Ushahidi wa Inspecta Omari Mahita Omari katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzie

LENGISHO

Senior Member
Sep 15, 2017
169
245
wakili Nashon: kati yako na Kingai nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuwaona watuhumiwa?

shahidi: wote

wakili Nashon: kwa hiyo ni sahihi nikisema kuwa alichokiona kingai ndicho ulichokiona wewe?

shahidi: kama nilivyosema mimi nilitokea kwa mbele..

WAKILI Nashon: ieleze mahakama kuwa kati ya wewe na Kingai nani anaidanganya Mahakama, Sababu Kingai anasema mliwakamata wakati wanakunywa supu wewe unasema wakati wanatembea..

shahidi: Mimi sijui Kingai katoa ushahidi gani, maana sikuwepo..

Nashon: Je shahidi unamfahamu BWIRE?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji: Shahidi, unapswa kujibu

shahidi: sikuwa namfhamu kwa tarehe hiyo

Nashon: unaifahamu Police Notebook

shahidi: nafahamu

Nashon: unajua ulitakiwa kuna nayo mahakamani?

shahidi: taarifa ya siri mali ya polisi

wakili Nashoni anakaa anamkaribisha wakili John Mallya

Malya: Shahidi ni sahihi Polisi wanapima Afya mara kwa mara?

shahidi: hiyo ni Jambo binafsi

Jaji: Shahidi Jibu tafadhali kama unafahamu au hujui

Mallya: umefanya kazi na Kingai kwa muda gani?

shahidi: kwa Miaka 3 au 2
wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana matatizo ya kusahau au kupoteza kumbukumbu ni sahihi?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji; toa JIBU

shahidi: sifahamu

Wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana kumbukumbu NZURI napatia.?

Shahidi: ndiyo!

wakili Mallya: umeeleza katika msafara wemu mlianzia Moshi Je akija mtu akisema mlianzia Boma Ng'ombe atakuwa ni muongo?

Shahidi: Sifahamu.

wakili Mallya: unapswa ujue kwa sababu ulikwepo kwenye msafara..

shahidi: Ndiyo atakuwa anasema uongo..

wakili Mallya: Umesema kuwa mliwapa chakula watuhumiwa ila hukutaja aina ya chakula wa kiasi cha chakula

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Umezungumzia kuhusu kituo cha Polisi Central

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Je ni Kwei pale kuna huduma zote ikiwemo mahabusu?

shahidi : ndiyo

wakili Mallya: pale Central kuna polisi wengi kuliko Mbweni

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Ofisi ya RPC ILALA?

shahidi: sahihi Kabisa

wakili Mallya: kuna ZCO?

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Mkuu wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam?

shahidi: sahihi Kabisa
wakili Mallya: Je hawa polisi wote tuliowataja kule Mbweni Wapo?

shahidi: Mheshimiwa naomba arudie swali lake!

Jaji: Swali lake rahisi sana nitakusaidia kukuelewesha. umetaja Ofisi za ZCO, RPC Ilala Je Kule Mbweni Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: Mh. naomba ni mjibu wakili

wakili Mallya: Jibu Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: hazipo

Wakili Mallya: Sasa hilo ndipo jibu ndugu shahidi

Jaji anasema; kwa sababu ya Afya zetu nahairisha shauri hili kwa dakika 10 tu halafu tutarejea..

KESI INAENDELEA ....

Mahakama inarejea

Jaji ameingia

Kesi inatajwa tena

Mafaili yana pandishwa kwa jaji

Kila Mtu Yupo Kwenye eneo lake

Upande wa Utetezi na Upande wa Mashitaka

Shahidi inspector Mahita yupo palepale kizimbani

Jaji anauliza kama Wakili Mallya amemamaliza

Jaji anauliza Wakili Dickson Matata Kama yupo Tayari Kuendelea

Wakili Dickson Matata nikumbushe Majina yako

shahidi Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita

Matata nitakuwa sahihi nikisema wewe ni mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita?

shahidi: Sahihi

wakili Matata Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi

shahidi: nilikuwa Chuo kikuu

wakili Matata: kwa hiyo wakati Baba yako alikuwa IGP ulikuwa na akili timamu?

shahidi: Ndiyo

wakili Matata: Unakumbuka kuhusu kauli ya Baba yako kuhusu kuwakuta CUF na visu kuhusu kuleta vurugu nchini?

wakili wa Serikali Objection

wakili Matata: naondoa Swali langu

wakili Matata Kituo cha kwanza Mwaka 2010 ulianzia Kazi wapi

Shahidi: Zanzibar

wakili Matata: baada ya hapo ulikwenda wapi

shahidi: Arusha kuwa Msaidizi wa upelelezi wilaya ya Arusha

wakili Matata: nitakuwa sahihi nikisema unawajibika kupokea Maagizo yoyote kutoka kwa kiongozi wako?

shahidi: nawajibika kupokea Maelekezo yoyote kutoka kwa Kiongozi wangu

wakili Matata: wakati mnawakamata watuhumiwa mlisema mlikuwa na kikosi Maalum?

shahidi: Kweli

wakili Matata: Kikosi hicho chote kimetokea Arusha? Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai?

shahidi: Sahihi kabisa

Matata: unakubaliana na mimi unapotoka kwenye eneo lako la kazi unapaswa kuwa na movement order?

shahidi: Kweli

Matata: na unapotoka Arusha Kwenda Moshi ni Mkoa Mwingine?

Shahidi: Kweli

wakili Matata: na unapofika mkoa mwingine unapswa uriporti kwanza kwa mamlaka ya Mkoa huo?

Shahidi: ni kweli

wakili Matata: Katika maelezo yako hakuna uliposema umeripoti popote

shahidi: Lakini.........

Matata: Jibu ndiyo au siyo

wakili Matata: umeeeleza mahakama umeriport kwa nani?

shahidi: sikueza Mahakama

wakili Matata: kuna sehemu umetoa ushahidi kuwa Umeriport Moshi?

shahidi: Sijaja nao..

wakili Matata: Nyinyi mlipowakamata watuhumiwa ndiyo Mliwasafirisha Mpaka Dar es Salaam!

shahidi: Sahihi Kabisa

wakili Matata: Mallya kakuuliza kuhusu central sitaki kurudia huko

shahidi: nilishamjibu hilo wakili

wakili Matata: unapaswa unijibu mimi sasa hivi..

Jaji: anapswa anijibu mimi..

wakili Matata: Mheshimiwa Jaji, mimi ndiye ninayetaka Jibu lake

Jaji: nakuelewa

wakili Matata: katika Maelezo yako hakuna sehemu uliyozungumza kuwa Nyie baada ya Kufika Dar es Salaam mlifanya yote na kwenda kote huko hakuna ulipo zungumza kuwa umeongozana na Askari gani wa Dar es Salaam

shahidi: rudia Swali

Matata anarudia Swali lake hapa ndugu zangu.

.shahidi: nilieleza kuwa tarehe 8 ya Mwezi 8 kuwa nilipoitwa na ACP kingai tukakutana Central

wakili Matata: katika Maelezo yako umezungumzia kuhusu Watuhumiwa Kupelekwa Mbweni, je umewahi kusikia Pale Central Kuna Mtuhumiwa alishwahi Kutoroka?

shahidi: watuhumiwa wanatoroka

Jaji: Mbona swali rahisi sana shahidi, labda walishawahi kutoroka au hujui

Shahidi: Mimi sijui aisee

wakili Matata: kati ya Central Police Dar es Salaam na Mbweni Police Station wapi pana Usalama zaidi?

shahidi: kama nilivyoeleza kuwa kutokana na viongozi kusema watuhumiwa wapelekwe Mbweni kwa usalama

wakili Matata: nakuuliza wewe siyo viongozi wako tafadhali

shahidi: Kama nilivyosema Mbweni ndiyo sehemu sahihi ya kuwapeleka watuhumiwa hao na pana usalama zaidi

wakili Matata: utakubaliana nami wakati mnasema mlifika DSM haujasema mli' report kwa nani?

shahidi: Sahihi Kabisa

Matata: tutoke huko turudi kwenye ukamataji, ni sahihi hujjazungumza kuwa kabla ya kuwasachi watuhumiwa kuwa nyie mlisachiwa na nani kwa mujibu wa sheria?

Matata: kuwa wakati yanafanyika yote wewe ulikuwa sehemu ya Kikosi kazi?

shahidi: hauko sahihi mheshimiwa

Matata: usahihi ni upi?

shahidi: kuna wakati sisi tulikuwa tunaendelea na kazi zingine na nilishaeleza

shahidi: haupo sahihi..

shahidi: ni kweli sijazungumza hilo

Matata: katika mazungumzo yako yote hujazungumza kuwa ni wakati gani walichukuliwa maelezo

shahidi: ni sahihi sijazungumza

Matata: Shahidi ulisema ulikuwa kwenye kikosi kazi na kuwasafirisha kutoka Dar es Salaam, Utakubaliana na mimi?

wakili Matata: umeeeleza kuwa watuhumiwa walikuwa ni makomandoo?

shahidi: kweli

wakili Matata: Makomandoo ni watu ambao wana mafunzo ya Kijeshi, utakubaliana na mimi wanahitaji security zaidi, ni kweli.?

shahidi: sahihi

wakili Matata: wakati mnazungumzia kuwakamata haujazungumzia kuwafunga pingu

shahidi: si kweli

wakili Dickson Matata amemaliza anamshukuru Jaji anaenda kukaa..

Sasa ni zamu ya wakili Msomi, Peter Kibatala..

wakili Kibatala: nauliza swali ninalouliza mara zote. je unafahamu kuwa kazi ninayoifanya siyo personal?

shahidi: kweli

wakili Kibatala: mwambie Mheshimiwa Jaji kilichokufanya ushindwe kuja jana ni kwasababu ulikuwa una process kibali cha kijeshi..

shahidi si kweli, umepata wapi taarifa? nilipata Jana asubuhi..

