Ushahidi kuwa kapuya hajagawa simu yake huu hapa

Lukansola

JF-Expert Member
Sep 5, 2010
5,435
1,597
Wakuu hii nimepata kutoka tanzania daima 'gazeti la udaku' la leo. Jumapili 01 Dec 2013




Kapuya Document.jpg

UFAFANIZU:
Yani ni kwamba, Kapuya si alisema kuwa ile simu alishaigawa zamani, sasa gazeti hili limechapisha habari kuwa, Kapuya alitia sahihi kitabu cha wageni huko Dodoma huku akiandika namba ya simu aliyoikana. Hii ilikuwa tarehe 25/06/2013.

Kwenye picha ni ukurasa wa kitabu alichotia saini Prof

Hapo ndo naomba mawazo yenu.

CC. malobosato
 

Attachments

  • 1385905196915.jpg
    1385905196915.jpg
    49 KB · Views: 820
Last edited by a moderator:
Wakuu hii nimepata kutoka tanzania daima 'gazeti la udaku' la leo. Jumapili 01 Dec 2013




View attachment 124260

UFAFANIZU:
Yani ni kwamba, Kapuya si alisema kuwa ile simu alishaigawa zamani, sasa gazeti hili limechapisha habari kuwa, Kapuya alitia sahihi kitabu cha wageni huko Dodoma huku akiandika namba ya simu aliyoikana. Hii ilikuwa tarehe 25/06/2013.

Kwenye picha ni ukurasa wa kitabu alichotia saini Prof

Hapo ndo naomba mawazo yenu.

CC. malobosato

ww mwenyewe mbakaji
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom