Ushamba wa wabongo, Viewers wa youtube si kigezo cha uzuri wa wimbo

Kwa
Audio ya despacito ni kali tena sana .... lakini pia hata hivyo siwezi kusema eti ndiyo wimbo bora duniani, fanbase ya wale majamaa ni kubwa sana hivyo hata kuwa na hayo maviews billions pia si kigezo.
Kwani mkuu huwezi andika bila matusi ya jumla jumla? we ungeandika ukatuelewesha, sasa inakuwa kama unaongea na watu unaowafahamu kijiweni! acha hizo zinatufanya wengine tukuone hujakomaa
 
Mkuu ni kweli nyimbo ni mbaya sana sana,watoto wa wcb hawawezi kukuelewa maana hata mziki hawajui na wengi wao wamezaliwa miaka ya 90 hadi 2000 hapo .

Wanakula kwa baba na mama mpaka leo.usipoteze muda kubishana nao.maana wao kichwani ipo wcb tu, halafu wanataka kulazimisha watu mziki ndio huo.hata kama nyimbo mbovu na wamekopy.
Kwa hiyo mashabiki wa Alikiba ni watu wa 89 kushuka chini sio?
Mshamba wa wapi wewe
 
Yani wabongo sijui tutaelimika lini, yani mtu kisa tu wimbo unatrend namba moja youtube basi anashikiwa akili na kuamini kuwa huo ndiyo wimbo bora.

Kuntrend kunaweza sababishwa na uzuri wa video mfano mzuri huu wimbo wa baba lao ni mbovu kuanzia vocal, lyrics mpaka melodies lakini video yake ni kali tena sana.

Wimbo ni audio, kuna nyimbo hazina hata video lakini zimehit dunia nzima.

Tatizo letu wabongo ni washamba sana tupo kwenye kushangaa video wakati mziki ni audio.

USHAMBA MBAYA SANA, AFADHALI UWE MASKINI KULIKO UWE MSHAMBA.
IN MUSIC INDUSTRY YOU EITHER CHOOSE TO BE A TREND OR RALPH LAUREN. katika industry ya muziki kuna nyimbo zina views mabilioni na kuna zilizo bora na zisizo bora piah, kuna nyimbo ya Gangnam style ina views Mabilioni lakini huwezi niambia ni bora kuliko Dear Mama ya 2pac, kuliko Personally ya Psquare au Mungu pekee ya Realshinski, kisa tu imegonga Views Billion, lakini pia kuna nyimbo zilizo bora na stahili kuwa na views billion kama Mi-gente, Despacito zinastahili kabisa, Nadhani jajimento iwe katika maudhui ya nyimbo lakini tusijaji ktk upande wa views tu kuwa nyimbo ni kali, tujifunze kuangalia na upande mwingine, huhitaji kuwa trend ili kuonyesha ukali, hadhi ya Ralph lauren inatosha kabisa, mitazamo tu ya mashabiki ndio inafanya views iwe kigezo ila kwa mtu anayeujua muziki in deep hawezi weweseshwa na suala hili. Tujifunze kutofautisha hivi vitu viwili kati ya views na Ubora, ni vitu viwili tofauti aidha uchague kimojawapo .

Mfano wa pili katika kisa kinachofanania na hiki ni kuwa palizuka mjadala hapo Nyuma kati ya MJ NA BOB kuwa nani mkali wa muda wote, Watu wakastick katika Tuzo kama kigezo cha MJ kuwa juu zaidi ya Bob. Lakini hawakuangalia upande mwingine kuwa kati ya hawa wawili ni yupi FALSAFA zake zinaendelea kuishi vizazi hadi vizazi?? ni wapi ukitembea Falsafa zake zinafikika na kuishi ndani ya maisha ya watu katika Uhalisia?? Nadhani Jibu utakuwa nalo wewe msomaji. MJ had his way, But BOB made his ways, Nadhani vitu hivi viangaliw katika mapana zaidi kuliko ku stick katika kitu kimoja thats why Tuzo kama za Oscar, Grammy zinaangalia vigezo vingine zaidi nje ya views tu kufanya Jajimento ya Tuzo kwa Msanii.
 
So what's itching you? Una options wasanii wapo kibao
Na wewe kinakuwasha nini mimi kuchangia hoja yangu. Acha mahaba ya kipuuzi utaolewa buree. Nazipenda nyimbo za dimond kibaooo ila huu ni mbayaaaa
 
Kuna dalili zote kwamba wewe ndo mshamba manake hata maana ya ushamba yenyewe huijui... that's ushamba #1.

Ushamba #1 brings us to ushamba wako #2 pale unaposhindwa kufahamu kwamba music is all about personal taste... kile unachoona kwako kina ladha mzuri, kwa mwenzako can taste shit!

