda Chuo cha Bagamoyo kajiendeleze kama uko sekondari basi endelea maana unaoneka hata sekondari haujamaliza,haya mambo yapo na utayakuta
July 2, 2009 1:48
JUNE 28, 2009....NILIWAHI KU POST HIVI
SATURDAY 27TH JUNE 2009, MZALENDO PUB NA SWEET EAZY
Diana Mapromise, Dj Venture, Jide na Rachel Temu (Wifi) Mzalendo Pub pia kuna flowers za kufa mtu kama Machozi tu
Sweet Eazy palikuwa hivi, kutoka kushoto ni Jackie, Bijoux (from Norway), Mimi, Devota Diva na Flower jingine jina nitawatajia jumatatu maana najua watu wametoa machoooo
Young and Pretty movie star, mimi namuita Mainda kutokana na jina alilopewa kwenye mchezo wa redio wa wahapa hapa...Anatesa sana kwenye anga za cinema hapa Bongo. Yumo pia kwenye video yangu ya wimbo Shamba..inapatika you tube....Naona atakuwa amekuwa mkubwa tayari ndio maana anakuja Machozi Band...tuwalinde wadogo zetu jamani maana mjini kuna manyang'au
(Hapa LULU alikua na miaka 14 tu lakini yuko club usiku na nani? hatujui)
Flowers, Flowers, Flowers and more Flowers all over
NA COMMENTS ZILIKUWA KAMA HIVI:
June 28, 2009 2:09 PM
June 28, 2009 7:17 PM
June 29, 2009 4:49 AM
June 29, 2009 10:00 AM
June 29, 2009 12:07 PM
June 29, 2009 2:25 PM
June 29, 2009 3:04 PM
kweli kapendeza
June 29, 2009 3:37 PM
June 29, 2009 3:58 PM
June 29, 2009 4:24 PM
June 29, 2009 7:39 PM
June 29, 2009 10:44 PM
Anyway sitaki kukufananisha na mwingine maana wewe utabaki kuwa wewe siku zote,ila ukweli lazima niseme hii iakuongezea heshima na wapenzi zaidi.
June 30, 2009 1:35 AM
June 30, 2009 9:12 AM
June 30, 2009 9:46 AM
June 30, 2009 2:04 PM
June 30, 2009 5:59 PM
June 30, 2009 7:04 PM
June 30, 2009 11:24 PM
July 1, 2009 2:55 PM
July 1, 2009 3:27 PM
July 1, 2009 3:30 PM
July 2, 2009 4:04 AM
July 2, 2009 1:13 PM
Mtoto Mainda sijui Lizy kama unasoma hapa achana na mambo hayo ya kujirusha kwa wakubwa soma kwanza,kama unapenda ustar wa kucheza filamu basi nenda Chuo cha Bagamoyo kajiendeleze kama uko sekondari basi endelea maana unaoneka hata sekondari haujamaliza,haya mambo yapo na utayakuta
July 2, 2009 1:48