Kibatala: wapi?

shahidi: kwa Afande Kingai

wakili Kibatala: ooohhh! Mwambie Jaji kuwa umewasiliana na Afande Kingai jana saa 3 Asubuhi

shahidi: lakiiiiiiiiiiniiiiiiiiii.......

wakili Peter Kibatala: jibu kulinda heshima yako tafadhali..

shahidi: ndiyo niliwasiliana na Afande Kingai

Kibatala: Je unafahamu kuwa Kingai alikuwa Shaidi kwenye kesi hii

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: uliona wapi?

shahidi: niliona kwenye mitandao ya kijamii

Kibatala: Kwenye mtandao gani?

shahidi: Twitter

Kibatala: umekana proceeding za maswali na majibu pia

shahidi: Hapana

Kibatala: nani kakwambia uje kuzungumzia suala ya Chakula Moshi na Himo?

shahidi: ni Jambo la wazi. ndiyo uhalisia.

Kibatala: Nani alikwambia uje kuzungumza masuala ya chakula mahakamani?

Shahidi: Hakuna, ni mambo ya kawaida kwa mwana damu kula

Kibatala: unafahamu leo umekuja kwa ajili ya kesi Ndogo, na mojawapo ya MAHAKAMA inachokiangalia ni MAMBO mliyowatendea watuhumiwa ya kuwatesa?

shahidi: hilo nafahamu

Sauti ya Adhana inasikika KIBATALA anamuomba Jaji kupisha Adhana

Jaji anaruhusu zoezi Kusimama kidogo

Mahakama inakuwa kimya kimya......

Jaji: anamshukuru wakili anaweza KUENDELEA baada ya Adhana..

Kibatala kama nimekufuatilia wewe ndiyo ulikuwa arresting Officer

shahidi: Sahihi
Kibatala: Kazi ya Kingai ilikuwa ni nini?

shahidi: ni Mkuu wa Msafara

Kibatala: Adamo pale Boma Ng'ombe alikula Chakula gani?

shahidi: woteeeeee

Kibatala Sitaki wote jibu, Adamoo

shahidi: alikuwa Nyama Choma na MO ENERGY

Kibatala: Nani alilipa?

Kibatala: nani alilipia hicho Chakula

shahidi: Afande Kingai

Kibatala' bila shaka baada ya Kutumia aliomba kurejeshewe Pesa zake za kulipia watuhumiwa chakula?

shahidi: siwezi kumjibia

Kibatala: Ulishawahi kushiriki zoezi la retirement za pesa za Kingai alizotumia?

shahidi: Hapana

Kibatala: Wewe Chakula Chako alilipia nani.?

shahidi: Afande Kingai

Kibatala: na Hotel Dar es Salaam alilipia nani?

shahidi: Afande Kingai

Kibatala: Kuna sehemu Umeongelea kumkabidhi Afande Kingai risiti za matumizi yake aweze kurejesha alipopewa pesa

Kibatala: Moshi kuna kambi ndogo ya Jeshi

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Kwa hiyo pale Moshi Central walikaa siku mbili?

Shahidi: sahihi

Kibatala: na wakati mnawaweka Moshi Central police walikuwa wana mafunzo ya Kikomandoo?

shahidi: Ndiyo!

Kibatala: kwa hiyo sababu zipi special zipo Mbweni na hazipo Central zilizopelekea Kupeleka watuhumiwa Mbweni?

shahidi Kituo cha Mbweni ni Class A na Kituo Cha Mbweni hako a Watu wengi tukaamua Kuwatenganisha kutoka Central kuwapeleka Mbweni sababu ya Complexity ya Nature yao

Kibatala: Mwambie Jaji kama ulizungumza chochote Kuhusu two Separates Cells Moshi

Shahidi: sikuongelea

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Kama uliongea chochote kuhusu kuwatenganisha In two separate Cars

Shahidi: Hapana

Kibatala: Mwambie Jaji kama ulisema chochote kuhusu kuwatenganisha two Separate Cells wakiwa Central

Shahidi: Hapana

Kibatala: Mwambie Jaji kama umezungumza popote kuwa hujasema kuwa vituo vingine kama Salenda havina hadhi ya kuwapeleka

Shahidi: sikusema

Kibatala Unajua Goodluck alikuwa Mbweni

Shahidi: ndiyo nafahamu
Kibatala: unafahamu details za uchukuliwaji wa maelezo?

shahidi: sifahamu, Sikuwepo

Kibatala: Umeulizwa kuhusu kuandika STATEMENT

shahidi:Sahihi

Kibatala: katika maelezo yako uliyarekodi kama shahidi kuna sehemu umezungumzia washtakiwa walisimama ili wale

wakili Peter Kibatala: katika maelezo ya maandishi yako kuna sehemu umezungumzia washtakiwa kuwa walishawahi kupelekwa Mbweni...

Shahidi: Hapana..

wakili Peter Kibatala: Je unafahamu kuwa akatika PGO kama Afisa wa Polisi namba 236 (3)ix unapomkamata Mshitakiwa unapaswa ujitambulishe wewe binafsi, umuonye kwa maneno yafuatayo:

Jaji: hebu apatiwe PGO
Kibatala sawa ngoja nimepelekee

Shahidi: Mheshimiwa Jaji ananionyesha kitu kingine

JAJI: Muonyeshe taratibu MTAKUWA MMESHA MCHANGANYA shahidi.

wakili Peter Kibatala anasoma PGO 236 (3) ix

Shahidi anarudia kila neno.

Jaji anamwambia atulie sasa kidogo
Kibatala anamaliza kusoma..

shahidi sasa ametulia baada mchanganyiko pale

Kibatala: Unajua ulipokuwa unafanya arrest ulikuwa unafanya arrest nje ya Kituo chako cha kazi?

shahidi: sahihi kabisa

Kibatala Mwambie Jaji kama leo umetamka haya maneno kama ulimwambia Adamoo

shahidi: Mheshimiwa wakili anasoma nukuu tofauti kwenye PGO

Jaji: shahidi hebu TULIA jibu unachoulizwa tafadhali, Mnafikiri na mimi sisomi hiyo PGO?

Kibatala: Je, ulisema kama ilivyoandikwa katika PGO?

shahidi: Hapana sikusema kama ilivyoandikwa katika PGO

Kibatala: nasoma PGO 236(3) sehemu ya 10, Kwamba inataka kurekodi jibu la Adamoo katika Notebook yako

shahidi: Mheshimiwa Jaji anataka kumsaidia Wakili Kibatala PGO 272

Jaji: HIYO SIYO KAZI YAKO

Kibatala: sasa soma hapa kwenye PGO

SHAHIDI anasoma PGO ya 26

Kibatala: ni sahihi au siyo sahihi kuwa misingi yote inayoainishwa katika UKAMATAJI LAZIMA IFUATWE KAMA RULA?

shahidi: Sahihi

Kibatala: Unafahamu Notebook kuwa ni kifaakazi katika ukamataji?

shahidi: kama nilivyoeleza kuwa nikifaa changu binafsi
Kibatala: unafahamu kuwa unakuja kutoa ushahidi kuhusu Statement ya Adam kasekwa?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Jaji hujui kuwa ulikuja kutoa ushahidi kuhusu kesi ndogo katika kesi kubwa kuhusu malekezo ya Adamoo

Shahidi: hilo sifahamu..

wakili Peter Kibatala: okey kumbe tupo na shahidi ambaye hajui amekuja kufanya nini mahakamani?

wakili wa Serikali: OBJECTION tunaomba Kibatala maswali ya Kibatala yazingatie utu na kuacha UDHALILISHAJI...

Jaji: kama amabavyo tunazungumzia ukamataji na mambo ya utu kuzingatia naomba na hapa mahakamani tuzingatie mambo ya utu ya kumtendea mtu..

wakili Peter Kibatala: Naomba unisomee hapa katika PGO kuhusu Notebook..

shahidi: iasema kuhusiana na kuwa na Notebook lakini silazimishwi kama nakumbuka kila kitu mahakamani

wakili Peter Kibatala: sihitaji tafsiri yako

Jaji: anaingilia kati naona MMECHOKA..

wakili Peter Kibatala: anataka irudiwe kusomwa sehemu ya 7

Baada ua mvutano Jaji anatoa dakika kadhaa mawakili wapumzishe vichwa vyao kuhusu mabishano ya shahidi kusoma PGO...



NAOMBA NITOE KIREFU CHA PGO ( Police General Orders (PGO): Muongozo wa namna ambavyo Askari wanapaswa kufanya shughuli zao za kulinda usalama wa raia na Mali zao.)

mawakili wa Serikali wanataka Tafsiri ya PGO isitolewe hapa isomwe tafsiri iachiwe mahakama...

Kibatala: Shahidi unavyofahamu lile eneo ambalo Adamoo alikamatwa ni RAO au RAU?

shahidi: kwa ufahamu wangu ni RAU

Jaji: unaweza Ku' spell

shahidi: R. A. U

Kibatala: unalifahamu kuhusiana na kesi hii kwa sababu ndipo ulipomkamatia Mshtakiwa?

shahidi: Ndiyo

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji kama unafahamu sehemu inaitwa RAO

shahidi: inategemea na MATAMSHI

wakili Peter Kibatala: Miye nataka wewe

shahidi: HAPANA, sifahamu

Kibatala: Mwambie hakimu kama mlipofila Dar es Salaam alfajiri kama mliwapa Chakula Watuhumiwa, uliongelea hilo

shahidi Hapana sijaongelea..

wakili Peter Kibatala: na unafahamu kuwa chakula ni moja ya haki za binadamu? Nani alimkabidhi mtuhumiwa Central?

shahidi Afande Jumanne

wakili Peter Kibatala: unazifahamu details za makabidhiano ya watuhumiwa?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: nilisikia ulichukua maelezo ya Onyo kwa Mshitakiwa Adamoo Kuhusiana na Kosa la Kula Njama kutenda Matendo ya Kigaidi. Je unalifahamu hilo shtaka?

