Wengine mnatumia kama defense tu unamwambia afute halafu unamfatilia kimya kimyaInaumiza Sana alafu kidume ndo umependa mbaya
Lol vibaya hivoooUngemwambia pole mimi ndiyo natoka hospitali muda huu...
Jino kwa jino... Akiweka ugoko wewe unaweka jiwe...Lol vibaya hivooo
Sio kwa mwanaumeJino kwa jino... Akiweka ugoko wewe unaweka jiwe...
Ushawahi kujaribu??Sio kwa mwanaume
Mwanaume ni mwepesi sana kulegea
Awe mume wa mtu au sio analegea vilevile
Ndio ishanitokea mara nyingi tuUshawahi kujaribu??
Pole sana.. Basi utakuwa ushakomaa kichwani... Experience is the best teacher...Ndio ishanitokea mara nyingi tu
Mtu anajifanya mume wa mtu afu anataka asugue gaga
Wengine mlikuwa mabesti tu wakaoa mkikutana wanataka umpe mchezo kirahisi rahisi tu
Wengine majirani tu Wana familia wanataka kukuchezea game of love lol
Akili kumkichwa hapo ukilegea tu watu wanachambua kama karanga
DefinitelyPole sana.. Basi utakuwa ushakomaa kichwani... Experience is the best teacher...