Yule mchezaji alimtoroka mfungaji kabla mpira haujapigwa kichwa, ingekuwa mpira umetoka kwa yule aliyepiga kwa mguu ukaenda moja kwa moja kwa mfungaji pasingekuwa offsideKtk sheria ya kuotea
Kama mchezaji atamtoroka mpinzani kutengeneza offside huku mpira ukiwa umeshatolewa basi hapo hakuna offside.
Ni sawa na golikipa akirudisha mpira vibaya ukanaswa na wapinzani ikiwa watafunga si offside.
Sent using Jamii Forums mobile app