GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Ni wazi uchaguz wa mwaka 2020 utakuwa ni uchaguzi ambao CCM itashinda kwa kishindo kikubwa sana karibia katika nyanja zote za uchaguzi. Yaani tukianza na uchaguzi wa Madiwani,Wabunge na Urais.
Wapinzani na Serikali itumike busara. Tuokoe pesa za watanzania hawa màskini...baadhi ya maeneo uchaguzi usifanyike kabisa.ya nini kupoteza pesa za walipa kodi bure tu?
Nadhani wapinzani waonane na Mh Rais wamuulize ni majimbo gani ya Ubunge atawaachia.ili huko tu ndo wasimamishe wagombea.na akiyataja basi waandikishane kabisa hayo majimbo ambayo Mh Rais ataamua kuwaachia.
Huko ndo wakasimamishe wagombea na kampeni zifanyike.yale maeneo mengine wasisumbue na kuhatarisha maisha ya raia bure.wasipoteze pesa za watanzania.
Najua kwa ushauri huu Tume ya Uchaguzi na wakurugenzi wanaposoma wanakunja ndita.maana nao watapigia wapi pesa?report ya CAG.
Kisha wakubaliane na mh Rais kuwa hizo pesa zinazobaki ambazo hazitaenda katika uchaguzi basi zipelekwe maeneo mengine ya kusaidia watanzania.ikiwa ni pamoja na kuongeza salary au ajira mpya.waandikishane kabisa.ili mh asije shawishiwa kununulia birds kama zile bomber dear au boy ing.
Ya nini mzidi wataabisha watanzania hawa ambao tayari wana tabu zao fpr nothing?ya nini wakachakazwe na polisi kwa vipigo?ya nini wawe treated kama mbwa koko? Wanasiasa muwe na huruma.mkifa leo na kesho maiti zenu ni bure.zitaoza tu kama za mbwa zinavyooza.
Hivi umewahi kuwaza mnaenda kucheza mechi ya mpira wa miguu na team A ndo inamiliki uwanja, ndo imechagua refarii na wasaidizi wake, ndo imenunua lile kombe lililopo uwanjani,mgeni wa heshima ni mwenye team.
Halafu unagundua refarii ni kocha wa team pinzani.hata mpira mnaotumia ni wao? Unafaham mazingira ya kushinda hiyo mechi ni mpaka sir God mwenyewe aamue kuingilia?
Unaweza wewe mchezaji wa team B ukafanya rafu katikati ya Uwanja.refa akatizama ile rafu akaona kwa busara yake ni rafu mbaya kupata kutokea duniani.hivyo mchezaj wako atolewe nje kwa kadi nyekundu.na kama haitoshi apigwe virungu miguuni ili asije tena cheza rafu ndani ya uwanja maisha yake yote.
Kisha kwa busara hiyo ya refa pamoja na kuwa ile rafu ilifanyika katikati ya uwanja anaamua iwe penalty golini kwenu.na kuonesha msisitizo wa adhabu anapiga hatua miguu sita tu na kutaka hata kipa wenu asikae golini kuzuia?
Sasa nyie mnacheza mechi kama hiyo ya nini?mnapochezewa rafu refarii anatoa adhabu kwenu kwa sababu mmecheza kuwashawishi wachezaji wa team A wapandwe jazba wacheze rafu?sasa chukulia hii team mlishakutana nayo kwenye hatua za makundi.mkakutana na vimbwanga hivi.mkafungwa bao 30 kwa bila.
Leo mnakutana nao tena uwanjani mnaenda kucheza ili iweje? Kukamilisha ratiba? Kwa nini msingewaacha tu wachukue kombe lao nyie mshike nafasi ya mshindi wa pili?
2020 ni uchaguzi wa hatari sana ..kuna wananchi watachakazwa kwa kauli za mzee mmoja mhuni mlevi wa cheo ambaye hudhani watoto wa wenzake ni sawa na mbwa koko.