Shahidi: Hapana

wakili Peter Kibatala: wewe shahidi ni mwanasheria?

shahidi: Hapana

wakili Peter Kibatala: ilikuwa muda gani baada ya kuwakamata ukasema kwa fact hizi kosa lao ni kula njama za KUTENDA MATENDO ya KIGAIDI

shahidi: Muda tukiwa Arumeru..

Kibatala: kwa hiyo ni wewe ndiye ulifahamu hilo kosa au uliambiwa na Afande Kingai hawa wanatakiwa washitakiwe kwa makosa yapi?

shahidi: Afande kingai alituambia kesi ilifunguliwa DSM

Kibatala: kwa hiyo wewe ufahamu Details za shtaka lenyewe?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Nasikia, kuna mtu mlikamata wakati wa KUKAMATA?

Shahidi: NDIYO

Kibatala: Mwambie Jaji kwamba ni lini ulisadiki kuwa yale ni madawa ya kulevya

Shahidi: tukiona tunajua hiki ni kitu fulani, Tulitumia uzoefu wetu tu..

wakili Peter Kibatala: Mwambie Jaji kuwa mpaka leo unafahamu kuna report iliyotoka kwa mkemia yale ni madawa ya KULEVYA..

shahidi: sifahamu kwa sababu mimi siyo Mpelelezi..

wakili Peter Kibatala: Unafahamu kwa mujibu PGO kuwa mtu yoyote anayepatikana na madawa ya kulevya anatakiwa afikishwe mbele ya Hakimu kwa haraka iwezekanavyo?

Shahidi: ndiyo nafahamu..

wakili Peter Kibatala: ulielezea ni siku gani mliwakamata watuhumiwa?

shahidi: Hapana, sikuzungumzia...

wakili Peter Kibatala: Ulizungumza ni lini mlitoka Moshi?

shahidi: Mimi sikuzungumzia..

wakili Peter Kibatala: Mwambie Jaji kuwa hakuna mahala popote umezungumzia kuhusu upelelezi a wa madawa ya kulevya baada ya kufika Dar es Salaam..

shahidi: Hapana, sijaongelea

wakili Peter Kibatala: na tangu umkamate Adamoo imepita mwaka mmoja..

Shahidi: ndiyo..

wakili Peter Kibatala: Je kwa ufahamu wako kosa la kula njama linahisiana na madawa ya kulevya?

Shahidi: inategemea

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji iwapo unafahamu connections kati ya kesi iliyopo na madawa ya kulevya

wakili Peter Kibatala: Twende kwenye Bunduki

Kibatala: je ni sahihi kwa mujibu wa PGO Pistol imekuwa Classified kama Property?

shahidi: nafahamu

wakili Peter Kibatala: unafahamu kwa sheria ya UGAIDI Pistol siyo Property?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Je unafahamu Pistol kama Property hasa kama haijulikani mmiliki wake ni nani kwa mujibu PGO 236 na 272?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Property ambayo Pistol haijulikani mmiliki wake ni nani, Utaratibu wake unakuwaje?

Shahidi: upelelezi ufanyike

Kibatala: unafahamu chochote kuwa kuna upelelezi umefanyika mpaka mnawapeleka Mbweni kuwa Mmiliki wake ni nani?

shahidi: Hapana sifahamu

Kibatala: Unakubaliana na mimi mtuhumiwa wa madawa ya Kulevya anatakiwa kupelekwa Mahakamani ili upelelezi ufanyike?

Shahidi: sifahamu

wakili Peter Kibatala: Umezungumzia kuzunguka Moshi na Machame na Aishi Hotel, mliingia au hamkuingia?

shahidi: kama TIMU hatukuingia..

wakili Peter Kibatala: kama angekuwa NDANI usingejua?

shahidi: Kama timu tungejua baada ya kupata taarifa..

shahidi: Kama timu tungejua baada ya Kupata taarifa

wakili Peter Kibatala: mimi nipo specific kuhusiana na Aishi Hotel, kuhusu taarifa za intelijensia mtuhumiwa mliambiwa kuwa yupo ndani au lah?

Shahidi: Mimi sijui...

Kibatala: Mlipotola Arusha mlifanya Briefing Arumeru, Mwambie Jaji Taarifa zenu Adamoo, Lingwenya na Moses Lijenje kama waliishi Aishi Machame

shahidi: Nilikuwa sina

Niliambiwa Kuna waharifu tunaenda kuwakamata, Mimi sikuwa na taarifa kama watuhumiwa wanaishi Aishi Hotel

wakili Peter Kibatala: Shahidi Je, toka Mnafanya Briefing mpaka Mnazumguka nao kuna mahala popote ulikuwa unafahamu kama watuhumiwa wote watatu waliwahi kufanya mkutano Aishi Machame?

shahidi: Hapana sifahamu

wakili Peter Kibatala: Mliwafanyia interview washtakiwa wakati mnazunguka nao

shahidi: Afande kingai alikuwa anaripoti kwenye Notebook yake..

wakili Peter Kibatala: Ukiiona utaikumbuka?

Shahidi: Hapana..

wakili Peter Kibatala: Umeonyeshwa hapa MAHAKAMANI hiyo NOTEBOOK leo.?

shahidi; Hapana

Jaji anaingilia kati hapa.

Jaji anasema wakili Kibatala aendelee Jumatatu sababu ya muda..

Jaji natamani Kesi iwe inaisha Saa 11 Jioni

Jaji anaomba serikali iwahishe watuhumiwa.

.Jaji anasema anatamani kuona kesi ikiisha saa 11.

wakili wa serikali: Naomba kesi ihiarishwe mpaka Jumatatu..

Jaji anamuuliza Wakili Kibatala..

Kibatala: naridhia ihairishwe hadi hiyo Jumatatu..

jaji anashukuru tena mawakili wa pande zote mbili kuendelea kuvumiliana hata pale hoja zilikuwa ngumu ngumu..

Jaji anasema, namna hii ndiyo tunaweza kufika mwisho vizuri.... Nahairisha shauri hili hadi Jumatatu, saa 4:00 Asubuhi kwa ajili ya kumalizia hoja za majumuisho..
 
Naona Jaji ana-enjoy tu majibishano hadi raha. Hii kesi serikali imeshashindwa, ila kwasababu shataka walilotunga ni kubwa wanashindwa kumwachia hata kwa dhamana, halafu kesi ikapigwa danadana mwishowe kama kawaida - "Serikali haina nia ya kuendelea na kesi"
 
wakili Nashon: kati yako na Kingai nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuwaona watuhumiwa?

shahidi: wote

wakili Nashon: kwa hiyo ni sahihi nikisema kuwa alichokiona kingai ndicho ulichokiona wewe?

shahidi: kama nilivyosema mimi nilitokea kwa mbele..

WAKILI Nashon: ieleze mahakama kuwa kati ya wewe na Kingai nani anaidanganya Mahakama, Sababu Kingai anasema mliwakamata wakati wanakunywa supu wewe unasema wakati wanatembea..

shahidi: Mimi sijui Kingai katoa ushahidi gani, maana sikuwepo..

Nashon: Je shahidi unamfahamu BWIRE?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji: Shahidi, unapswa kujibu

shahidi: sikuwa namfhamu kwa tarehe hiyo

Nashon: unaifahamu Police Notebook

shahidi: nafahamu

Nashon: unajua ulitakiwa kuna nayo mahakamani?

shahidi: taarifa ya siri mali ya polisi

wakili Nashoni anakaa anamkaribisha wakili John Mallya

Malya: Shahidi ni sahihi Polisi wanapima Afya mara kwa mara?

shahidi: hiyo ni Jambo binafsi

Jaji: Shahidi Jibu tafadhali kama unafahamu au hujui

Mallya: umefanya kazi na Kingai kwa muda gani?

shahidi: kwa Miaka 3 au 2
wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana matatizo ya kusahau au kupoteza kumbukumbu ni sahihi?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji; toa JIBU

shahidi: sifahamu

Wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana kumbukumbu NZURI napatia.?

Shahidi: ndiyo!

wakili Mallya: umeeleza katika msafara wemu mlianzia Moshi Je akija mtu akisema mlianzia Boma Ng'ombe atakuwa ni muongo?

Shahidi: Sifahamu.

wakili Mallya: unapswa ujue kwa sababu ulikwepo kwenye msafara..

shahidi: Ndiyo atakuwa anasema uongo..

wakili Mallya: Umesema kuwa mliwapa chakula watuhumiwa ila hukutaja aina ya chakula wa kiasi cha chakula

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Umezungumzia kuhusu kituo cha Polisi Central

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Je ni Kwei pale kuna huduma zote ikiwemo mahabusu?

shahidi : ndiyo

wakili Mallya: pale Central kuna polisi wengi kuliko Mbweni

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Ofisi ya RPC ILALA?

shahidi: sahihi Kabisa

wakili Mallya: kuna ZCO?

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Mkuu wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam?

shahidi: sahihi Kabisa
wakili Mallya: Je hawa polisi wote tuliowataja kule Mbweni Wapo?

shahidi: Mheshimiwa naomba arudie swali lake!

Jaji: Swali lake rahisi sana nitakusaidia kukuelewesha. umetaja Ofisi za ZCO, RPC Ilala Je Kule Mbweni Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: Mh. naomba ni mjibu wakili

wakili Mallya: Jibu Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: hazipo

Wakili Mallya: Sasa hilo ndipo jibu ndugu shahidi

Jaji anasema; kwa sababu ya Afya zetu nahairisha shauri hili kwa dakika 10 tu halafu tutarejea..

KESI INAENDELEA ....

