Ushahidi: Sunzu na Boban wa Simba SC. "wanatumia madawa ya kulevya"

Mkeshaji

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,262
1,416
Mbwa wa Polisi kitengo maalum cha kupambana na madawa ya kulevya jana "aliwatia aibu" wachezaji wa Simba huko Mwanza.
Mbwa huyo ambaye amefunzwa kubainisha watu waliotumia/waliobeba madawa ya kulevya walitoa kali hiyo jana wakati wa mchezo kati ya Simba na Toto African, mchezo ambao ulifanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini humo.

Mbwa huyo ambaye alikuwa ameshikwa na master wake alianza kukukuruka kana kwamba amehisi kitu, ana alipofanikiwa kumtoroka master wake moja kwa moja alianza kumfukuza mshambuliaji wa timu hiyo Felix Sunzu.

Baada ya Sunzu kufanikiwa kumzidi mbio mbwa huyo ndipo mbwa akamgeuzia kibao kiungo wa timu hiyo Haruna Moshi "Boban". Mbwa huyo aliendelea kumtia msukosuko Boban hadi alipokamatwa na kutulizwa na master wake.
Watu wengi wamekuwa na maoni tofauti kuhusiana na sakata hilo.
 
mods hamisha hii kitu kwenye sports au kwenye habari mchanganyiko.....hapa ni malavidavi tu na siyo mambo ya kubwia unga.....
 
Unganisha dots....na uzembe na uzubafu uliowakuta wachezaji wetu wa stars kule ivory coast....utajua kuwa uwezo wao unaongezwa na ndumu ......
 
Mbwa wa Polisi kitengo maalum cha kupambana na madawa ya kulevya jana "aliwatia aibu" wachezaji wa Simba huko Mwanza.
Mbwa huyo ambaye amefunzwa kubainisha watu waliotumia/waliobeba madawa ya kulevya walitoa kali hiyo jana wakati wa mchezo kati ya Simba na Toto African, mchezo ambao ulifanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini humo.

Mbwa huyo ambaye alikuwa ameshikwa na master wake alianza kukukuruka kana kwamba amehisi kitu, ana alipofanikiwa kumtoroka master wake moja kwa moja alianza kumfukuza mshambuliaji wa timu hiyo Felix Sunzu.

Baada ya Sunzu kufanikiwa kumzidi mbio mbwa huyo ndipo mbwa akamgeuzia kibao kiungo wa timu hiyo Haruna Moshi "Boban". Mbwa huyo aliendelea kumtia msukosuko Boban hadi alipokamatwa na kutulizwa na master wake.
Watu wengi wamekuwa na maoni tofauti kuhusiana na sakata hilo.
Kina ka ukweli ndani yake.
 
Mbwa wa Polisi kitengo maalum cha kupambana na madawa ya kulevya jana "aliwatia aibu" wachezaji wa Simba huko Mwanza.
Mbwa huyo ambaye amefunzwa kubainisha watu waliotumia/waliobeba madawa ya kulevya walitoa kali hiyo jana wakati wa mchezo kati ya Simba na Toto African, mchezo ambao ulifanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini humo.

Mbwa huyo ambaye alikuwa ameshikwa na master wake alianza kukukuruka kana kwamba amehisi kitu, ana alipofanikiwa kumtoroka master wake moja kwa moja alianza kumfukuza mshambuliaji wa timu hiyo Felix Sunzu.

Baada ya Sunzu kufanikiwa kumzidi mbio mbwa huyo ndipo mbwa akamgeuzia kibao kiungo wa timu hiyo Haruna Moshi "Boban". Mbwa huyo aliendelea kumtia msukosuko Boban hadi alipokamatwa na kutulizwa na master wake.
Watu wengi wamekuwa na maoni tofauti kuhusiana na sakata hilo.

Yeah Boban anavuta sana Bange yule mbwa alinusa harufu ya bange ndo maana akamtoa nduki Boban
 
Yeah Boban anavuta sana Bange yule mbwa alinusa harufu ya bange ndo maana akamtoa nduki Boban

Kwenye gemu yao ya jana na Mtibwa wakati tupo kwenye jukwaa letu la Yanga tukamtishia Boban: "Mbwa wa Polisi huyooo". Huwezi amini jamaa akataka kufyatua mbio...
 
Mbwa wa Polisi kitengo maalum cha kupambana na madawa ya kulevya jana "aliwatia aibu" wachezaji wa Simba huko Mwanza.
Mbwa huyo ambaye amefunzwa kubainisha watu waliotumia/waliobeba madawa ya kulevya walitoa kali hiyo jana wakati wa mchezo kati ya Simba na Toto African, mchezo ambao ulifanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini humo.

