Awamu ya tano na masalia yake ndani ya awamu hii yalituvesha hii "bloody" tungo - Maelekezo kutoka juu.
Pamoja na kuwa hadi hapa tulipo kuna ya kujifunza kutokea kwa nduli Sabaya, habari ndiyo hiyo. Haupo utetezi hapo!
Wangalipo kina Sabaya wengi huru mitaani. Ni vizuri kwa mustakabala mwema wa haki ukaandaliwa utaratibu huru wa kuwatia adabu wote hao kwa uhalifu wao.
Awamu ya tano watu wengi wameuwawa, wameteswa, wametekwa, wamepotezwa, wamebambikiwa kesi, wamedhulumiwa nk na wahalifu husika kabisa, wapo huru mitaani wanakula maisha.
Hii haikubaliki na hatua stahiki zisipofuatwa hili tayari ni "a ticking time bomb!"
My take:
Waliotajwa kwenye kadhia hii yenye you uliopitiliza - Dr. Mpango na Prof. Kuoga ilikuwa busara wakajiuzuru.
Pamoja na kuwa hadi hapa tulipo kuna ya kujifunza kutokea kwa nduli Sabaya, habari ndiyo hiyo. Haupo utetezi hapo!
Wangalipo kina Sabaya wengi huru mitaani. Ni vizuri kwa mustakabala mwema wa haki ukaandaliwa utaratibu huru wa kuwatia adabu wote hao kwa uhalifu wao.
Awamu ya tano watu wengi wameuwawa, wameteswa, wametekwa, wamepotezwa, wamebambikiwa kesi, wamedhulumiwa nk na wahalifu husika kabisa, wapo huru mitaani wanakula maisha.
Hii haikubaliki na hatua stahiki zisipofuatwa hili tayari ni "a ticking time bomb!"
My take:
Waliotajwa kwenye kadhia hii yenye you uliopitiliza - Dr. Mpango na Prof. Kuoga ilikuwa busara wakajiuzuru.