Wanasiasa hamkujifunza kitu chaguzi hizi ndogo? Basi hamtajifunza tena.
Wapinzani na Serikali itumike busara. Tuokoe pesa za watanzania hawa màskini...baadhi ya maeneo uchaguzi usifanyike kabisa.ya nini kupoteza pesa za walipa kodi bure tu?
Nadhani wapinzani waonane na Mh Rais wamuulize ni majimbo gani ya Ubunge atawaachia.ili huko tu ndo wasimamishe wagombea.na akiyataja basi waandikishane kabisa hayo majimbo ambayo Mh Rais ataamua kuwaachia.
Huko ndo wakasimamishe wagombea na kampeni zifanyike.yale maeneo mengine wasisumbue na kuhatarisha maisha ya raia bure.wasipoteze pesa za watanzania.
Najua kwa ushauri huu Tume ya Uchaguzi na wakurugenzi wanaposoma wanakunja ndita.maana nao watapigia wapi pesa?report ya CAG.
Kisha wakubaliane na mh Rais kuwa hizo pesa zinazobaki ambazo hazitaenda katika uchaguzi basi zipelekwe maeneo mengine ya kusaidia watanzania.ikiwa ni pamoja na kuongeza salary au ajira mpya.waandikishane kabisa.ili mh asije shawishiwa kununulia birds kama zile bomber dear au boy ing.
Ya nini mzidi wataabisha watanzania hawa ambao tayari wana tabu zao fpr nothing?ya nini wakachakazwe na polisi kwa vipigo?ya nini wawe treated kama mbwa koko? Wanasiasa muwe na huruma.mkifa leo na kesho maiti zenu ni bure.zitaoza tu kama za mbwa zinavyooza.
Hivi umewahi kuwaza mnaenda kucheza mechi ya mpira wa miguu na team A ndo inamiliki uwanja, ndo imechagua refarii na wasaidizi wake, ndo imenunua lile kombe lililopo uwanjani,mgeni wa heshima ni mwenye team.
Halafu unagundua refarii ni kocha wa team pinzani.hata mpira mnaotumia ni wao? Unafaham mazingira ya kushinda hiyo mechi ni mpaka sir God mwenyewe aamue kuingilia?
Unaweza wewe mchezaji wa team B ukafanya rafu katikati ya Uwanja.refa akatizama ile rafu akaona kwa busara yake ni rafu mbaya kupata kutokea duniani.hivyo mchezaj wako atolewe nje kwa kadi nyekundu.na kama haitoshi apigwe virungu miguuni ili asije tena cheza rafu ndani ya uwanja maisha yake yote.
Kisha kwa busara hiyo ya refa pamoja na kuwa ile rafu ilifanyika katikati ya uwanja anaamua iwe penalty golini kwenu.na kuonesha msisitizo wa adhabu anapiga hatua miguu sita tu na kutaka hata kipa wenu asikae golini kuzuia?
Sasa nyie mnacheza mechi kama hiyo ya nini?mnapochezewa rafu refarii anatoa adhabu kwenu kwa sababu mmecheza kuwashawishi wachezaji wa team A wapandwe jazba wacheze rafu?sasa chukulia hii team mlishakutana nayo kwenye hatua za makundi.mkakutana na vimbwanga hivi.mkafungwa bao 30 kwa bila.
Leo mnakutana nao tena uwanjani mnaenda kucheza ili iweje? Kukamilisha ratiba? Kwa nini msingewaacha tu wachukue kombe lao nyie mshike nafasi ya mshindi wa pili?
2020 ni uchaguzi wa hatari sana ..kuna wananchi watachakazwa kwa kauli za mzee mmoja mhuni mlevi wa cheo ambaye hudhani watoto wa wenzake ni sawa na mbwa koko.
Wanasiasa hamkujifunza kitu chaguzi hizi ndogo? Basi hamtajifunza tena.