Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Akili huna hata macho huna?
Mkuu wakati mwingine unajishushia heshima yako kwa kupenda kutunga uongo!
Mkuu wakati mwingine unajishushia heshima yako kwa kupenda kutunga uongo!
Mkuu kwani uandikishaji unafanyika ki vyama? na wale wasiyo na vyama nani anawasimamia?Haya yote yanatokea kituoni, mawakala wa vyama vya Upinzani, hakuna hatua wanayochukuwa bali kupiga picha na kumpelekea Halima Mdee ili aweke Twitter. inasaidia nini kesho majina yote hayo mtakuta yapo na yana saini
Wasio na vyama hawana mawakala vituoni na hakuna kanuni inayoelekeza uwakilishi wao. Cha ajabu wa vyama nao wanaona madudu haya hawazuii, wanapiga picha na kutuwekea mtandaoni. Kuna faida gani ya kuwa wakala??Mkuu kwani uandikishaji unafanyika ki vyama? na wale wasiyo na vyama nani anawasimamia?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ulitaka wafanyaje mkuu ole wako uwaguse inzi was kijani ndo utamjua jiwe Ni naniWasio na vyama hawana mawakala vituoni na hakuna kanuni inayoelekeza uwakilishi wao. Cha ajabu wa vyama nao wanaona madudu haya hawazuii, wanapiga picha na kutuwekea mtandaoni. Kuna faida gani ya kuwa wakala??
Nyie chadema mnamambo ya kisenge , siku ya uchaguzi si mnaweka mawakala? Sasa kazi nn kama mnaanza kuzusha sahizi.
Sio wakati wa uchaguzi tu, hata sasa ktk uandikishaji wana mawakala lakini ati kazi yao kupiga picha tu. Wanawaacha wandikishaji wafanye wanacotakaNyie chadema mnamambo ya kisenge , siku ya uchaguzi si mnaweka mawakala? Sasa kazi nn kama mnaanza kuzusha sahizi.
Sio wakati wa uchaguzi tu, hata sasa ktk uandikishaji wana mawakala lakini ati kazi yao kupiga picha tu. Wanawaacha wandikishaji wafanye wanacotaka
Kama tunajuani hivyo kuna faida gani kuweka mawakala hali kuwa tunajua hawawezi kufanya lolote?Unafikiri hatua hazikuwahi kuchukuliwa hapo kabla !!?
Nini Matokeo ya Hatua zilizo chululiwa kama sio Mauaji ?
Na ingekuwa ni wewe ungafanya nini hasa ambacho kingeibadili hali ya mambo !?
R.I.P. Akwilina..
Kama tunajuani hivyo kuna faida gani kuweka mawakala hali kuwa tunajua hawawezi kufanya lolote?
Na wapinzani wanaoshiriki kuna haja gani ya kupoteza Pesa za Wananchi hali wakijua CCM hawawezi kuwatangaza washindi?Kama CCM wanajua watashinda kwa kishindo ktk Chaguzi zote zijazo kuna haja gani ya kupoteza Pesa za Wananchi ktk Chaguzi wakati Matokeo wanayo tayari ?
Mkuu nitoe tongotongo tena kua uandikishaji wa majina ya wapiga kura unafanyika na serikali au vyama? au unasemea siku ya uchaguzi?Wasio na vyama hawana mawakala vituoni na hakuna kanuni inayoelekeza uwakilishi wao. Cha ajabu wa vyama nao wanaona madudu haya hawazuii, wanapiga picha na kutuwekea mtandaoni. Kuna faida gani ya kuwa wakala??
Kuna ukweli hapaManispaa ya Temeke imeteuliwa kuwa eneo la kujazia majina hewa , zoezi hili linafanyika usiku wa manane , wajazaji wanalipwa kati ya elfu 10 na elfu 15 tu , hii ni baada ya kukamilisha kujaza majina hewa 550
Morogoro waandikishaji walipewa target ya kufikisha watu 40 kwa siku, wasipofika posho hakuna na ukizingatia wahusika ni watumishi mikwara kibaoBila kumpikia takwimu jiwe hii nchi aiendi, mfumo wa uandikishaji wa huu uchaguzi mwandikishaji ano uwezo wa kujaza majina hata mia mbili kwa siku.
Uongo gani katunga mkiambiwa ukweli mnasema uongo
hadi awamu hii iishe kila NECTA lazima mtoto wa kwanza atoke CHATOAu boss wa NECTA
Hao waliopo unao waomba barua walipigiwa kura. Sasa ulitegemea nini ? Nyie ndo maana mliitwa malofaWiki ilopita nilienda s/mtaa fulan nikiitaji barua kwenda kufatilia mambo yangu naambiwa mpka nijiandikishe ndio nipewe barua