Na kwavile it's all about personal taste, hapo ndipo namba zinapo- matter... that brings us to ushamba wako #3 kwa kutofahamu umuhimu wa namba ingawaje unajiita Srinivan Ramanujan!!

Kwavile huwezi kupima taste, ndo maana hata YouTube huwa wanapima wimbo unaofikisha Views wengi zaidi ndani ya kipindi fulani na hawapimi "wimbo mzuri" zaidi kwa sababu suala la uzuri ni psersonal taste, haliwezi kuwa quantified!

Na ni kutokana na ushamba wako huo huo ndio maana hujui kwamba YouTube huwa wanatoa tuzo kwa accounts zinazofikisha idadi fulani ya subscribers na sio accounts zinazo-post nyimbo mzuri... again, it's all about number, and not taste!!

Lakini ushamba mkubwa zaidi, which's ushamba #4 ni pale unaposhindwa kutofautisha kati ya muziki na tasnia ya muziki... kwa kizungu, music and music industry!

Kwenye ulimwengu wa leo, it's all about kuijua tasnia ya muziki na sio kuujua muziki! Ukiujua muziki bila kuijua tasnia ya muziki lazima utafeli!!!

Ni kutokana na huo ushamba #4 wa kutojua tofauti kati ya muziki na tasnia ya muziki... that brings us to ushamba #5 wa kushindwa kuona maana ya wimbo wa Baba Lao katika kipindi kama hiki, nikimaanisha muda mfupi kabla ya fainali ya Wasafi Festival!

Kwenye Festival, Club, and the like, mashabiki hawajali unaimba nini (lyrics) but what matters is shangwe itakayotokana na kile kinachowasilishwa mbele yao! Ambience itakayoletwa na Baba Lao kwenye crowd ni kubwa maradufu ya ambience inayoweza kuletwa na ngoma kama Ukimuona!!

Kwa bahati mbaya sana, mshamba asiyejua tofauti kati ya muziki na tasnia ya muziki hawezi kulifahamu hilo!!!!

Video Mzuri?! OH LORD... again hilo nalo linakupa ngao ya ushamba #6 manake kwa mara nyingine unashindwa kufahamu kwamba muziki ni sanaa! No Drama, No Art!

Video ya Baba Lao sio kwamba mzuri sana bali it's too artistic... too dramatic!

Leo hii inapokuja ngoma kama This Is America ya Childish Bambino watu hawaongei sana kuhusu uzuri wa wimbo bali "uzuri" wa video! Lakini pale kinachoongelewa hasa sio uzuri wa video bali art iliyotumika kwenye video ya This Is America!!

Itoshe tu kusema kwamba, hakuna ubaya wowote hata mkiwa mnaleta mada kuhusu kilimo cha magimbi au tangawizi, na haya mengine mkaishia tu kuwa wasomaji!!

Usipolifahamu hilo hapo juu, utabakia kuwa mtu wa kudhihirisha ushamba wako siku hadi siku maisha yako yote!!
Most intelligent reply of my Day....una akili sana Mkuu.
 
Na wewe kinakuwasha nini mimi kuchangia hoja yangu. Acha mahaba ya kipuuzi utaolewa buree. Nazipenda nyimbo za dimond kibaooo ila huu ni mbayaaaa
unajua maana ya kuolewa mshamba wewe?
Kubinuliwa kwako, kupigwa kwako miti kusinipe shida mimi kazae chuki zako leba huko maana unaonekana hata kizazi huna.

Msimbe mkubwa wewe babaako!
Kojooooo shundu mwanamke huna hata tako mfyuuuu
 
Kumw elimisha mjinga gharama yke kubwa sanaa kiongoz na unajipa taabu tu
Kwan tayr ujinga umeshawaingia hadi kunako hawa viumbe
 
Yani wabongo sijui tutaelimika lini, yani mtu kisa tu wimbo unatrend namba moja youtube basi anashikiwa akili na kuamini kuwa huo ndiyo wimbo bora.

Kuntrend kunaweza sababishwa na uzuri wa video mfano mzuri huu wimbo wa baba lao ni mbovu kuanzia vocal, lyrics mpaka melodies lakini video yake ni kali tena sana.

Wimbo ni audio, kuna nyimbo hazina hata video lakini zimehit dunia nzima.

Tatizo letu wabongo ni washamba sana tupo kwenye kushangaa video wakati mziki ni audio.

USHAMBA MBAYA SANA, AFADHALI UWE MASKINI KULIKO UWE MSHAMBA.
Mbona una hasira sana?
 
Back
Top Bottom