Nimefanya utafiti nikagundua kuwa karatasi ya kura ata bila ya kupigwa ikipata unyevunyevu au ukiimwagia maji inaonyesha tayari tiki imepigwa kwenye sehemu ya CCM
kama kuna yeyote mwenye shaka au tume ikitaka ushahidi basi niko tayari kuwaelekeza , nimethibitisha pia kwenye uchaguzi wa IGUNGA
kama kuna yeyote mwenye shaka au tume ikitaka ushahidi basi niko tayari kuwaelekeza , nimethibitisha pia kwenye uchaguzi wa IGUNGA