residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,015
- 9,600
Sijui kwa nini naona udugu wa damu baina ya Vyura FC na Chama Chakavu!!!Vyura FC wamepoteana
Nalog off
Utapeli wote wanao.
Ukilaza wote wanao.
Ushirikina wote wanao.
Sijui kwa nini naona udugu wa damu baina ya Vyura FC na Chama Chakavu!!!Vyura FC wamepoteana
Nalog off
Akina Ramadhan SinganoTp Mazembe awawezi kuleta full squad kwenye mechi ya kirafiki katikati ya msimu ni mbumbumbu pekee watakapo amini ilo. Kitakacho fanyika nikuchukua wachezaji wa Timu ya pili na wale wasiopata nafasi kwenye timu ya Kwanza ili waje kucheza. Iyo inatokana na kuwa wamesha chukua fedha ya Bwanyenye.