Juakali jr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2019
- 685
- 1,671
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapa juu, sitapenda kurudia kusema yaliyosemwa na wengine kwenye uchaguzi huu.
Ila mwenye hekima ataweza kutofautisha madhara ya ushabiki wa timu za mpira na ushabiki wa siasa za nchi, tutakapoamua kushabikia siasa kama tunavyoshabikia Simba na Yanga tujue kabisa mpira una matokeo matatu (kushinda, draw na kufugwa), vivyo hivyo na ushabiki huo wa siasa utatujia na hayo mambo matatu pia.
1. Kupata tunachostahili kupata (Ushindi)
2. Kutopata kitu kabisa bila kujali tunastahili au hatustahili
3. Kupata tusichostahili kupata, na hii ndio "definition" ya kufungwa sasa.
Ila mwenye hekima ataweza kutofautisha madhara ya ushabiki wa timu za mpira na ushabiki wa siasa za nchi, tutakapoamua kushabikia siasa kama tunavyoshabikia Simba na Yanga tujue kabisa mpira una matokeo matatu (kushinda, draw na kufugwa), vivyo hivyo na ushabiki huo wa siasa utatujia na hayo mambo matatu pia.
1. Kupata tunachostahili kupata (Ushindi)
2. Kutopata kitu kabisa bila kujali tunastahili au hatustahili
3. Kupata tusichostahili kupata, na hii ndio "definition" ya kufungwa sasa.