OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 48,785
- 102,156
Nimetazama kwa umakini mkubwa na kwa utulivu gori la Kagere,nimejiridhisha kuwa Kagere alikuwa onside.
Tazama wakati Shibob anapiga kichwa huku beki alikuwa amemkaba Kagere akimchomoka kutengeneza offside.
Nawapa heko waamuzi wote kwa umakini ambao hata mimi uliniweka njia panda