MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,472
- 8,692
Kuna kiwango cha juu cha ushabiki wa kijinga nchi hii.
Kwa sasa tunashabimia ndege ila tuulize kama kwenye maisha tulio nayo tunawexa kuzipanda hizo ndege.
Kuna tunal shabikia ila tumeshinda njaa mchana si kwa kupenda ila ni kwa sababu ya maisha.
Kuna tunao shabikia ila tumetoka Hosipitalini na kuambiwa dawa fulani hakuna tukanunue.
Kuna tunao shabikia ila kule vijijini ndugu zetu wanaishi kwenye umasikini mkubwa sana, chai kwao ni anasa, maji maji kwao ni kama anasa fulani.
Kuna tunao shabikia ila ndugu zetu wana miaka 5 tangu wahitimu na hakuna ajira wala nini ila sisi tuko bise na ushabiki.
Kuna tunao shabikia ila ndugu na jamaa wamekwama kutibiwa na tunatakiwa kuwachangia pesa. Kwenye nchi inayo nunua ndege kwa cash.
Tunashabikia ila ndugu zetu huu ni mwaka wa 4 hakuna nyongeza za mishahara ila sisi tuko bise na ushabiki.
Hakika ushabiki utatuangamiza
Kwa sasa tunashabimia ndege ila tuulize kama kwenye maisha tulio nayo tunawexa kuzipanda hizo ndege.
Kuna tunal shabikia ila tumeshinda njaa mchana si kwa kupenda ila ni kwa sababu ya maisha.
Kuna tunao shabikia ila tumetoka Hosipitalini na kuambiwa dawa fulani hakuna tukanunue.
Kuna tunao shabikia ila kule vijijini ndugu zetu wanaishi kwenye umasikini mkubwa sana, chai kwao ni anasa, maji maji kwao ni kama anasa fulani.
Kuna tunao shabikia ila ndugu zetu wana miaka 5 tangu wahitimu na hakuna ajira wala nini ila sisi tuko bise na ushabiki.
Kuna tunao shabikia ila ndugu na jamaa wamekwama kutibiwa na tunatakiwa kuwachangia pesa. Kwenye nchi inayo nunua ndege kwa cash.
Tunashabikia ila ndugu zetu huu ni mwaka wa 4 hakuna nyongeza za mishahara ila sisi tuko bise na ushabiki.
Hakika ushabiki utatuangamiza