Mahakama inarejea

Jaji ameingia

Kesi inatajwa tena

Mafaili yana pandishwa kwa jaji

Kila Mtu Yupo Kwenye eneo lake

Upande wa Utetezi na Upande wa Mashitaka

Shahidi inspector Mahita yupo palepale kizimbani

Jaji anauliza kama Wakili Mallya amemamaliza

Jaji anauliza Wakili Dickson Matata Kama yupo Tayari Kuendelea

Wakili Dickson Matata nikumbushe Majina yako

shahidi Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita

Matata nitakuwa sahihi nikisema wewe ni mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita?

shahidi: Sahihi

wakili Matata Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi

shahidi: nilikuwa Chuo kikuu

wakili Matata: kwa hiyo wakati Baba yako alikuwa IGP ulikuwa na akili timamu?

shahidi: Ndiyo

wakili Matata: Unakumbuka kuhusu kauli ya Baba yako kuhusu kuwakuta CUF na visu kuhusu kuleta vurugu nchini?

wakili wa Serikali Objection

wakili Matata: naondoa Swali langu

wakili Matata Kituo cha kwanza Mwaka 2010 ulianzia Kazi wapi

Shahidi: Zanzibar

wakili Matata: baada ya hapo ulikwenda wapi

shahidi: Arusha kuwa Msaidizi wa upelelezi wilaya ya Arusha

wakili Matata: nitakuwa sahihi nikisema unawajibika kupokea Maagizo yoyote kutoka kwa kiongozi wako?

shahidi: nawajibika kupokea Maelekezo yoyote kutoka kwa Kiongozi wangu

wakili Matata: wakati mnawakamata watuhumiwa mlisema mlikuwa na kikosi Maalum?

shahidi: Kweli

wakili Matata: Kikosi hicho chote kimetokea Arusha? Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai?

shahidi: Sahihi kabisa

Matata: unakubaliana na mimi unapotoka kwenye eneo lako la kazi unapaswa kuwa na movement order?

shahidi: Kweli

Matata: na unapotoka Arusha Kwenda Moshi ni Mkoa Mwingine?

Shahidi: Kweli

wakili Matata: na unapofika mkoa mwingine unapswa uriporti kwanza kwa mamlaka ya Mkoa huo?

Shahidi: ni kweli

wakili Matata: Katika maelezo yako hakuna uliposema umeripoti popote

shahidi: Lakini.........

Matata: Jibu ndiyo au siyo

wakili Matata: umeeeleza mahakama umeriport kwa nani?

shahidi: sikueza Mahakama

wakili Matata: kuna sehemu umetoa ushahidi kuwa Umeriport Moshi?

shahidi: Sijaja nao..

wakili Matata: Nyinyi mlipowakamata watuhumiwa ndiyo Mliwasafirisha Mpaka Dar es Salaam!

shahidi: Sahihi Kabisa

wakili Matata: Mallya kakuuliza kuhusu central sitaki kurudia huko

shahidi: nilishamjibu hilo wakili

wakili Matata: unapaswa unijibu mimi sasa hivi..

Jaji: anapswa anijibu mimi..

wakili Matata: Mheshimiwa Jaji, mimi ndiye ninayetaka Jibu lake

Jaji: nakuelewa

wakili Matata: katika Maelezo yako hakuna sehemu uliyozungumza kuwa Nyie baada ya Kufika Dar es Salaam mlifanya yote na kwenda kote huko hakuna ulipo zungumza kuwa umeongozana na Askari gani wa Dar es Salaam

shahidi: rudia Swali

Matata anarudia Swali lake hapa ndugu zangu.

.shahidi: nilieleza kuwa tarehe 8 ya Mwezi 8 kuwa nilipoitwa na ACP kingai tukakutana Central

wakili Matata: katika Maelezo yako umezungumzia kuhusu Watuhumiwa Kupelekwa Mbweni, je umewahi kusikia Pale Central Kuna Mtuhumiwa alishwahi Kutoroka?

shahidi: watuhumiwa wanatoroka

Jaji: Mbona swali rahisi sana shahidi, labda walishawahi kutoroka au hujui

Shahidi: Mimi sijui aisee

wakili Matata: kati ya Central Police Dar es Salaam na Mbweni Police Station wapi pana Usalama zaidi?

shahidi: kama nilivyoeleza kuwa kutokana na viongozi kusema watuhumiwa wapelekwe Mbweni kwa usalama

wakili Matata: nakuuliza wewe siyo viongozi wako tafadhali

shahidi: Kama nilivyosema Mbweni ndiyo sehemu sahihi ya kuwapeleka watuhumiwa hao na pana usalama zaidi

wakili Matata: utakubaliana nami wakati mnasema mlifika DSM haujasema mli' report kwa nani?

shahidi: Sahihi Kabisa

Matata: tutoke huko turudi kwenye ukamataji, ni sahihi hujjazungumza kuwa kabla ya kuwasachi watuhumiwa kuwa nyie mlisachiwa na nani kwa mujibu wa sheria?

Matata: kuwa wakati yanafanyika yote wewe ulikuwa sehemu ya Kikosi kazi?

shahidi: hauko sahihi mheshimiwa

Matata: usahihi ni upi?

shahidi: kuna wakati sisi tulikuwa tunaendelea na kazi zingine na nilishaeleza

shahidi: haupo sahihi..

shahidi: ni kweli sijazungumza hilo

Matata: katika mazungumzo yako yote hujazungumza kuwa ni wakati gani walichukuliwa maelezo

shahidi: ni sahihi sijazungumza

Matata: Shahidi ulisema ulikuwa kwenye kikosi kazi na kuwasafirisha kutoka Dar es Salaam, Utakubaliana na mimi?

wakili Matata: umeeeleza kuwa watuhumiwa walikuwa ni makomandoo?

shahidi: kweli

wakili Matata: Makomandoo ni watu ambao wana mafunzo ya Kijeshi, utakubaliana na mimi wanahitaji security zaidi, ni kweli.?

shahidi: sahihi

wakili Matata: wakati mnazungumzia kuwakamata haujazungumzia kuwafunga pingu

shahidi: si kweli

wakili Dickson Matata amemaliza anamshukuru Jaji anaenda kukaa..

Sasa ni zamu ya wakili Msomi, Peter Kibatala..

wakili Kibatala: nauliza swali ninalouliza mara zote. je unafahamu kuwa kazi ninayoifanya siyo personal?

shahidi: kweli

wakili Kibatala: mwambie Mheshimiwa Jaji kilichokufanya ushindwe kuja jana ni kwasababu ulikuwa una process kibali cha kijeshi..

shahidi si kweli, umepata wapi taarifa? nilipata Jana asubuhi..

Kibatala: wapi?

shahidi: kwa Afande Kingai

wakili Kibatala: ooohhh! Mwambie Jaji kuwa umewasiliana na Afande Kingai jana saa 3 Asubuhi

shahidi: lakiiiiiiiiiiniiiiiiiiii.......

wakili Peter Kibatala: jibu kulinda heshima yako tafadhali..

shahidi: ndiyo niliwasiliana na Afande Kingai

Kibatala: Je unafahamu kuwa Kingai alikuwa Shaidi kwenye kesi hii

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: uliona wapi?

shahidi: niliona kwenye mitandao ya kijamii

Kibatala: Kwenye mtandao gani?

shahidi: Twitter

Kibatala: umekana proceeding za maswali na majibu pia

shahidi: Hapana

Kibatala: nani kakwambia uje kuzungumzia suala ya Chakula Moshi na Himo?

shahidi: ni Jambo la wazi. ndiyo uhalisia.

Kibatala: Nani alikwambia uje kuzungumza masuala ya chakula mahakamani?

Shahidi: Hakuna, ni mambo ya kawaida kwa mwana damu kula

Kibatala: unafahamu leo umekuja kwa ajili ya kesi Ndogo, na mojawapo ya MAHAKAMA inachokiangalia ni MAMBO mliyowatendea watuhumiwa ya kuwatesa?

shahidi: hilo nafahamu

Sauti ya Adhana inasikika KIBATALA anamuomba Jaji kupisha Adhana

Jaji anaruhusu zoezi Kusimama kidogo

Mahakama inakuwa kimya kimya......

Jaji: anamshukuru wakili anaweza KUENDELEA baada ya Adhana..

Kibatala kama nimekufuatilia wewe ndiyo ulikuwa arresting Officer

shahidi: Sahihi
Kibatala: Kazi ya Kingai ilikuwa ni nini?

shahidi: ni Mkuu wa Msafara

Kibatala: Adamo pale Boma Ng'ombe alikula Chakula gani?

shahidi: woteeeeee

Kibatala Sitaki wote jibu, Adamoo

shahidi: alikuwa Nyama Choma na MO ENERGY

Kibatala: Nani alilipa?

Kibatala: nani alilipia hicho Chakula

shahidi: Afande Kingai

Kibatala' bila shaka baada ya Kutumia aliomba kurejeshewe Pesa zake za kulipia watuhumiwa chakula?

shahidi: siwezi kumjibia

Kibatala: Ulishawahi kushiriki zoezi la retirement za pesa za Kingai alizotumia?

shahidi: Hapana

Kibatala: Wewe Chakula Chako alilipia nani.?

shahidi: Afande Kingai

Kibatala: na Hotel Dar es Salaam alilipia nani?

shahidi: Afande Kingai

Kibatala: Kuna sehemu Umeongelea kumkabidhi Afande Kingai risiti za matumizi yake aweze kurejesha alipopewa pesa

Kibatala: Moshi kuna kambi ndogo ya Jeshi

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Kwa hiyo pale Moshi Central walikaa siku mbili?

Shahidi: sahihi

Kibatala: na wakati mnawaweka Moshi Central police walikuwa wana mafunzo ya Kikomandoo?

shahidi: Ndiyo!

