Oxx
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 889
- 1,900
Mkuu ndo maana nakwambia hauwajui hao unawaongelea, ao Polisi Moro kwenye lig za mchangani huwa wanachezea 3 au mbili kwa ao watoto unaosema ww .... ....Mgecheza basi hata na polisi moro wakubwa wenzenu.
Hao vijana wa undertwenty si bado wadogo, yaani humo kuna wenye miaka 16, 17,18 na19.
Halafu wamkabe Ngoma mwenye uzito wa kilo zaidi ya mia.
Sent using Jamii Forums mobile app