JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
Mkutano wa hadhara wa Act Wazalendo huo hapo chini.
Tena wanatishia kuvunja muungano na kurudisha kiti cha Zanzibar Umoja wa Mataifa.
Wakati huohuo huku Tanganyika vyama mbadala vinazuiwa kufanya mikutano ya hadhara.
Je, zuio hili la upande mmoja wa muungano kutokufanya mikutano, huku upande wa pili wakiruhusiwa ni halali?
Je, huu sio UBAGUZI?
Tena wanatishia kuvunja muungano na kurudisha kiti cha Zanzibar Umoja wa Mataifa.
Wakati huohuo huku Tanganyika vyama mbadala vinazuiwa kufanya mikutano ya hadhara.
Je, zuio hili la upande mmoja wa muungano kutokufanya mikutano, huku upande wa pili wakiruhusiwa ni halali?
Je, huu sio UBAGUZI?