Kibatala: kwa hiyo sababu zipi special zipo Mbweni na hazipo Central zilizopelekea Kupeleka watuhumiwa Mbweni?

shahidi Kituo cha Mbweni ni Class A na Kituo Cha Mbweni hako a Watu wengi tukaamua Kuwatenganisha kutoka Central kuwapeleka Mbweni sababu ya Complexity ya Nature yao

Kibatala: Mwambie Jaji kama ulizungumza chochote Kuhusu two Separates Cells Moshi

Shahidi: sikuongelea

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Kama uliongea chochote kuhusu kuwatenganisha In two separate Cars

Shahidi: Hapana

Kibatala: Mwambie Jaji kama ulisema chochote kuhusu kuwatenganisha two Separate Cells wakiwa Central

Shahidi: Hapana

Kibatala: Mwambie Jaji kama umezungumza popote kuwa hujasema kuwa vituo vingine kama Salenda havina hadhi ya kuwapeleka

Shahidi: sikusema

Kibatala Unajua Goodluck alikuwa Mbweni

Shahidi: ndiyo nafahamu
Kibatala: unafahamu details za uchukuliwaji wa maelezo?

shahidi: sifahamu, Sikuwepo

Kibatala: Umeulizwa kuhusu kuandika STATEMENT

shahidi:Sahihi

Kibatala: katika maelezo yako uliyarekodi kama shahidi kuna sehemu umezungumzia washtakiwa walisimama ili wale

wakili Peter Kibatala: katika maelezo ya maandishi yako kuna sehemu umezungumzia washtakiwa kuwa walishawahi kupelekwa Mbweni...

Shahidi: Hapana..

wakili Peter Kibatala: Je unafahamu kuwa akatika PGO kama Afisa wa Polisi namba 236 (3)ix unapomkamata Mshitakiwa unapaswa ujitambulishe wewe binafsi, umuonye kwa maneno yafuatayo:

Jaji: hebu apatiwe PGO
Kibatala sawa ngoja nimepelekee

Shahidi: Mheshimiwa Jaji ananionyesha kitu kingine

JAJI: Muonyeshe taratibu MTAKUWA MMESHA MCHANGANYA shahidi.

wakili Peter Kibatala anasoma PGO 236 (3) ix

Shahidi anarudia kila neno.

Jaji anamwambia atulie sasa kidogo
Kibatala anamaliza kusoma..

shahidi sasa ametulia baada mchanganyiko pale

Kibatala: Unajua ulipokuwa unafanya arrest ulikuwa unafanya arrest nje ya Kituo chako cha kazi?

shahidi: sahihi kabisa

Kibatala Mwambie Jaji kama leo umetamka haya maneno kama ulimwambia Adamoo

shahidi: Mheshimiwa wakili anasoma nukuu tofauti kwenye PGO

Jaji: shahidi hebu TULIA jibu unachoulizwa tafadhali, Mnafikiri na mimi sisomi hiyo PGO?

Kibatala: Je, ulisema kama ilivyoandikwa katika PGO?

shahidi: Hapana sikusema kama ilivyoandikwa katika PGO

Kibatala: nasoma PGO 236(3) sehemu ya 10, Kwamba inataka kurekodi jibu la Adamoo katika Notebook yako

shahidi: Mheshimiwa Jaji anataka kumsaidia Wakili Kibatala PGO 272

Jaji: HIYO SIYO KAZI YAKO

Kibatala: sasa soma hapa kwenye PGO

SHAHIDI anasoma PGO ya 26

Kibatala: ni sahihi au siyo sahihi kuwa misingi yote inayoainishwa katika UKAMATAJI LAZIMA IFUATWE KAMA RULA?

shahidi: Sahihi

Kibatala: Unafahamu Notebook kuwa ni kifaakazi katika ukamataji?

shahidi: kama nilivyoeleza kuwa nikifaa changu binafsi
Kibatala: unafahamu kuwa unakuja kutoa ushahidi kuhusu Statement ya Adam kasekwa?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Jaji hujui kuwa ulikuja kutoa ushahidi kuhusu kesi ndogo katika kesi kubwa kuhusu malekezo ya Adamoo

Shahidi: hilo sifahamu..

wakili Peter Kibatala: okey kumbe tupo na shahidi ambaye hajui amekuja kufanya nini mahakamani?

wakili wa Serikali: OBJECTION tunaomba Kibatala maswali ya Kibatala yazingatie utu na kuacha UDHALILISHAJI...

Jaji: kama amabavyo tunazungumzia ukamataji na mambo ya utu kuzingatia naomba na hapa mahakamani tuzingatie mambo ya utu ya kumtendea mtu..

wakili Peter Kibatala: Naomba unisomee hapa katika PGO kuhusu Notebook..

shahidi: iasema kuhusiana na kuwa na Notebook lakini silazimishwi kama nakumbuka kila kitu mahakamani

wakili Peter Kibatala: sihitaji tafsiri yako

Jaji: anaingilia kati naona MMECHOKA..

wakili Peter Kibatala: anataka irudiwe kusomwa sehemu ya 7

Baada ua mvutano Jaji anatoa dakika kadhaa mawakili wapumzishe vichwa vyao kuhusu mabishano ya shahidi kusoma PGO...



NAOMBA NITOE KIREFU CHA PGO ( Police General Orders (PGO): Muongozo wa namna ambavyo Askari wanapaswa kufanya shughuli zao za kulinda usalama wa raia na Mali zao.)

mawakili wa Serikali wanataka Tafsiri ya PGO isitolewe hapa isomwe tafsiri iachiwe mahakama...

Kibatala: Shahidi unavyofahamu lile eneo ambalo Adamoo alikamatwa ni RAO au RAU?

shahidi: kwa ufahamu wangu ni RAU

Jaji: unaweza Ku' spell

shahidi: R. A. U

Kibatala: unalifahamu kuhusiana na kesi hii kwa sababu ndipo ulipomkamatia Mshtakiwa?

shahidi: Ndiyo

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji kama unafahamu sehemu inaitwa RAO

shahidi: inategemea na MATAMSHI

wakili Peter Kibatala: Miye nataka wewe

shahidi: HAPANA, sifahamu

Kibatala: Mwambie hakimu kama mlipofila Dar es Salaam alfajiri kama mliwapa Chakula Watuhumiwa, uliongelea hilo

shahidi Hapana sijaongelea..

wakili Peter Kibatala: na unafahamu kuwa chakula ni moja ya haki za binadamu? Nani alimkabidhi mtuhumiwa Central?

shahidi Afande Jumanne

wakili Peter Kibatala: unazifahamu details za makabidhiano ya watuhumiwa?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: nilisikia ulichukua maelezo ya Onyo kwa Mshitakiwa Adamoo Kuhusiana na Kosa la Kula Njama kutenda Matendo ya Kigaidi. Je unalifahamu hilo shtaka?

Shahidi: Hapana

wakili Peter Kibatala: wewe shahidi ni mwanasheria?

shahidi: Hapana

wakili Peter Kibatala: ilikuwa muda gani baada ya kuwakamata ukasema kwa fact hizi kosa lao ni kula njama za KUTENDA MATENDO ya KIGAIDI

shahidi: Muda tukiwa Arumeru..

Kibatala: kwa hiyo ni wewe ndiye ulifahamu hilo kosa au uliambiwa na Afande Kingai hawa wanatakiwa washitakiwe kwa makosa yapi?

shahidi: Afande kingai alituambia kesi ilifunguliwa DSM

Kibatala: kwa hiyo wewe ufahamu Details za shtaka lenyewe?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Nasikia, kuna mtu mlikamata wakati wa KUKAMATA?

Shahidi: NDIYO

Kibatala: Mwambie Jaji kwamba ni lini ulisadiki kuwa yale ni madawa ya kulevya

Shahidi: tukiona tunajua hiki ni kitu fulani, Tulitumia uzoefu wetu tu..

wakili Peter Kibatala: Mwambie Jaji kuwa mpaka leo unafahamu kuna report iliyotoka kwa mkemia yale ni madawa ya KULEVYA..

shahidi: sifahamu kwa sababu mimi siyo Mpelelezi..

wakili Peter Kibatala: Unafahamu kwa mujibu PGO kuwa mtu yoyote anayepatikana na madawa ya kulevya anatakiwa afikishwe mbele ya Hakimu kwa haraka iwezekanavyo?

Shahidi: ndiyo nafahamu..

wakili Peter Kibatala: ulielezea ni siku gani mliwakamata watuhumiwa?

shahidi: Hapana, sikuzungumzia...

wakili Peter Kibatala: Ulizungumza ni lini mlitoka Moshi?

shahidi: Mimi sikuzungumzia..

wakili Peter Kibatala: Mwambie Jaji kuwa hakuna mahala popote umezungumzia kuhusu upelelezi a wa madawa ya kulevya baada ya kufika Dar es Salaam..

shahidi: Hapana, sijaongelea

wakili Peter Kibatala: na tangu umkamate Adamoo imepita mwaka mmoja..

Shahidi: ndiyo..

wakili Peter Kibatala: Je kwa ufahamu wako kosa la kula njama linahisiana na madawa ya kulevya?

Shahidi: inategemea

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji iwapo unafahamu connections kati ya kesi iliyopo na madawa ya kulevya

wakili Peter Kibatala: Twende kwenye Bunduki

Kibatala: je ni sahihi kwa mujibu wa PGO Pistol imekuwa Classified kama Property?

shahidi: nafahamu

wakili Peter Kibatala: unafahamu kwa sheria ya UGAIDI Pistol siyo Property?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Je unafahamu Pistol kama Property hasa kama haijulikani mmiliki wake ni nani kwa mujibu PGO 236 na 272?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Property ambayo Pistol haijulikani mmiliki wake ni nani, Utaratibu wake unakuwaje?

Shahidi: upelelezi ufanyike

Kibatala: unafahamu chochote kuwa kuna upelelezi umefanyika mpaka mnawapeleka Mbweni kuwa Mmiliki wake ni nani?

shahidi: Hapana sifahamu

Kibatala: Unakubaliana na mimi mtuhumiwa wa madawa ya Kulevya anatakiwa kupelekwa Mahakamani ili upelelezi ufanyike?

