Mh Naibu waziri alipindisha sheria na kanuni ili kumpatia Meya uraia na watoto wake....Je ni watu wangapi TZ wanapewa hizi ofa?..:becky:
Ni Tanzania tu kashfa kama hii itapita kama stori za Shigongo!!! Aibu tupu!!!
Sasa Kagasheki ana mnyanyasa Meya kwakuwa alimtafutia Uraia? yaani Meya aache kufanya kazi yake na kutumia akili yake, bali atumie ya Kagasheki?
Anayetaka Uraia lakini si Raia wa Tanzania amuone Kagasheki!!! Jamani deal hilo
Kwa hali hii nashindwa kuelewa ndani ya ccm kuna viongozi wa namna gani! Kila inaye ona ana afadhari ni mchafu kuliko unayetaka kumfikiria.
Kwa uwozo huu inahitaji akili za maiti kutetea viongozi wa serikali wa namna hii.
Najua kuna wale jamaa wawili wasio jua kupima pumba na mchele. Sitashangaa wakija kutetea huu uozo ndani ya midhipa ya chama chao.
Waziri wa maliasili wa namna hii na katibu mwenye kashfa ya meno ya tendo sipati picha wakikaa chemba watajadili nini.
we ukitaka cheti cha kuzaliwa nenda uhamiaji pesa yako tu hata passport hata kama wewe ni mghana au unaweza ingiaama mtalii lakini ukafanya kazi popote pale kama wanavyofanya migodini na viwanda vya wachina na wahindi