Mideko
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 35,685
- 192,724
AsanteeMwandiko wako mzuri shost
AsanteeMwandiko wako mzuri shost
Jamani hahaha tuambieni tu hivyo hivyo hata kama tutacharuka lakini tutatulia tu hatutakua na namnaTatizo sio ndoa kuvunjika, wanawake wengine ni watata, utaomba dunia ipasuke huku na huku uingiemo kwa ndani usitoke.
Maana fujo atakazoletewa mtoto yule na mama yake sio za kawaida.
Hatuna tatizo mkioa,uislam unaruhisu na watakaozaliwa hapo watakua wa ndani ya ndoa Mimi nasunguzia wale wanaoficha watoto wa zinaa kwa kisingizio cha kutuheshimu wake zaoKila watu wanavyozidi kukosoa taratibu za muumba ndivyo mnavyo zidi kuumbuka aliyewaumba kajalia wanaume wawe na mke zaidi ya mmoja hakuna kitabu chochote cha dini kinachosema msioe wake wengi sisi tunadanganyana kuoa mmoja mahawara kila kona tuendelee kufichana kilio kitatuumbua
Nikiwa mchepuko, mke, single mama, wewe haikuhusu jadili hoja iliyopo.Na ww mchepuko nn?
Hahaha kweli leo mood yako haijakaa poaMzinzi ni mzinzi tu hata awe na wake wa 4 bado atazini tu
na hao ni sehemu za ndugu zake, watajuanaUkumbuke moja ya ndugu zake ni wale aliowazaa mkeo hivyo wote wana haki ya kufahamiana na ikibidi kuishi pamoja
ila sio mbaya bora wewe umefungukaNishaziona Dalili
Hawezi pata muda wa kuchepuka kwa kuwa kila siku anakuwa na uhakika wa kula tunda, pia itamfanya msizoeane (zamu yako ikifika kila mtu anakuwa na hamu na mwenzie)..Mzinzi ni mzinzi tu hata awe na wake wa 4 bado atazini tu
Maisha ni makubaliano tu sioni ubaya wa ww kulea mtoto wa mkeo na yeye kulea wa kwako,Mimi kabla sijaolewa nilikua na mimba isiyo yake baada ya mwenye yake kufariki alinilelea mpaka nkkajifungua na baadae tukaja funga ndoa anamlea mwanangu kama mwanae na yeye pia alikua na mtoto kabla hatujaanza hata mahusiano yupo namlea kama mwanangu, hilo ndilo linalotakiwaWanawake wanazaa watoto wanatuletea tulee kabisa, ila sis tukifanya ivo ni wabaya,... Aissehh
Toa maelezo tubadilike kwenye sekta gn!Na nyie mbadilike pia
Utoto nao raha sana,yaani unavyojifikirisha in +be way kama vile kweliHawezi pata muda wa kuchepuka kwa kuwa kila siku anakuwa na uhakika wa kula tunda, pia itamfanya msizoeane (zamu yako ikifika kila mtu anakuwa na hamu na mwenzie)..
Sent from my GT-S7582 using JamiiForums mobile app
Maisha ni makubaliano tu sioni ubaya wa ww kulea mtoto wa mkeo na yeye kulea wa kwako,Mimi kabla sijaolewa nilikua na mimba isiyo yake baada ya mwenye yake kufariki alinilelea mpaka nkkajifungua na baadae tukaja funga ndoa anamlea mwanangu kama mwanae na yeye pia alikua na mtoto kabla hatujaanza hata mahusiano yupo namlea kama mwanangu, hilo ndilo linalotakiwa
Sekta ya mapenzi..heshimuni ndoa zenu..msipoleta visa na sisi tubadilikeToa maelezo tubadilike kwenye sekta gn!