Shahidi: sifahamu

wakili Peter Kibatala: Umezungumzia kuzunguka Moshi na Machame na Aishi Hotel, mliingia au hamkuingia?

shahidi: kama TIMU hatukuingia..

wakili Peter Kibatala: kama angekuwa NDANI usingejua?

shahidi: Kama timu tungejua baada ya kupata taarifa..

shahidi: Kama timu tungejua baada ya Kupata taarifa

wakili Peter Kibatala: mimi nipo specific kuhusiana na Aishi Hotel, kuhusu taarifa za intelijensia mtuhumiwa mliambiwa kuwa yupo ndani au lah?

Shahidi: Mimi sijui...

Kibatala: Mlipotola Arusha mlifanya Briefing Arumeru, Mwambie Jaji Taarifa zenu Adamoo, Lingwenya na Moses Lijenje kama waliishi Aishi Machame

shahidi: Nilikuwa sina

Niliambiwa Kuna waharifu tunaenda kuwakamata, Mimi sikuwa na taarifa kama watuhumiwa wanaishi Aishi Hotel

wakili Peter Kibatala: Shahidi Je, toka Mnafanya Briefing mpaka Mnazumguka nao kuna mahala popote ulikuwa unafahamu kama watuhumiwa wote watatu waliwahi kufanya mkutano Aishi Machame?

shahidi: Hapana sifahamu

wakili Peter Kibatala: Mliwafanyia interview washtakiwa wakati mnazunguka nao

shahidi: Afande kingai alikuwa anaripoti kwenye Notebook yake..

wakili Peter Kibatala: Ukiiona utaikumbuka?

Shahidi: Hapana..

wakili Peter Kibatala: Umeonyeshwa hapa MAHAKAMANI hiyo NOTEBOOK leo.?

shahidi; Hapana

Jaji anaingilia kati hapa.

Jaji anasema wakili Kibatala aendelee Jumatatu sababu ya muda..

Jaji natamani Kesi iwe inaisha Saa 11 Jioni

Jaji anaomba serikali iwahishe watuhumiwa.

.Jaji anasema anatamani kuona kesi ikiisha saa 11.

wakili wa serikali: Naomba kesi ihiarishwe mpaka Jumatatu..

Jaji anamuuliza Wakili Kibatala..

Kibatala: naridhia ihairishwe hadi hiyo Jumatatu..

jaji anashukuru tena mawakili wa pande zote mbili kuendelea kuvumiliana hata pale hoja zilikuwa ngumu ngumu..

Jaji anasema, namna hii ndiyo tunaweza kufika mwisho vizuri.... Nahairisha shauri hili hadi Jumatatu, saa 4:00 Asubuhi kwa ajili ya kumalizia hoja za majumuisho..View attachment 1942187
Na huyu hapa chini ndiyo shahidi??
 
Mheshimiwa jaji ananionyesha kitu kinginemahita kapanick na kupoteza muelekeo,lazima kajisaidia kma kingai
 
wakili Nashon: kati yako na Kingai nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuwaona watuhumiwa?

shahidi: wote

wakili Nashon: kwa hiyo ni sahihi nikisema kuwa alichokiona kingai ndicho ulichokiona wewe?

shahidi: kama nilivyosema mimi nilitokea kwa mbele..

WAKILI Nashon: ieleze mahakama kuwa kati ya wewe na Kingai nani anaidanganya Mahakama, Sababu Kingai anasema mliwakamata wakati wanakunywa supu wewe unasema wakati wanatembea..

shahidi: Mimi sijui Kingai katoa ushahidi gani, maana sikuwepo..

Nashon: Je shahidi unamfahamu BWIRE?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji: Shahidi, unapswa kujibu

shahidi: sikuwa namfhamu kwa tarehe hiyo

Nashon: unaifahamu Police Notebook

shahidi: nafahamu

Nashon: unajua ulitakiwa kuna nayo mahakamani?

shahidi: taarifa ya siri mali ya polisi

wakili Nashoni anakaa anamkaribisha wakili John Mallya

Malya: Shahidi ni sahihi Polisi wanapima Afya mara kwa mara?

shahidi: hiyo ni Jambo binafsi

Jaji: Shahidi Jibu tafadhali kama unafahamu au hujui

Mallya: umefanya kazi na Kingai kwa muda gani?

shahidi: kwa Miaka 3 au 2
wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana matatizo ya kusahau au kupoteza kumbukumbu ni sahihi?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji; toa JIBU

shahidi: sifahamu

Wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana kumbukumbu NZURI napatia.?

Shahidi: ndiyo!

wakili Mallya: umeeleza katika msafara wemu mlianzia Moshi Je akija mtu akisema mlianzia Boma Ng'ombe atakuwa ni muongo?

Shahidi: Sifahamu.

wakili Mallya: unapswa ujue kwa sababu ulikwepo kwenye msafara..

shahidi: Ndiyo atakuwa anasema uongo..

wakili Mallya: Umesema kuwa mliwapa chakula watuhumiwa ila hukutaja aina ya chakula wa kiasi cha chakula

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Umezungumzia kuhusu kituo cha Polisi Central

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Je ni Kwei pale kuna huduma zote ikiwemo mahabusu?

shahidi : ndiyo

wakili Mallya: pale Central kuna polisi wengi kuliko Mbweni

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Ofisi ya RPC ILALA?

shahidi: sahihi Kabisa

wakili Mallya: kuna ZCO?

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Mkuu wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam?

shahidi: sahihi Kabisa
wakili Mallya: Je hawa polisi wote tuliowataja kule Mbweni Wapo?

shahidi: Mheshimiwa naomba arudie swali lake!

Jaji: Swali lake rahisi sana nitakusaidia kukuelewesha. umetaja Ofisi za ZCO, RPC Ilala Je Kule Mbweni Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: Mh. naomba ni mjibu wakili

wakili Mallya: Jibu Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: hazipo

Wakili Mallya: Sasa hilo ndipo jibu ndugu shahidi

Jaji anasema; kwa sababu ya Afya zetu nahairisha shauri hili kwa dakika 10 tu halafu tutarejea..

KESI INAENDELEA ....

Mahakama inarejea

Jaji ameingia

Kesi inatajwa tena

Mafaili yana pandishwa kwa jaji

Kila Mtu Yupo Kwenye eneo lake

Upande wa Utetezi na Upande wa Mashitaka

Shahidi inspector Mahita yupo palepale kizimbani

Jaji anauliza kama Wakili Mallya amemamaliza

Jaji anauliza Wakili Dickson Matata Kama yupo Tayari Kuendelea

Wakili Dickson Matata nikumbushe Majina yako

shahidi Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita

Matata nitakuwa sahihi nikisema wewe ni mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita?

shahidi: Sahihi

wakili Matata Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi

shahidi: nilikuwa Chuo kikuu

wakili Matata: kwa hiyo wakati Baba yako alikuwa IGP ulikuwa na akili timamu?

shahidi: Ndiyo

wakili Matata: Unakumbuka kuhusu kauli ya Baba yako kuhusu kuwakuta CUF na visu kuhusu kuleta vurugu nchini?

wakili wa Serikali Objection

wakili Matata: naondoa Swali langu

wakili Matata Kituo cha kwanza Mwaka 2010 ulianzia Kazi wapi

Shahidi: Zanzibar

wakili Matata: baada ya hapo ulikwenda wapi

shahidi: Arusha kuwa Msaidizi wa upelelezi wilaya ya Arusha

wakili Matata: nitakuwa sahihi nikisema unawajibika kupokea Maagizo yoyote kutoka kwa kiongozi wako?

shahidi: nawajibika kupokea Maelekezo yoyote kutoka kwa Kiongozi wangu

wakili Matata: wakati mnawakamata watuhumiwa mlisema mlikuwa na kikosi Maalum?

shahidi: Kweli

wakili Matata: Kikosi hicho chote kimetokea Arusha? Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai?

shahidi: Sahihi kabisa

Matata: unakubaliana na mimi unapotoka kwenye eneo lako la kazi unapaswa kuwa na movement order?

shahidi: Kweli

Matata: na unapotoka Arusha Kwenda Moshi ni Mkoa Mwingine?

Shahidi: Kweli

wakili Matata: na unapofika mkoa mwingine unapswa uriporti kwanza kwa mamlaka ya Mkoa huo?

Shahidi: ni kweli

wakili Matata: Katika maelezo yako hakuna uliposema umeripoti popote

shahidi: Lakini.........

Matata: Jibu ndiyo au siyo

wakili Matata: umeeeleza mahakama umeriport kwa nani?

shahidi: sikueza Mahakama

wakili Matata: kuna sehemu umetoa ushahidi kuwa Umeriport Moshi?

shahidi: Sijaja nao..

wakili Matata: Nyinyi mlipowakamata watuhumiwa ndiyo Mliwasafirisha Mpaka Dar es Salaam!

shahidi: Sahihi Kabisa

wakili Matata: Mallya kakuuliza kuhusu central sitaki kurudia huko

shahidi: nilishamjibu hilo wakili

wakili Matata: unapaswa unijibu mimi sasa hivi..

Jaji: anapswa anijibu mimi..

wakili Matata: Mheshimiwa Jaji, mimi ndiye ninayetaka Jibu lake

Jaji: nakuelewa

wakili Matata: katika Maelezo yako hakuna sehemu uliyozungumza kuwa Nyie baada ya Kufika Dar es Salaam mlifanya yote na kwenda kote huko hakuna ulipo zungumza kuwa umeongozana na Askari gani wa Dar es Salaam

shahidi: rudia Swali

Matata anarudia Swali lake hapa ndugu zangu.

