Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Nafikiri kuna kitu kimenipita. Kuuwa ni kosa baya na kubwa sana, ila hukumu ya kunyongwa lazima kosa lithibitishwe kwa ushahidi usio na mawaa wala chenga chenga, sasa jaji kuhukumu kunyonga kwa ushahidi wa mazingira inatisha sana. Kwa wale mnaojua sheria hasa sheria zetu za Tanzania hivi ndivyo sheria zinavyosema au ??