MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,482
- 8,698
Weekend iko poa.
Wakuu nilikuwa na safari za kikazi kwenye mikoa ya Kigoma na Tabora na ilinipeleka hadi vijijini ndani ndani kabisa, Aisee huwezi amini kuna umasikini wa kutisha, hizo Shule za Misingi nilipita Kaliua ni shida tupu.Zahanati yaani haho Mashuka unaweza omba hata ulale bila kufunikwa.
Kufika Kigoma nilianzia Uvinza huko kwa kweli vijijini hali ni mbaya mno, Watoto wanaenda shule peku peku na sale ni zimechakaa hasa.
Kasulu kote huko na Kibondo kote huko hali ni mbaya sana.
Vinavyo itwa vituo vya Afya ni Majengo tu yako pale hizo huma unaweza lia kabisa.
Kibondo nilifika pale hakuna Maji, watu walisha zoea yale Maisha.
Shida kubwa Ushabiki umekuwa mkubwa kuliko uhalisia.
Wakuu nilikuwa na safari za kikazi kwenye mikoa ya Kigoma na Tabora na ilinipeleka hadi vijijini ndani ndani kabisa, Aisee huwezi amini kuna umasikini wa kutisha, hizo Shule za Misingi nilipita Kaliua ni shida tupu.Zahanati yaani haho Mashuka unaweza omba hata ulale bila kufunikwa.
Kufika Kigoma nilianzia Uvinza huko kwa kweli vijijini hali ni mbaya mno, Watoto wanaenda shule peku peku na sale ni zimechakaa hasa.
Kasulu kote huko na Kibondo kote huko hali ni mbaya sana.
Vinavyo itwa vituo vya Afya ni Majengo tu yako pale hizo huma unaweza lia kabisa.
Kibondo nilifika pale hakuna Maji, watu walisha zoea yale Maisha.
Shida kubwa Ushabiki umekuwa mkubwa kuliko uhalisia.