.shahidi: nilieleza kuwa tarehe 8 ya Mwezi 8 kuwa nilipoitwa na ACP kingai tukakutana Central

wakili Matata: katika Maelezo yako umezungumzia kuhusu Watuhumiwa Kupelekwa Mbweni, je umewahi kusikia Pale Central Kuna Mtuhumiwa alishwahi Kutoroka?

shahidi: watuhumiwa wanatoroka

Jaji: Mbona swali rahisi sana shahidi, labda walishawahi kutoroka au hujui

Shahidi: Mimi sijui aisee

wakili Matata: kati ya Central Police Dar es Salaam na Mbweni Police Station wapi pana Usalama zaidi?

shahidi: kama nilivyoeleza kuwa kutokana na viongozi kusema watuhumiwa wapelekwe Mbweni kwa usalama

wakili Matata: nakuuliza wewe siyo viongozi wako tafadhali

shahidi: Kama nilivyosema Mbweni ndiyo sehemu sahihi ya kuwapeleka watuhumiwa hao na pana usalama zaidi

wakili Matata: utakubaliana nami wakati mnasema mlifika DSM haujasema mli' report kwa nani?

shahidi: Sahihi Kabisa

Matata: tutoke huko turudi kwenye ukamataji, ni sahihi hujjazungumza kuwa kabla ya kuwasachi watuhumiwa kuwa nyie mlisachiwa na nani kwa mujibu wa sheria?

Matata: kuwa wakati yanafanyika yote wewe ulikuwa sehemu ya Kikosi kazi?

shahidi: hauko sahihi mheshimiwa

Matata: usahihi ni upi?

shahidi: kuna wakati sisi tulikuwa tunaendelea na kazi zingine na nilishaeleza

shahidi: haupo sahihi..

shahidi: ni kweli sijazungumza hilo

Matata: katika mazungumzo yako yote hujazungumza kuwa ni wakati gani walichukuliwa maelezo

shahidi: ni sahihi sijazungumza

Matata: Shahidi ulisema ulikuwa kwenye kikosi kazi na kuwasafirisha kutoka Dar es Salaam, Utakubaliana na mimi?

wakili Matata: umeeeleza kuwa watuhumiwa walikuwa ni makomandoo?

shahidi: kweli

wakili Matata: Makomandoo ni watu ambao wana mafunzo ya Kijeshi, utakubaliana na mimi wanahitaji security zaidi, ni kweli.?

shahidi: sahihi

wakili Matata: wakati mnazungumzia kuwakamata haujazungumzia kuwafunga pingu

shahidi: si kweli

wakili Dickson Matata amemaliza anamshukuru Jaji anaenda kukaa..

Sasa ni zamu ya wakili Msomi, Peter Kibatala..

wakili Kibatala: nauliza swali ninalouliza mara zote. je unafahamu kuwa kazi ninayoifanya siyo personal?

shahidi: kweli

wakili Kibatala: mwambie Mheshimiwa Jaji kilichokufanya ushindwe kuja jana ni kwasababu ulikuwa una process kibali cha kijeshi..

shahidi si kweli, umepata wapi taarifa? nilipata Jana asubuhi..

Kibatala: wapi?

shahidi: kwa Afande Kingai

wakili Kibatala: ooohhh! Mwambie Jaji kuwa umewasiliana na Afande Kingai jana saa 3 Asubuhi

shahidi: lakiiiiiiiiiiniiiiiiiiii.......

wakili Peter Kibatala: jibu kulinda heshima yako tafadhali..

shahidi: ndiyo niliwasiliana na Afande Kingai

Kibatala: Je unafahamu kuwa Kingai alikuwa Shaidi kwenye kesi hii

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: uliona wapi?

shahidi: niliona kwenye mitandao ya kijamii

Kibatala: Kwenye mtandao gani?

shahidi: Twitter

Kibatala: umekana proceeding za maswali na majibu pia

shahidi: Hapana

Kibatala: nani kakwambia uje kuzungumzia suala ya Chakula Moshi na Himo?

shahidi: ni Jambo la wazi. ndiyo uhalisia.

Kibatala: Nani alikwambia uje kuzungumza masuala ya chakula mahakamani?

Shahidi: Hakuna, ni mambo ya kawaida kwa mwana damu kula

Kibatala: unafahamu leo umekuja kwa ajili ya kesi Ndogo, na mojawapo ya MAHAKAMA inachokiangalia ni MAMBO mliyowatendea watuhumiwa ya kuwatesa?

shahidi: hilo nafahamu

Sauti ya Adhana inasikika KIBATALA anamuomba Jaji kupisha Adhana

Jaji anaruhusu zoezi Kusimama kidogo

Mahakama inakuwa kimya kimya......

Jaji: anamshukuru wakili anaweza KUENDELEA baada ya Adhana..

Kibatala kama nimekufuatilia wewe ndiyo ulikuwa arresting Officer

shahidi: Sahihi
Kibatala: Kazi ya Kingai ilikuwa ni nini?

shahidi: ni Mkuu wa Msafara

Kibatala: Adamo pale Boma Ng'ombe alikula Chakula gani?

shahidi: woteeeeee

Kibatala Sitaki wote jibu, Adamoo

shahidi: alikuwa Nyama Choma na MO ENERGY

Kibatala: Nani alilipa?

Kibatala: nani alilipia hicho Chakula

shahidi: Afande Kingai

Kibatala' bila shaka baada ya Kutumia aliomba kurejeshewe Pesa zake za kulipia watuhumiwa chakula?

shahidi: siwezi kumjibia

Kibatala: Ulishawahi kushiriki zoezi la retirement za pesa za Kingai alizotumia?

shahidi: Hapana

Kibatala: Wewe Chakula Chako alilipia nani.?

shahidi: Afande Kingai

Kibatala: na Hotel Dar es Salaam alilipia nani?

shahidi: Afande Kingai

Kibatala: Kuna sehemu Umeongelea kumkabidhi Afande Kingai risiti za matumizi yake aweze kurejesha alipopewa pesa

Kibatala: Moshi kuna kambi ndogo ya Jeshi

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Kwa hiyo pale Moshi Central walikaa siku mbili?

Shahidi: sahihi

Kibatala: na wakati mnawaweka Moshi Central police walikuwa wana mafunzo ya Kikomandoo?

shahidi: Ndiyo!

Kibatala: kwa hiyo sababu zipi special zipo Mbweni na hazipo Central zilizopelekea Kupeleka watuhumiwa Mbweni?

shahidi Kituo cha Mbweni ni Class A na Kituo Cha Mbweni hako a Watu wengi tukaamua Kuwatenganisha kutoka Central kuwapeleka Mbweni sababu ya Complexity ya Nature yao

Kibatala: Mwambie Jaji kama ulizungumza chochote Kuhusu two Separates Cells Moshi

Shahidi: sikuongelea

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Kama uliongea chochote kuhusu kuwatenganisha In two separate Cars

Shahidi: Hapana

Kibatala: Mwambie Jaji kama ulisema chochote kuhusu kuwatenganisha two Separate Cells wakiwa Central

Shahidi: Hapana

Kibatala: Mwambie Jaji kama umezungumza popote kuwa hujasema kuwa vituo vingine kama Salenda havina hadhi ya kuwapeleka

Shahidi: sikusema

Kibatala Unajua Goodluck alikuwa Mbweni

Shahidi: ndiyo nafahamu
Kibatala: unafahamu details za uchukuliwaji wa maelezo?

shahidi: sifahamu, Sikuwepo

Kibatala: Umeulizwa kuhusu kuandika STATEMENT

shahidi:Sahihi

Kibatala: katika maelezo yako uliyarekodi kama shahidi kuna sehemu umezungumzia washtakiwa walisimama ili wale

wakili Peter Kibatala: katika maelezo ya maandishi yako kuna sehemu umezungumzia washtakiwa kuwa walishawahi kupelekwa Mbweni...

Shahidi: Hapana..

wakili Peter Kibatala: Je unafahamu kuwa akatika PGO kama Afisa wa Polisi namba 236 (3)ix unapomkamata Mshitakiwa unapaswa ujitambulishe wewe binafsi, umuonye kwa maneno yafuatayo:

Jaji: hebu apatiwe PGO
Kibatala sawa ngoja nimepelekee

Shahidi: Mheshimiwa Jaji ananionyesha kitu kingine

JAJI: Muonyeshe taratibu MTAKUWA MMESHA MCHANGANYA shahidi.

wakili Peter Kibatala anasoma PGO 236 (3) ix

Shahidi anarudia kila neno.

Jaji anamwambia atulie sasa kidogo
Kibatala anamaliza kusoma..

shahidi sasa ametulia baada mchanganyiko pale

Kibatala: Unajua ulipokuwa unafanya arrest ulikuwa unafanya arrest nje ya Kituo chako cha kazi?

shahidi: sahihi kabisa

Kibatala Mwambie Jaji kama leo umetamka haya maneno kama ulimwambia Adamoo

shahidi: Mheshimiwa wakili anasoma nukuu tofauti kwenye PGO

Jaji: shahidi hebu TULIA jibu unachoulizwa tafadhali, Mnafikiri na mimi sisomi hiyo PGO?

Kibatala: Je, ulisema kama ilivyoandikwa katika PGO?

shahidi: Hapana sikusema kama ilivyoandikwa katika PGO

Kibatala: nasoma PGO 236(3) sehemu ya 10, Kwamba inataka kurekodi jibu la Adamoo katika Notebook yako

shahidi: Mheshimiwa Jaji anataka kumsaidia Wakili Kibatala PGO 272

Jaji: HIYO SIYO KAZI YAKO

Kibatala: sasa soma hapa kwenye PGO

SHAHIDI anasoma PGO ya 26

Kibatala: ni sahihi au siyo sahihi kuwa misingi yote inayoainishwa katika UKAMATAJI LAZIMA IFUATWE KAMA RULA?

shahidi: Sahihi

Kibatala: Unafahamu Notebook kuwa ni kifaakazi katika ukamataji?

shahidi: kama nilivyoeleza kuwa nikifaa changu binafsi
Kibatala: unafahamu kuwa unakuja kutoa ushahidi kuhusu Statement ya Adam kasekwa?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Jaji hujui kuwa ulikuja kutoa ushahidi kuhusu kesi ndogo katika kesi kubwa kuhusu malekezo ya Adamoo

Shahidi: hilo sifahamu..

wakili Peter Kibatala: okey kumbe tupo na shahidi ambaye hajui amekuja kufanya nini mahakamani?

wakili wa Serikali: OBJECTION tunaomba Kibatala maswali ya Kibatala yazingatie utu na kuacha UDHALILISHAJI...