Mbwa huyo ambaye alikuwa ameshikwa na master wake alianza kukukuruka kana kwamba amehisi kitu, ana alipofanikiwa kumtoroka master wake moja kwa moja alianza kumfukuza mshambuliaji wa timu hiyo Felix Sunzu.

Baada ya Sunzu kufanikiwa kumzidi mbio mbwa huyo ndipo mbwa akamgeuzia kibao kiungo wa timu hiyo Haruna Moshi "Boban". Mbwa huyo aliendelea kumtia msukosuko Boban hadi alipokamatwa na kutulizwa na master wake.
Watu wengi wamekuwa na maoni tofauti kuhusiana na sakata hilo.
Mkuu mimi nakumbuka mbwa wangu enzi za miaka ya themanini mwishoni na tisini mwanzoni alikuwa na mbio za kukamata hadi swala sasa huyu mbwa wa polisi anayezidiwa mbio na kina Sunzu na Haruna ambao wewe unadai wanabwia unga inawezekana mbwa naye anabwiwishwa unga pengine kuliko hata hao wachezaji ndo walimzidi mbio.
 
Mkuu mimi nakumbuka mbwa wangu enzi za miaka ya themanini mwishoni na tisini mwanzoni alikuwa na mbio za kukamata hadi swala sasa huyu mbwa wa polisi anayezidiwa mbio na kina Sunzu na Haruna ambao wewe unadai wanabwia unga inawezekana mbwa naye anabwiwishwa unga pengine kuliko hata hao wachezaji ndo walimzidi mbio.

Ni kweli kabisa na wala si uongo wala si utani.
Mbwa wale huwa wanawapa madawa ya kulevya, kwa hiyo wanapohisi harufu ya madawa hayo huwa wanamkimbiza yule waliyemhisi si kwa minajili ya kumkamata bali ni kwa minajili ya wao kupata huo unga ili wabwie. Huo ndo ukweli mkuu.
 
Ni kweli kabisa na wala si uongo wala si utani.
Mbwa wale huwa wanawapa madawa ya kulevya, kwa hiyo wanapohisi harufu ya madawa hayo huwa wanamkimbiza yule waliyemhisi si kwa minajili ya kumkamata bali ni kwa minajili ya wao kupata huo unga ili wabwie. Huo ndo ukweli mkuu.
Inawezekana , lakini inawezekana pia ilikuwa hujuma ya Toto, nakumbuka Jamal Rwambo alipokuwa RPC Mwanza alikuwa m/kiti wa kamati ya kuwezesha toto ishinde. Huenda hata huyu wa sasa naye ni m/kiti wa kamati hiyo na aliwapa vijana wake maelekezo nao wakampa yule mbwa maelekezo kwamba Haruna na Sunzu ndo balaa kwa Toto hivyo inabidi mbwa awakimbize ili kuwajengea hofu wasicheze vizuri.
 
Ni kweli kabisa na wala si uongo wala si utani.
Mbwa wale huwa wanawapa madawa ya kulevya, kwa hiyo wanapohisi harufu ya madawa hayo huwa wanamkimbiza yule waliyemhisi si kwa minajili ya kumkamata bali ni kwa minajili ya wao kupata huo unga ili wabwie. Huo ndo ukweli mkuu.

kaka acha kuongea kitu usicho kijua.hao mmbwa wanatambua ni harufu co kuwa wanapewa hzo bangi au unga unafikili akileweshwa huyo kuna mtu atasalimika hapo kumbuka kuwa huyo ni mnyama vp ukimtia ukichaa itakuwaje?
 
Inawezekana , lakini inawezekana pia ilikuwa hujuma ya Toto, nakumbuka Jamal Rwambo alipokuwa RPC Mwanza alikuwa m/kiti wa kamati ya kuwezesha toto ishinde. Huenda hata huyu wa sasa naye ni m/kiti wa kamati hiyo na aliwapa vijana wake maelekezo nao wakampa yule mbwa maelekezo kwamba Haruna na Sunzu ndo balaa kwa Toto hivyo inabidi mbwa awakimbize ili kuwajengea hofu wasicheze vizuri.

Kwa hiyo huyo mbwa anawajua kwa majina na sura hao akina Sunzu na Boban!??? Maana aliwakimbiza bila kuelekezwa....!
 
kaka acha kuongea kitu usicho kijua.hao mmbwa wanatambua ni harufu co kuwa wanapewa hzo bangi au unga unafikili akileweshwa huyo kuna mtu atasalimika hapo kumbuka kuwa huyo ni mnyama vp ukimtia ukichaa itakuwaje?

Waliijuaje hiyo harufu..?
 
Wabwie unga,wavute bangi tunawapenda na wamefanya kazi yao tuna point 18,tunasonga na kupasua mawingu,mbwa alipenda zile jezi za simba.
 
Back
Top Bottom