LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,631
- Thread starter
- #141
Sijalalamika ila nimewaeleza tu msifiche matunda ya uasherati wenu kwa kisingizio cha kutuheshimu,ni ushakunaku na upashkunaSasa unalalamika nn kwani mtoto wa nje ya ndoa ni yule
yule,...bado ni mtoto tu, afu kuna wanawake wengine, wanaingia kwenye ndoa harafu bado wanamahusiano nje, wakipata mimba uko nje wanamleta ndani, ni kitu kile kile,...