Jaji: kama amabavyo tunazungumzia ukamataji na mambo ya utu kuzingatia naomba na hapa mahakamani tuzingatie mambo ya utu ya kumtendea mtu..

wakili Peter Kibatala: Naomba unisomee hapa katika PGO kuhusu Notebook..

shahidi: iasema kuhusiana na kuwa na Notebook lakini silazimishwi kama nakumbuka kila kitu mahakamani

wakili Peter Kibatala: sihitaji tafsiri yako

Jaji: anaingilia kati naona MMECHOKA..

wakili Peter Kibatala: anataka irudiwe kusomwa sehemu ya 7

Baada ua mvutano Jaji anatoa dakika kadhaa mawakili wapumzishe vichwa vyao kuhusu mabishano ya shahidi kusoma PGO...



NAOMBA NITOE KIREFU CHA PGO ( Police General Orders (PGO): Muongozo wa namna ambavyo Askari wanapaswa kufanya shughuli zao za kulinda usalama wa raia na Mali zao.)

mawakili wa Serikali wanataka Tafsiri ya PGO isitolewe hapa isomwe tafsiri iachiwe mahakama...

Kibatala: Shahidi unavyofahamu lile eneo ambalo Adamoo alikamatwa ni RAO au RAU?

shahidi: kwa ufahamu wangu ni RAU

Jaji: unaweza Ku' spell

shahidi: R. A. U

Kibatala: unalifahamu kuhusiana na kesi hii kwa sababu ndipo ulipomkamatia Mshtakiwa?

shahidi: Ndiyo

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji kama unafahamu sehemu inaitwa RAO

shahidi: inategemea na MATAMSHI

wakili Peter Kibatala: Miye nataka wewe

shahidi: HAPANA, sifahamu

Kibatala: Mwambie hakimu kama mlipofila Dar es Salaam alfajiri kama mliwapa Chakula Watuhumiwa, uliongelea hilo

shahidi Hapana sijaongelea..

wakili Peter Kibatala: na unafahamu kuwa chakula ni moja ya haki za binadamu? Nani alimkabidhi mtuhumiwa Central?

shahidi Afande Jumanne

wakili Peter Kibatala: unazifahamu details za makabidhiano ya watuhumiwa?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: nilisikia ulichukua maelezo ya Onyo kwa Mshitakiwa Adamoo Kuhusiana na Kosa la Kula Njama kutenda Matendo ya Kigaidi. Je unalifahamu hilo shtaka?

Shahidi: Hapana

wakili Peter Kibatala: wewe shahidi ni mwanasheria?

shahidi: Hapana

wakili Peter Kibatala: ilikuwa muda gani baada ya kuwakamata ukasema kwa fact hizi kosa lao ni kula njama za KUTENDA MATENDO ya KIGAIDI

shahidi: Muda tukiwa Arumeru..

Kibatala: kwa hiyo ni wewe ndiye ulifahamu hilo kosa au uliambiwa na Afande Kingai hawa wanatakiwa washitakiwe kwa makosa yapi?

shahidi: Afande kingai alituambia kesi ilifunguliwa DSM

Kibatala: kwa hiyo wewe ufahamu Details za shtaka lenyewe?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Nasikia, kuna mtu mlikamata wakati wa KUKAMATA?

Shahidi: NDIYO

Kibatala: Mwambie Jaji kwamba ni lini ulisadiki kuwa yale ni madawa ya kulevya

Shahidi: tukiona tunajua hiki ni kitu fulani, Tulitumia uzoefu wetu tu..

wakili Peter Kibatala: Mwambie Jaji kuwa mpaka leo unafahamu kuna report iliyotoka kwa mkemia yale ni madawa ya KULEVYA..

shahidi: sifahamu kwa sababu mimi siyo Mpelelezi..

wakili Peter Kibatala: Unafahamu kwa mujibu PGO kuwa mtu yoyote anayepatikana na madawa ya kulevya anatakiwa afikishwe mbele ya Hakimu kwa haraka iwezekanavyo?

Shahidi: ndiyo nafahamu..

wakili Peter Kibatala: ulielezea ni siku gani mliwakamata watuhumiwa?

shahidi: Hapana, sikuzungumzia...

wakili Peter Kibatala: Ulizungumza ni lini mlitoka Moshi?

shahidi: Mimi sikuzungumzia..

wakili Peter Kibatala: Mwambie Jaji kuwa hakuna mahala popote umezungumzia kuhusu upelelezi a wa madawa ya kulevya baada ya kufika Dar es Salaam..

shahidi: Hapana, sijaongelea

wakili Peter Kibatala: na tangu umkamate Adamoo imepita mwaka mmoja..

Shahidi: ndiyo..

wakili Peter Kibatala: Je kwa ufahamu wako kosa la kula njama linahisiana na madawa ya kulevya?

Shahidi: inategemea

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji iwapo unafahamu connections kati ya kesi iliyopo na madawa ya kulevya

wakili Peter Kibatala: Twende kwenye Bunduki

Kibatala: je ni sahihi kwa mujibu wa PGO Pistol imekuwa Classified kama Property?

shahidi: nafahamu

wakili Peter Kibatala: unafahamu kwa sheria ya UGAIDI Pistol siyo Property?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Je unafahamu Pistol kama Property hasa kama haijulikani mmiliki wake ni nani kwa mujibu PGO 236 na 272?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Property ambayo Pistol haijulikani mmiliki wake ni nani, Utaratibu wake unakuwaje?

Shahidi: upelelezi ufanyike

Kibatala: unafahamu chochote kuwa kuna upelelezi umefanyika mpaka mnawapeleka Mbweni kuwa Mmiliki wake ni nani?

shahidi: Hapana sifahamu

Kibatala: Unakubaliana na mimi mtuhumiwa wa madawa ya Kulevya anatakiwa kupelekwa Mahakamani ili upelelezi ufanyike?

Shahidi: sifahamu

wakili Peter Kibatala: Umezungumzia kuzunguka Moshi na Machame na Aishi Hotel, mliingia au hamkuingia?

shahidi: kama TIMU hatukuingia..

wakili Peter Kibatala: kama angekuwa NDANI usingejua?

shahidi: Kama timu tungejua baada ya kupata taarifa..

shahidi: Kama timu tungejua baada ya Kupata taarifa

wakili Peter Kibatala: mimi nipo specific kuhusiana na Aishi Hotel, kuhusu taarifa za intelijensia mtuhumiwa mliambiwa kuwa yupo ndani au lah?

Shahidi: Mimi sijui...

Kibatala: Mlipotola Arusha mlifanya Briefing Arumeru, Mwambie Jaji Taarifa zenu Adamoo, Lingwenya na Moses Lijenje kama waliishi Aishi Machame

shahidi: Nilikuwa sina

Niliambiwa Kuna waharifu tunaenda kuwakamata, Mimi sikuwa na taarifa kama watuhumiwa wanaishi Aishi Hotel

wakili Peter Kibatala: Shahidi Je, toka Mnafanya Briefing mpaka Mnazumguka nao kuna mahala popote ulikuwa unafahamu kama watuhumiwa wote watatu waliwahi kufanya mkutano Aishi Machame?

shahidi: Hapana sifahamu

wakili Peter Kibatala: Mliwafanyia interview washtakiwa wakati mnazunguka nao

shahidi: Afande kingai alikuwa anaripoti kwenye Notebook yake..

wakili Peter Kibatala: Ukiiona utaikumbuka?

Shahidi: Hapana..

wakili Peter Kibatala: Umeonyeshwa hapa MAHAKAMANI hiyo NOTEBOOK leo.?

shahidi; Hapana

Jaji anaingilia kati hapa.

Jaji anasema wakili Kibatala aendelee Jumatatu sababu ya muda..

Jaji natamani Kesi iwe inaisha Saa 11 Jioni

Jaji anaomba serikali iwahishe watuhumiwa.

.Jaji anasema anatamani kuona kesi ikiisha saa 11.

wakili wa serikali: Naomba kesi ihiarishwe mpaka Jumatatu..

Jaji anamuuliza Wakili Kibatala..

Kibatala: naridhia ihairishwe hadi hiyo Jumatatu..

jaji anashukuru tena mawakili wa pande zote mbili kuendelea kuvumiliana hata pale hoja zilikuwa ngumu ngumu..

Jaji anasema, namna hii ndiyo tunaweza kufika mwisho vizuri.... Nahairisha shauri hili hadi Jumatatu, saa 4:00 Asubuhi kwa ajili ya kumalizia hoja za majumuisho..View attachment 1942187
Mkuu ni kweli alijikojolea?
 
Naona Jaji ana-enjoy tu majibishano hadi raha. Hii kesi serikali imeshashindwa, ila kwasababu shataka walilotunga ni kubwa wanashindwa kumwachia hata kwa dhamana, halafu kesi ikapigwa danadana mwishowe kama kawaida - "Serikali haina nia ya kuendelea na kesi"
Bado sana mzee kusema Serikali imeshindwa.
 
Naona Jaji ana-enjoy tu majibishano hadi raha. Hii kesi serikali imeshashindwa, ila kwasababu shataka walilotunga ni kubwa wanashindwa kumwachia hata kwa dhamana, halafu kesi ikapigwa danadana mwishowe kama kawaida - "Serikali haina nia ya kuendelea na kesi"
Serikali kushindwa ilishashindwa kitambo. Lakini kama wameamua kumfunga watalazisha tu. Mahakama zetu haziko huru
 
Aisee mahakamani sio pa mchezo ndio maana watu wengi hua wanakimbia kutokua mashahidi aisee sio kosa lao yaani hapo ukijichanganya kidogo tu umeliwa kichwa!
 
Amekosekana Tundu Antipass Lissu, halafu anapenda sana kusimama mahakamani na shahidi akiwa ni Askari
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom